Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na tarehe 20 alisema kuwa hawajapokea barua yeyote kutoka Chadema.
Mwanzoni nilidhani hii hoja ameletwa na mtu mwenye akili timamu na staha. Lakini kwa namna unavyowajibu wachangiaji, nina mashaka.Tatizo lako ndio hilo,hutumii ubongo kujibu hoja unakurupuka kama unaharisha. Kwani Cc ya Chadema haiwezi kukaa kimyakimya?
Nec inatakiwa ipewe barua kuwa sio wabunge,kisha Nec imtaarifu spika. Lakini all in all mtu akikosa sifa ya kuwa mwanachama wa chama kilichomdhamini anakosa ubunge. Japokuwa taratibu za kimaamdishi zinatakiwa kufuatwa.Sioni sababu ya kwenda mahakamani. CHADEMA impelekee tu Spika barua kuwa CC imewavua uanachama hao wabunge wao.
Kama katiba inaruhusu mbunge kutokuwa na chama chochote kilichomdhamini, hilo ni la hawa walioufanya huu uchafu. Huu uchafu umeshirikisha Serikali nzima pamoja na mihimili ambayo imewekwa mfukoni mwa serikali.
CHADEMA isikpoteze muda na wala isithubutu kwenda mahakamani. Siku zote adui yako haweza kukuelekeza njia ya kupita salama. Huko mahakamani, kwa kuwa nao ni mhimili uliowekwa mfukoni mwa mtawala, watakuwa wamewaandaa watu wao. Mkienda tu huko, hawatataka mliongelee suala hilo kwa maelezo kuwa suala lipo mahakamani. Na pia mahakama hii iliyopo mfukoni mwa Serikali itatumika kumsafisha spika, NEC ha wote walioshiriki kwenye uchafu huu.
CHADEMA wakishapeleka barua kumtaarifu spika, wamemaliza. Akina Mdee wakiendelea kuwa wabunge, ni sawa tu. Watakuwa wabunge maalum wa Kongwa na Chattle.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani chadema wamesha muandikia spika official latter kumjulisha kuwa wamefukuzwa uanachama? Au ni yale matamshi tu.Chadema wanasema hawakupeleka majina NEC,nani alipeleka?
NEC wanasema Mnyika kama katibu mkuu aliwapelekea majina tena yaliyopewa baraka na kamati kuu ya Chadema. Hii ni kweli au sio kweli?
Spika anadai hawezi kuvua ubunge wabunge ambao kwa mujibu wa katiba ya JMT sasa hivi hawana chama maana walishatimuliwa Chadema. Kisa tu NEC ya Wilson Mahera ilimpa majina. Ok kama NEC ilimpa majina bado wanasifa za kuwa wabunge kama ibara ya 67(b) na 71(e) inavyoweka wazi?
Au ndio kusema undavaundava tu hata kwenye mambo ya kuzingagia Katiba na sheria?
Chadema wanaweza kuupa ukweli umma wa watanzania ili tujue nani alipeleka majina? Nahisi kuna jinai inanukia, kama haipo kuna mtu mkubwa Cdm mpenda dili anahusika,Tanzania nzima inamfahamu.
Nenda kalale.Mwanzoni nilidhani hii hoja ameletwa na mtu mwenye akili timamu. Lakini kwa namna unavyowajibu wachangiaji, nina mashaka kama afya yako ya akili ipo sawasawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haahaa 5 years kesi itadumu.chadema kujua Sana tatizo.Hivi unadhani kwamba CHADEMA hawajui wanachokifanya?
Sidhani kama wanaingia mtegoni ila ni mbinu ya kuhakikisha kwamba hili jambo linaisha kwa Baraka za Mahakama kwamba Wabunge ni halali au la, ila uwezekano upo mkubwa sana kwamba mahakama itasema ni halali, na hatimaye mjadala kufungwa ili kuepusha 'mihimili kugongana'😀
Ushauri mzuri.Kwani chadema wamesha muandikia spika official latter kumjulisha kuwa wamefukuzwa uanachama? Au ni yale matamshi tu.
Kwa matamshi tu bado hawajafukuzwa kisheria kwa spika.
Hayo yatakuwa kama ya lipumba.
Kama wako serious kweli na huo ubunge wa hao wamama, wamwandikie spika barua ya kutowatambua,na nyingine wapeleke kwa msajiri na tume ya uchaguzi ndo tutajua hawakuwatuma.
Ukumbuke kuwa Mtendaji Mkuu wa NEC, tarehe 23 alisema hawajapokea majina toka CHADEMA. Tarehe 23 ni kabla au baada ya tarehe 19?Utakuwa umepoteza memory, katibu mkuu wa NEC alisema walipokea majina tar 19 Nov. Wewe una uhakika gani? Kuwa Mahera na Ndugai waongo. Ikithibitika kuna mtu wa Cdm alipeleka majina?
Dah, ni kweli mpaka sasa hakuna kesi iliyofunguliwa. Lakini ikitokea kuna kesi ni wazi inatakiwa iamuriwe kwa haraka.
Haahaa mahakama hii iliyo chini ya jiwe.kesi itapelekwa 5 yearsMahakama.
Ukweli gani? Wakweli wenye wabunge wao chademaSisi tunataka ukweli.
Sijasema direct kwamba Mnyika, mbowe or Tundu ndo watakao kuwa wamepeka majina. Nachozungumza mimi majina yamepelekwa na CDM wenyeewe yaweza kuwa ni hata mdee mwenyewe, point ya msingi je signature ya KM wameipataje, may be hao hao waliopeleka majina wamefoji hadi signature ya mnyikaingekuwa hivyo wasingeogopa kwenda kamatimkuu; wangeenda na kukinukisha kwa Katibu mkuu, Na je nguvu iliyovunja milango ya gereza ni ya chadema?
Kuna mtu mmoja hapo Chadema mzee wa madili anahusika.Sijasema direct kwamba Mnyika, mbowe or Tundu ndo watakao kuwa wamepeka majina. Nachozungumza mimi majina yamepelekwa na CDM wenyeewe yaweza kuwa ni hata mdee mwenyewe, point ya msingi je signature ya KM wameipataje, may be hao hao waliopeleka majina wamefoji hadi signature ya mnyika
Ukweli utaupata kwa nani wakati vyombo vyote vilivyotakiwa kuutoa huo ukweli vipo mfukoni mwa Serikali, na hiyo Serikali ndiyo chanzo cha huu uchafu wote?Sisi tunataka ukweli.