that manzi
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 385
- 1,246
NAOMBA KUJUA KATI YA HAWA WANAWAKE WAWILI NANI MPAMBANAJI?
YANI NATAKA UMTAJE MMOJA TU UNAYEMUONA NI MPAMBANAJI SITAKI MAMBO YA OOO KILA MMOJA KWA NAMNA YAKE. NATAKA USEME NI MAMA CAREN AMA MAMA GRACE
ASANTENI.
*MAMA Caren alisomeshwa na wazazi wake akiwa binti nakuhitimu masomo yake vyema. Alisoma kwa bidii na kufaulu vyema masomo yake.
Kisha akafaulu vyema na akaenda kusoma nje ya nchi.
Akiwa na miaka 27 tuu akawa akipata mshahara mkubwa wa Mamilioni ya pesa.
Akapata mume akaolewa. Na akasomesha watoto wake ili nao wawe na elimu za juuu. Na sasa watoto wake wanne wote ni wasomi wa Elimu za juu na maisha yao ni supaaa.
*MAMA Grace baada ya kumaliza darasa la SABA kijijini alikuja mjini kufanya kazi za ndani. Hata hivyo alipoona umri wa kujitegemea umefika aliacha kazi za ndani na kuanza kufanya vibarua vya hapa na pale. Leo anauza sokoni. Kesho anauza bar mwezi ujao anafanya kazi viwandani. Mwisho akaishia kuponda kokoto. Na akaona ni kazi inayomlipa zaidi. Alifanikiwa kupata mume akaolewa. Na kubahatika kuzaa watoto 6. Aliazia kuwasomesha ili wasiwe kama yeye. Hakuwahi kula chakula kizuri wala kuvaa nguo nzuri mpaka akahakikisha watoto wake wanapata Elimu za Juu. Na wote wakapata Elimu za juu na maisha yao ni Supaaaa.
Mama Caren na MAMA Grace nani mpambanaji?
YANI NATAKA UMTAJE MMOJA TU UNAYEMUONA NI MPAMBANAJI SITAKI MAMBO YA OOO KILA MMOJA KWA NAMNA YAKE. NATAKA USEME NI MAMA CAREN AMA MAMA GRACE
ASANTENI.
*MAMA Caren alisomeshwa na wazazi wake akiwa binti nakuhitimu masomo yake vyema. Alisoma kwa bidii na kufaulu vyema masomo yake.
Kisha akafaulu vyema na akaenda kusoma nje ya nchi.
Akiwa na miaka 27 tuu akawa akipata mshahara mkubwa wa Mamilioni ya pesa.
Akapata mume akaolewa. Na akasomesha watoto wake ili nao wawe na elimu za juuu. Na sasa watoto wake wanne wote ni wasomi wa Elimu za juu na maisha yao ni supaaa.
*MAMA Grace baada ya kumaliza darasa la SABA kijijini alikuja mjini kufanya kazi za ndani. Hata hivyo alipoona umri wa kujitegemea umefika aliacha kazi za ndani na kuanza kufanya vibarua vya hapa na pale. Leo anauza sokoni. Kesho anauza bar mwezi ujao anafanya kazi viwandani. Mwisho akaishia kuponda kokoto. Na akaona ni kazi inayomlipa zaidi. Alifanikiwa kupata mume akaolewa. Na kubahatika kuzaa watoto 6. Aliazia kuwasomesha ili wasiwe kama yeye. Hakuwahi kula chakula kizuri wala kuvaa nguo nzuri mpaka akahakikisha watoto wake wanapata Elimu za Juu. Na wote wakapata Elimu za juu na maisha yao ni Supaaaa.
Mama Caren na MAMA Grace nani mpambanaji?