Uchaguzi 2020 Nani mkweli kati ya hawa watu? Spika, NEC au CHADEMA?

Uchaguzi 2020 Nani mkweli kati ya hawa watu? Spika, NEC au CHADEMA?

Njia ya muongo ni fupi sana.
CHADEMA kwa sasa amewavua uanachama wale Covid 19, hivyo wamepoteza sifa zote za kuwa wabunge.
Sasa spika kwanini anawakumbatia?
Kwanini NEC isitangaze nafasi zao ziko wazi?
Hili swali linashangaza kila mtu,haijalishi majina yalipelekwa na nani? Maadam sasa sio wanachama wa Chadema hawana uhalali kuwa wabunge.
 
Jambo ambalo naamini mimi ni CDM wamepeka majina maana Kama cdm wangekuwa hajapeleka majina na tunavyowaaminia makamanda (Halima & wenzie) wasingekubal kwenda bungeni LAKINI yanaweza kuwa hayajapelekwa na Mnyika
Ndio maana ushahidi wa kimazingira ni kuwa kuna kigogo wa Cdm alimzunguka Mnyika.
 
Kwa nini ichukue miaka 5? Mahakama kuu inatakiwa itoe amri, haraka tujue ukweli nani alifoji hiyo baru?

Mahakama haifosiwi. Sana Sana mnomno unaweza kupeleka Hati ya Dharura kuiomba iamue haraka, na hata hivyo inabidi uwe mpole uisikilize na iamue kama suala lako lina udharura gani na Kama linafaa kuamuliwa kwa dhararu na hadi hapo vigezo vya Dharura vitakapotimia
 
Mahakama haifosiwi. Sana Sana mnomno unaweza kupeleka Hati ya Dharura kuiomba iamue haraka, na hata hivyo inabidi uwe mpole uisikilize na iamue kama suala lako lina udharura gani na Kama linafaa kuamuliwa kwa dhararu na hadi hapo vigezo vya Dharura vitakapotimia
We unaonaje? Kujua ukweli juu ya hili suala hamna urgency?
 
Vipi kama ikionekana Chadema hawakupeleka majina? Uhalali utatoka wapi?

Hiyo kisheria inaitwa preconceived judgement. Yaani, unauliza swali jadidifu la dhana ambayo haijatokea. Yaani una jibu la hukumu ambayo hata kesi yake haipo
 
Hiyo kisheria inaitwa preconceived judgement. Yaani, unauliza swali jadidifu la dhana ambayo haijatokea. Yaani una jibu la hukumu ambayo hata kesi yake haipo
Dah, ni kweli mpaka sasa hakuna kesi iliyofunguliwa. Lakini ikitokea kuna kesi ni wazi inatakiwa iamuriwe kwa haraka.
 
NEC, BUNGE, COURT, Hao Ni Kitu Kimoja Tena Wamekula Yamini Wote Hao. Chadema Hapo Itawekewa Fitna Zote!!
Hawa Hapa Ndiyo Wangetupa Ukweli Wote
PCCB, DPP, POLICE,
Wangewabana NEC Kwakuanzia Mpaka Pumzi Ikate Yote
 
Jambo ambalo naamini mimi ni CDM wamepeka majina maana Kama cdm wangekuwa hajapeleka majina na tunavyowaaminia makamanda (Halima & wenzie) wasingekubal kwenda bungeni LAKINI yanaweza kuwa hayajapelekwa na Mnyika
ingekuwa hivyo wasingeogopa kwenda kamatimkuu; wangeenda na kukinukisha kwa Katibu mkuu, Na je nguvu iliyovunja milango ya gereza ni ya chadema?
 
Chadema wanasema hawakupeleka majina NEC,nani alipeleka?

NEC wanasema Mnyika kama katibu mkuu aliwapelekea majina tena yaliyopewa baraka na kamati kuu ya Chadema. Hii ni kweli au sio kweli?

Spika anadai hawezi kuvua ubunge wabunge ambao kwa mujibu wa katiba ya JMT sasa hivi hawana chama maana walishatimuliwa Chadema. Kisa tu NEC ya Wilson Mahera ilimpa majina. Ok kama NEC ilimpa majina bado wanasifa za kuwa wabunge kama ibara ya 67(b) na 71(e) inavyoweka wazi?

Au ndio kusema undavaundava tu hata kwenye mambo ya kuzingagia Katiba na sheria?

Chadema wanaweza kuupa ukweli umma wa watanzania ili tujue nani alipeleka majina? Nahisi kuna jinai inanukia, kama haipo kuna mtu mkubwa Cdm mpenda dili anahusika,Tanzania nzima inamfahamu.
Kwa nini unawauliza Chadema? Ni wajibu wa NEC kutoa nakala za hizo barua na viambatisho kutoka kwa Mnyika ili kukata mzizi wa fitna.

Amandla...
 
NEC, BUNGE, COURT, Hao Ni Kitu Kimoja Tena Wamekula Yamini Wote Hao. Chadema Hapo Itawekewa Fitna Zote!!
Hawa Hapa Ndiyo Wangetupa Ukweli Wote
PCCB, DPP, POLICE,
Wangewabana NEC Kwakuanzia Mpaka Pumzi Ikate Yote
Mimi naomba uchunguzi ufanyike,hasa tujue nani alighushi barua au haikughushiwa.
 
Kwa nini unawauliza Chadema? Ni wajibu wa NEC kutoa nakala za hizo barua na viambatisho kutoka kwa Mnyika ili kukata mzizi wa fitna.

Amandla...
Unadhani Chadema hawajui nani alipeleka barua?
 
Nakunukuu:"NEC wanasema Mnyika kama katibu mkuu aliwapelekea majina tena yaliyopewa baraka na kamati kuu ya Chadema"

Sasa mkuu kama NEC wanadai ya kwamba wamepokea majina kutoka chadema yenye baraka za kamati kuu,kwani kikao cha kamati kuu kinaweza kufanyika kwa kificho?Kuna kikao cha kamati kuu cha chadema ambacho kimewahi kukaa?Si lazima taarifa zingevuja ya kwamba kuna kikao cha kamati kuu kilikaa?
Wasiilazimishe CDM kukubali kuwa majina yalipelekwa NEC na Katibu Mkuu,onyesheni ushahidi wa hiyo barua.
Ndugai/Spika naye asijiongelee kwamba wabunge viti maalum CDM ni halali wakati dalili ya wazi ni kuwa hawana baraka za chama na wamevuliwa ubunge.Je,wanaweza kuendelea kuwa wabunge bila chama?
Sheria ni msumeno,kila chombo kuanzia CDM,NEC+Bunge watimize wajibu wao.
 
Chadema wanasema hawakupeleka majina NEC,nani alipeleka?

NEC wanasema Mnyika kama katibu mkuu aliwapelekea majina tena yaliyopewa baraka na kamati kuu ya Chadema. Hii ni kweli au sio kweli?

Spika anadai hawezi kuvua ubunge wabunge ambao kwa mujibu wa katiba ya JMT sasa hivi hawana chama maana walishatimuliwa Chadema. Kisa tu NEC ya Wilson Mahera ilimpa majina. Ok kama NEC ilimpa majina bado wanasifa za kuwa wabunge kama ibara ya 67(b) na 71(e) inavyoweka wazi?

Au ndio kusema undavaundava tu hata kwenye mambo ya kuzingagia Katiba na sheria?

Chadema wanaweza kuupa ukweli umma wa watanzania ili tujue nani alipeleka majina? Nahisi kuna jinai inanukia, kama haipo kuna mtu mkubwa Cdm mpenda dili anahusika,Tanzania nzima inamfahamu.
Kwanza hakuna wakati ambapo NEC walisema kuwa walipokea majina toka kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA baada ya kupitishwa na Kamati Kuu. Hili umelisema wewe.

Ninachokumbuka ni kuwa NEC wametoa kauli 2 zinazotofautiana. Kwanza walisema kuwa hawajapokea jina lolote toka CHADEMA. Nadhani kauli hiyo aliitoa mkurugenzi wa NEC tarehe 23 Novemba.

Spika anasema alipokea majina toka NEC tarehe 20 Novemba. Mpaka hapo, au Spika au Mkurugenzi wa NEC, mmojawapo ni mwongo, au wote ni waongo.

Tatu mpaka sasa, NEC wanasema walipokea majina toka CHADEMA, lakini hawataji mtu aliyewapelekea, na hawasemi ilikuwaje tarehe 23 Novemba NEC iwe haijapokea majina halafu Spika awe amepelekewa majina na NEC tarehe 20 Novemba!!

Kwa mwenye akili timamu, hahitaji kujiuliza ni nani mwongo. Waongo na hawa wawili, Mahera na Ndugai.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza hakuna wakati ambapo NEC walisema kuwa walipokea majina toka kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA baada ya kupitishwa na Kamati Kuu. Hili umelisema wewe.

Ninachokumbuka ni kuwa NEC wametoa kauli 2 zinazotofautiana. Kwanza walisema kuwa hawajapokea jina lolote toka CHADEMA. Nadhani kauli hiyo aliitoa mkurugenzi wa NEC tarehe 23 Novemba.

Spika anasema alipokea majina toka NEC tarehe 20 Novemba. Mpaka hapo, au Spika au Mkurugenzi wa NEC, mmojawapo ni mwongo, au wote ni waongo.

Tatu mpaka sasa, NEC wanasema walipokea majina toka CHADEMA, lakini hawataji mtu aliyewapelekea, na hawasemi ilikuwaje tarehe 23 Novemba NEC iwe haijapokea majina halafu Spika awe amepelekewa majina na NEC tarehe 20 Novemba!!

Kwa mwenye akili timamu, hahitaji kujiuliza ni nani mwongo. Waongo na hawa wawili, Mahera na Ndugai.

Sent using Jamii Forums mobile app
Utakuwa umepoteza memory, katibu mkuu wa NEC alisema walipokea majina tar 19 Nov. Wewe una uhakika gani? Kuwa Mahera na Ndugai waongo. Ikithibitika kuna mtu wa Cdm alipeleka majina?
 
Utakuwa umepoteza memory, katibu mkuu wa NEC alisema walipokea majina tar 19 Nov. Wewe una uhakika gani? Kuwa Mahera na Ndugai waongo. Ikithibitika kuna mtu wa Cdm alipeleka majina?
Screenshot_20201208-182429.png
 
Hadi sasa, CHADEMA wanasema wanaenda mahakamani.

Spika kawashauri CHADEMA waende mahakamani.

Tume, japo hawasema, nao wanashauri CHADEMA waende mahakamani. Hata sheria pia inataka hivyo.

Kwa hiyo, CHADEMA, NEC na Spika wanaongea lugha moja kwa Sasa, na hivyo wanakubaliana kwamba Wabunge ni halali hadi happy mahakama itakaposema vinginevyo.

Yajao ndiyo hayo
Sioni sababu ya kwenda mahakamani. CHADEMA impelekee tu Spika barua kuwa CC imewavua uanachama hao wabunge wao.

Kama katiba inaruhusu mbunge kutokuwa na chama chochote kilichomdhamini, hilo ni la hawa walioufanya huu uchafu. Huu uchafu umeshirikisha Serikali nzima pamoja na mihimili ambayo imewekwa mfukoni mwa serikali.

CHADEMA isikpoteze muda na wala isithubutu kwenda mahakamani. Siku zote adui yako haweza kukuelekeza njia ya kupita salama. Huko mahakamani, kwa kuwa nao ni mhimili uliowekwa mfukoni mwa mtawala, watakuwa wamewaandaa watu wao. Mkienda tu huko, hawatataka mliongelee suala hilo kwa maelezo kuwa suala lipo mahakamani. Na pia mahakama hii iliyopo mfukoni mwa Serikali itatumika kumsafisha spika, NEC ha wote walioshiriki kwenye uchafu huu.

CHADEMA wakishapeleka barua kumtaarifu spika, wamemaliza. Akina Mdee wakiendelea kuwa wabunge, ni sawa tu. Watakuwa wabunge maalum wa Kongwa na Chattle.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom