Nani mwenye hali ya kiuchumi kama yangu muda huu? Toa mawazo jinsi ya kujikwamua

Nani mwenye hali ya kiuchumi kama yangu muda huu? Toa mawazo jinsi ya kujikwamua

In short ,....unverified forex brokers n scam...na wanajua watu dunian wanapend vitu quick.....wanachomesha acc intended...... Google forex scam brokers...utajua kama haujachagua broker.....but still forex n legal and real business.....
kujua all things dealer do its very difficult sema kwa uchache we know their movements.. napo some time kwa small capital inakuwa ngumu kuwa consistency ndani ya muda mrefu
 
also they have mandate... to see where retairs place their order so its much easier to move against
Trust me and it's much easier to trade with them not against

Na ukijua umejua hutorudi nyuma tafuta skills mzee achana kelele za watu

Ukianza kitu usiishie njia huwezi fanikiwa kamwe asilani

Kaa mbali wakatisha tamaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbuka pia siyo kila kitu ni kwa ajili ya kila mtu namaanisha jipimevizuri huenda Forex is not for you. Watu wengi uwa wanahisi kwakuwa flani kafanikiwa kwa njia hii na mimi nitafanikiwa kwa njia hiyo hiyo, that is not true kuna mambo mengine utashuhudia mwenzako anafanikiwa ila wewe ukjaribu hutofanikiwa kamwe bali utaishia kupoteza muda.

Kwanza tafuta sehemu upate uhakika wa kula then uje utrade ukiwa umetuliza akili, ukitrade huku uko desperate lazima utachoma kila day.
Sidhani Kama hakuna kitu kwa ajili yako hapa duniani

Unataka commitment bila kurudi nyuma bila kuangalia Nani anasema Nini unahitaji moyo mgumu na mbishi .

Kelele zimejaa sana kitaa kuvunjana moyo vijana badala ya kukomaa na kitu kimoja wanaruka ruka Leo anauza kuku,kesho anauza mchicha,kesho anauza vitunguu

Huwezi kuwa expert wa kitu Kama unaruka ruka tu na kila kitu unaishia njiani

Na ndivyo ilivyo halafu hakuna pesa rahisi kiivyo kwenye tasnia yetu [emoji2] lazima ikuchuje kweli maana unaweza pata pesa mapema utasumbua watu kitaa kwahio lazima upigike urushwe rushwe upelekeshwe ulizwe upoozwe ndio Sasa uanze Pat's mafanikio consistently [emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sidhani Kama hakuna kitu kwa ajili yako hapa duniani

Unataka commitment bila kurudi nyuma bila kuangalia Nani anasema Nini unahitaji moyo mgumu na mbishi .

Kelele zimejaa sana kitaa kuvunjana moyo vijana badala ya kukomaa na kitu kimoja wanaruka ruka Leo anauza kuku,kesho anauza mchicha,kesho anauza vitunguu

Huwezi kuwa expert wa kitu Kama unaruka ruka tu na kila kitu unaishia njiani

Na ndivyo ilivyo halafu hakuna pesa rahisi kiivyo kwenye tasnia yetu [emoji2] lazima ikuchuje kweli maana unaweza pata pesa mapema utasumbua watu kitaa kwahio lazima upigike urushwe rushwe upelekeshwe ulizwe upoozwe ndio Sasa uanze Pat's mafanikio consistently [emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
Anyway ila mimi ninaamini kuna vitu ambavyo si kila mtu anaweza kufanya, na ni rahisi kujua hii kitu siyo kwa ajili yangu na ndiyo maana mtu anashindwa kuwa consistent kwakuwa siyo mahala pake akifika anapofiit atatulia tu haijalishi atakutana challenges ngapi.
 
Ingia mtaani mkuu, fanya chochote,
Mimi Nina elimu ya sheria lakini nauza Bar,
Halafu sioni Noma wala nini, hata wateja wangu wanalijua hilo.
Hata leo nikipata kazi mahakamani naacha hii kazi naingia mahakamani fresh kabisa.


Safi kbs mwanadada...ndo maana muda mwingi wewe ni masanga🤭💕!ukiweka aibu mbele chooni hutaenda
 
Nakushauri usiache FOREX inaonekana umekosa knowledge zaidi. Kitabu kitakachokuongoza katika mafanikio ya forex kinaitwa FOREX BIBLE (nimekutumia). Kisome kwa umakioni uilewe FOREX kiundani alafu ingia tena field utakuja nikumbuka sikumoja. Jambo jingine ingia youtube mtafute jamaa anaitwa ADAM AKHOO ni mchina tafuta mada zake za FOREX zinazohusu PSYCHOLOGY, kwa sababu ili uweze kuimaster FOREX inabidi uwe well trained katika PSYCHOLOGY.
 

Attachments

Robert Kayosaki anasema Ku diversify ni kupoteza resource hasa time na capital.
Anasema chagua field then find Financial Knowledge.
#Rich Dad - Cash Flow Quadrant.

NANI YUPO SAHIHI?

Refer Warren Buffet
 
Ingia mtaani mkuu, fanya chochote,
Mimi Nina elimu ya sheria lakini nauza Bar,
Halafu sioni Noma wala nini, hata wateja wangu wanalijua hilo.
Hata leo nikipata kazi mahakamani naacha hii kazi naingia mahakamani fresh kabisa.
Lawyer piga kazi

Mwezi wa tano nilikuwa A town ningejua ningekustua
 
Hama Dar kuja ziwani, huku hakuna cha bure means ni lazima ufanye kazi upate pesa ya kujikimu kimaisha.

Kazi za ziwani hazihitaji certificate wala diploma bali ni nguvu zako.
 
Aisee nikupe pongezi sana hapa wengi ndipo hushindwa, na wote wenye moyo kama wako na ujasiri walifanikiwa. Mimi nilisoma Uchumi lakini sijawahi kupractise kazi yoyote related na hayo mambo.
Hili ni Dini kubwa ulilonipa leo Mkuu nafaka.
 
Back
Top Bottom