Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na hii kitu mkuu, hamna kazi hapo. Wanacholenga hapo ni ulipie hizo test af mchezo umeisha. Mimi nilishakutana na hicho kitu ndgu yangu sikudanganyi. Ila kama utataka kuthibitisha nnachokisema fuata maelekezo yao utaona kitakachotokea.Wakuuu Mambo vipi tena kwenu mimi
Mtumishi wa Mungu,
Naulizia hivi nani Mwingine katumiwa hii email ya fundsforafrica waliiiona Tangazo
Mimi nimetumiwa lakini siielewi elewi
Kwenye zile nafasi za procurement na field officer
View attachment 1919283
Asante kwa ushauri MkuuAchana na hii kitu mkuu, hamna kazi hapo. Wanacholenga hapo ni ulipie hizo test af mchezo umeisha. Mimi nilishakutana na hicho kitu ndgu yangu sikudanganyi. Ila kama utataka kuthibitisha nnachokisema fuata maelekezo yao utaona kitakachotokea.
Ahsante.
Dah ndo maana ni lazima tuambizane kuokoa watu kupigwaHuo ni utapeli.
Unaelekezwa sites ambazo wanamiliki wao wenyewe ili upate cheti.
Utaambiwa ulipie. Ukishalipia, ukirudi huku utakua na bahati kama watakuacha la sivyo utaambiwa kinachohitajika ni kama hichi so kalipie tena.
Mimi pia wamenitumia kwa nafasi ya procurement, hawa matapeli, kuna na wale wengine wa africovid na wapo muda sna hawa. Wanafanya tu kubadili majin ya mashirikaWakuuu Mambo vipi tena kwenu mimi
Mtumishi wa Mungu,
Naulizia hivi nani Mwingine katumiwa hii email ya fundsforafrica waliiiona Tangazo
Mimi nimetumiwa lakini siielewi elewi
Kwenye zile nafasi za procurement na field officer
View attachment 1919283
Ndio kuna mshikaji nae jana kanionesha walimtumia mwaka juzi kwa jina lingine ila lengo ufnye hyo test yaoAisee wale wa africovid nao walitumaga email za namna hii