Nani mwoga kati ya Russia na NATO yenye nchi kama 30?

Nani mwoga kati ya Russia na NATO yenye nchi kama 30?

Vita sio yelemama
Ya kwetu na Uganda mpaka leo tunachechemea hatujakaa sawa

Vita inashusha sana uchumi au kuumaliza kabisa

Kuna nchi kama [emoji636] hawajawekeza sana kwenye ulinzi kwa miaka kadhaa
Inataka uwekezaji mkubwa sana kwenye ulinzi

Hakuna anaemuogopa mwenzie kila mmoja anataka aishi kwa amani na kuongeza kipato cha nchi kwa mambo mengine na vita haimo kwenye kuongeza zaidi ya kupunguza

Hakuna wa kupigana hapa
Putin anatikisa kibiriti na hata akivamia hawatapigana

Mjue Putin sio Saddam huyo alipovamia Kuwait dunia nzima ikamuadhibu
Hawa wanatengeneza hizo silaha na wako advance katika masuala ya kivita
Wanajua mkate utakuwa ghali mara 10 baada ya siku 30 za mwanzo tu
Huo mfano uliogusia wa vita yetu na Uganda kusababisha uchumi wetu uchechemee Binafsi ninaamini athari zake ziliishia early 1990s.

Sema tu Kameshachukuliwa kama Sababu na siajabu kakadumu hadi mwaka 2099 kila kizazi kuambiwa moja ya sababu ya kuyumba uchumi wetu ni vita ya Kagera.
 
Ulaya hawataki vita. Na ndo maana kuna nchi zilizopo Nato hazitaki Ukraine aingie Nato. Sema USA ndo anaetaka Ukraine iingie Nato kwa fursa zake anazozitaka pale Russia. USA yupo mbali hivyo hajali maana vita ikitokea Ukraine yeye wala haathiriki. Zitakazoathirika ni nchi za Ulaya kupokea wakimbizi waukrain n.k.
Wapi US kasema anataka Ukraine iingie NATO?
 
Biden administration walishasema hawawezi izuia Ukraine kuingia NATO.Sema Ujerumani na Ufaransa wamepinga kabisa. Soma habari za kimataifa. Au unataka Biden akupigie simu akuambie ?
unapoteza muda wako kubishana na hao viumbe wao wanaamini kwamba wana hakki yakuona nakusikia vyote kuhusiana na US nakupa pole kwakupoteza muda wako kutoa elimu kwaasie itaka ila nakupa hongera kwakumfunua kama atataka kufunuka
 
Hilo swali lako la "nani mwoga" ni sawa na kuuliza swali kwamba, nani ni rais kati ya Uhuru Kenyatta na Nana Akufo-Addo?

Hali-make sense kwa kiasi kikubwa, sababu wote ni marais!

Hofu na woga ndio vyanzo vya nchi mbalimbali kuwa na majeshi. Hata katika ngazi ya uraiani, watu wanaajiri walinzi, wengine wanafuga mbwa na kujifungia ndani na makofuli makubwa sababu ya hofu ya wizi ama kuvamiwa na majambazi. Bila hofu ama woga kusingekuwa na haja ya kujilinda.
 
Naomba nijue ukweli kwenye jamii forums wengine wanasema Urusi ni nchi maskini hata Jimbo moja la marekani linazidi nchi kubwa duniani kiuchumi ambayo ni Russia.
Kama Ni hivo kwanini marekani na NATO wenye utajiri mkubwa Sana duniani wanamgwaya Sana Russia kwenye masuala ya kivita
Mfano USA na NATO walipoanza Vita Iran na Russia akaingia kumsaidia Iran USA na NATO walishindwa,pale Venevuela USA alishindwa baada ya URUSI kutia mguu,na Sasa hivi Ukraine Marais karibia 30 wenye uchumi mikubwa duania wanaumiza akili zao kwa nchi moja tu ,ambayo Wanasema ni maskini
Je nauliza Ni kweli URUSI Ni nchi maskini Kama wamagharibu wanavosema?

NATO ikiongozwa na Marekani ni waoga.

Walitakiwa wamuambie Putin neno moja tu nalo ni “Lianzishe kama kweli wewe ni mwamba” alafu wakae wasubiri waone kama kweli jamaa ataivamia Ukraine, sasa wao pamoja na uwingi wao bado wanaendelea kubwaka utadhani mbwa koko.

Putin anaongea mara chache sana anajua anachokifanya.
 
Biden administration walishasema hawawezi izuia Ukraine kuingia NATO.Sema Ujerumani na Ufaransa wamepinga kabisa. Soma habari za kimataifa. Au unataka Biden akupigie simu akuambie ?
Nasoma, ndio maana nimekuuliza unionyeshe uliposoma. Kwani vibaya?
 
unapoteza muda wako kubishana na hao viumbe wao wanaamini kwamba wana hakki yakuona nakusikia vyote kuhusiana na US nakupa pole kwakupoteza muda wako kutoa elimu kwaasie itaka ila nakupa hongera kwakumfunua kama atataka kufunuka
Kwa hiyo hapa unaona huu ni ufunuo? Swali rahisi tu la kuonyesha wapi umepata ufahamu huo, linashindwa kujibiwa? Eti ndio ufunuo!!
 
Kama Ni hivo kwanini nchi Kama Irak au Libya ,nchi za NATO ziliingia kwenye Vita na hazikuogopa kuangukia kiuchumi?
Basi Kama Ni hivo Basi Russia Ni nchi tajiri Ila wamagharibi wanatudanganya
Ziliingia ama zikiingizwa libya na Iraq walikuwa hawana namna, mtu kaishafika sebuleni, anatafuta njia ya kuingia chumbani kwa waifu itabidi ujitutumue tu.
 
Huo mfano uliogusia wa vita yetu na Uganda kusababisha uchumi wetu uchechemee Binafsi ninaamini athari zake ziliishia early 1990s.

Sema tu Kameshachukuliwa kama Sababu na siajabu kakadumu hadi mwaka 2099 kila kizazi kuambiwa moja ya sababu ya kuyumba uchumi wetu ni vita ya Kagera.
[emoji23] Uko sahihi 100%
Hapa tulipo sasa hivi kunachagizwa na viongozi wasio na vision na walafi(wachumia tumbo)
 
Huo mfano uliogusia wa vita yetu na Uganda kusababisha uchumi wetu uchechemee Binafsi ninaamini athari zake ziliishia early 1990s.

Sema tu Kameshachukuliwa kama Sababu na siajabu kakadumu hadi mwaka 2099 kila kizazi kuambiwa moja ya sababu ya kuyumba uchumi wetu ni vita ya Kagera.

Kweli mkuu iliisha ila ilisababisha madhara makubwa sana
Ulikuwa ni mfano tu
Na kwa sasa wenye akili timamu hawapigani hata wakiwa na nguvu kubwa
 
Naomba nijue ukweli kwenye jamii forums wengine wanasema Urusi ni nchi maskini hata Jimbo moja la marekani linazidi nchi kubwa duniani kiuchumi ambayo ni Russia.
Kama Ni hivo kwanini marekani na NATO wenye utajiri mkubwa Sana duniani wanamgwaya Sana Russia kwenye masuala ya kivita
Mfano USA na NATO walipoanza Vita Iran na Russia akaingia kumsaidia Iran USA na NATO walishindwa,pale Venevuela USA alishindwa baada ya URUSI kutia mguu,na Sasa hivi Ukraine Marais karibia 30 wenye uchumi mikubwa duania wanaumiza akili zao kwa nchi moja tu ,ambayo Wanasema ni maskini
Je nauliza Ni kweli URUSI Ni nchi maskini Kama wamagharibu wanavosema?
wewe unafikiri vita ni kama mechi ya mpira miguu?
 
Historia inasema Russia ilikuwa Nchi kubwa sana kwa kila kitu lakini ikaja kupoteza moja ya siraha kubwa zaidi katika maendeleo yake namaanisha Uchumi na Umoja wake kusambaratika.
Baada ya hapo kilichobaki ni kuhakikisha ulinzi wao unaimarika zaidi na ndio sababu leo hii kwenye uchumi wameporomoka lakini kwenye siraha na mbinu za kivita ni wababe haswa (super military might) na hawamtegemei mshirika yeyote.
Hakuna Taifa lolote wala Umoja wowote upo tayari kupigana na Russia kwa sasa itakuwa ni maafa makubwa sana.
Hii komenti ni ya uhakika kabisa
 
Mrusi ana Silaha kali,Nchi za NATO hawataki vita,kwasababu itaspread Ulaya yote..
Ye hana cha kuloose zaidi kufanya fujo tu.
 
Naomba nijue ukweli kwenye JamiiForums wengine wanasema Urusi ni nchi maskini hata Jimbo moja la marekani linazidi nchi kubwa duniani kiuchumi ambayo ni Russia.

Kama Ni hivo kwanini marekani na NATO wenye utajiri mkubwa Sana duniani wanamgwaya Sana Russia kwenye masuala ya kivita

Mfano USA na NATO walipoanza Vita Iran na Russia akaingia kumsaidia Iran USA na NATO walishindwa,pale Venevuela USA alishindwa baada ya URUSI kutia mguu,na Sasa hivi Ukraine Marais karibia 30 wenye uchumi mikubwa duania wanaumiza akili zao kwa nchi moja tu ,ambayo Wanasema ni maskini.

Je, nauliza ni kweli URUSI ni nchi maskini Kama wamagharibi wanavosema?
Ukraine yenyewe ina jeshi kubwa kuliko NATO yote minus US na Turkey,,
Mfano ujerumani sijui ina vifaru 30 vya kijeshi , [emoji23]
 
Back
Top Bottom