Chai halisi ya rangi kutoka TZ.Wewe huijui urusi, kama marekani angekuwa anamuweza mrusi asingekuwa anategemea mbeleko ya NATO kwenda kupambana na mrusi... imebidi ulaya yote iungane na marekani ili kumkabili mrusi peke yake. Ile ni super power eroo. Hakuna mahali mrusi anatia mguu marekani anashinda, iwe ni Syria au Venezuela.
Usiwe na wasi mkuu, Urusi hakosi shabaha ana technology za kisasa zenye ubora, kila siku ana update silaha zake, anatimia vitu kwa GPS so hawezi kukosa shabaha, sisi tuna urafiki mzuri na Urusi[emoji16][emoji16]Na Kenya wameshatuponza tayari kwa kuikemea Urusi.
Linaweza kurushwa kombora kutoka Urusi kwenda Kenya,kwa bahati mbaya likatua Bongo[emoji23][emoji23][emoji23]
Hujui kitu, elimu ndogo tulia. Kama unakuja Kiingereza unaweza kugoogle. Leo Mrusi ameingiza majeshi Ukraine tuone huyo marekani na hao NATO watafanya Nini. Watabaki kubwekabweka tu vikwazo lakin hamna kitu watafanya wala risasi moja kufyatuaChai halisi ya rangi kutoka TZ.
Naona umeleta na vitafunwa kabisa,ili kunogesha chai yako ya rangi.😂😂Hujui kitu, elimu ndogo tulia. Kama unakuja Kiingereza unaweza kugoogle. Leo Mrusi ameingiza majeshi Ukraine tuone huyo marekani na hao NATO watafanya Nini. Watabaki kubwekabweka tu vikwazo lakin hamna kitu watafanya wala risasi moja kufyatua
Mbona jibu liko wazi?Naomba nijue ukweli kwenye JamiiForums wengine wanasema Urusi ni nchi maskini hata Jimbo moja la marekani linazidi nchi kubwa duniani kiuchumi ambayo ni Russia.
Kama Ni hivo kwanini marekani na NATO wenye utajiri mkubwa Sana duniani wanamgwaya Sana Russia kwenye masuala ya kivita
Mfano USA na NATO walipoanza Vita Iran na Russia akaingia kumsaidia Iran USA na NATO walishindwa, pale Venevuela USA alishindwa baada ya URUSI kutia mguu, na sasa hivi Ukraine Marais karibia 30 wenye uchumi mikubwa duania wanaumiza akili zao kwa nchi moja tu, ambayo Wanasema ni maskini.
Je, nauliza ni kweli URUSI ni nchi maskini kama wamagharibi wanavosema?
Huna ujualo, wewe ni wale wazee wa vijiwe vya kahawa ndo maana badala ya kuandika facts zozote unaongelea chai.... wajinga wajinga kama nyie huwa napenda kuwapa elimu. Take this...Naona umeleta na vitafunwa kabisa,ili kunogesha chai yako ya rangi.😂😂
Huna ujualo, wewe ni wale wazee wa vijiwe vya kahawa ndo maana badala ya kuandika facts zozote unaongelea chai.... wajinga wajinga kama nyie huwa napenda kuwapa elimu. Take this...
View attachment 2128150
Sasa mzee wa vijiwe vya kahawa sijui kama lugha inapanda ujue hata wameandika nini hapo..au unaona maluweluwe tu!!!😂😂😂
Nikutafsirie kidogo.. NDIO NCHI TAJIRI KULIKO ZOTE DUNIANI KWENYE RASILIMALI! Ina Mafuta, gas, almasi, dhahabu, fedha...IDIOT!
Sahihi Kabisa; Refer Mkwara wa Kiduku wa North Korea alivyomwambia Trump kuwa kitufe cha kufyatulia makombora ya masafa marefu kipo mezani kwake. Trump na Marekani yake wakaufyata na kumwalika Kiduku ili wanywe wote kahawa na ikawa hivyo!Hakuna watu waoga kama Wamarekani. Marekani huwa anaonea wadogo ambao anajua hawawezi kumuathiri. Ila akiona anayepambana naye ana uwezo wa kuleta athari za moja kwa moja nyumbani kwake hamgusi.
Njia pekee anayoweza kuitumia kama mbadala wa kuingia vita ni vikwazo vya kiuchumi.
Hili wengi wanajifanya hawalijui!! Au wawaulize wareno kilitokea nini huko Msumbiji na Angola au wakoloni wa Namibia.Hapa utopata jibu kamili mtoa mada.ukitaka kupata jibu kamili basi kamfufue Napoleon na Hitler, awa ndo binadamu pekee ambao watakupa majibu mazuri kuhusu WARUSI
Hii ndiyo fact?Au ni sehemu ya yale uliyoyakariri?
NATO ALISHINDA DHIDI Ya libyaNo one Wins a War....
Unataka waingie vitani ili ufaidi kuangalia movie auKama Vita sio lelemama mbona NATO na USA wanapenda kupika Vita na nchi zingine
Mfano walilazamisha Libya kuingizwa vitani mpaka uchumi wa Libya imeharibiwa
Kwahiyo wanapenda kuchokoza nchi dhaifu?
Umetoa sababu za kikerubi! Mbona US amezipiga nchi kibao tu Hadi wa Amerika walikuwa waiiandamana mitaani kupinga uvamizi wa majesh ya US huko Iraq, Afghanistan,libya n.k, na majeshi ya US yaliziba maskio kabisa, hiyo democrasia unayoihubir ilikuwa wapi muda huo!!?Ndio, NATO plus USA ni waoga...haya umefurahi?
Elewa kuwa vita sio Lele..! Ni gharama na uchumi unavurugika mno
Pili: Baada ya vita..ni umasikini...
Russia ni Madikteta...wananchi hawana sauti ya kuhoji
Nato ni Nchi za demokrasia....wananchi wanasauti
Wewe unaona hiyo vita ni mantiki?
Unataka tuwavamie Burundi au Malawi iwe mkoa wa Tanzania..use common sense
Kwamaana hiyo ilikua ni target ya US kuiangusha Ulaya? Maana yeye ndio alikua kinala wa kustimulate hii vita.Ulaya hawataki vita. Na ndo maana kuna nchi zilizopo Nato hazitaki Ukraine aingie Nato. Sema USA ndo anaetaka Ukraine iingie Nato kwa fursa zake anazozitaka pale Russia. USA yupo mbali hivyo hajali maana vita ikitokea Ukraine yeye wala haathiriki. Zitakazoathirika ni nchi za Ulaya kupokea wakimbizi waukrain n.k.
Ukrain ingekua na oil or gas tungeona kivumbi mkuu si ndio maana yake?Umetoa sababu za kikerubi! Mbona US amezipiga nchi kibao tu Hadi wa Amerika walikuwa waiiandamana mitaani kupinga uvamizi wa majesh ya US huko Iraq, Afghanistan,libya n.k, na majeshi ya US yaliziba maskio kabisa, hiyo democrasia unayoihubir ilikuwa wapi muda huo!!?
Marekani huwa hapigani Vita ikiwa atajua hakuna maslahi ya kutosha,lkn pia akijua anaweza kupata hasara kubwa zaidi ,hapo haendi kupigana hata iweje. Marekani anajua russian sio ya kuiendea kichwa kichwa ,maana ni nchi yenye nguvu kijeshi na ki technology,marekani anajua fika kuingia Vita na russian ni sawa na kujitoa muhanga ,au kuvaa mabomu ya gurunet shingoni!!!!
Swali lako mkuu ni kama kuulizia kama korea kaskazini ni maskini... Sijui jibu ila naamini nguvu ya kijeshi ndo ishu niaje, mrusi yuko juuNaomba nijue ukweli kwenye JamiiForums wengine wanasema Urusi ni nchi maskini hata Jimbo moja la marekani linazidi nchi kubwa duniani kiuchumi ambayo ni Russia.
Kama Ni hivo kwanini marekani na NATO wenye utajiri mkubwa Sana duniani wanamgwaya Sana Russia kwenye masuala ya kivita
Mfano USA na NATO walipoanza Vita Iran na Russia akaingia kumsaidia Iran USA na NATO walishindwa, pale Venevuela USA alishindwa baada ya URUSI kutia mguu, na sasa hivi Ukraine Marais karibia 30 wenye uchumi mikubwa duania wanaumiza akili zao kwa nchi moja tu, ambayo Wanasema ni maskini.
Je, nauliza ni kweli URUSI ni nchi maskini kama wamagharibi wanavosema?