Nkerebhuke
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 796
- 2,026
Siku zote panapofuka moshi ujue kuna moto hivyo kila jambo linalotokea huwa halikosi sababu. Kenya ameonekana kujiandaa kupekeka mamia ya wanajeshi Congo baada ya waasi kupata nguvu mashariki ya Congo na kukua kwa uhasama kati ya congo na Rwanda.
Ikumbukwe mwaka 2013 Tanzania alipeleka battalion kuunda brigade ambayo ilijumuisha askari kutoka Malawi na south Africa. Kikosi kile cha kwanza kilikuwa cha moto kilisheheni makomandoo, maafisa wataalamu wa siliaha walikinukisha sio mchezo. Habari ya M23 hatakuisikia tena leo wamepata wapi nguvu?
Taarifa za ujasusi zinabainisha kuwa Kigali inahusika kulipa msaada kundi la M23 kama ilivyofanya mwaka 2002 na kudhibitiwa na majeshi ya Angola na Zimbabwe. Je Tanzania ushawishi wetu umeshuka? au ushwahiba wa kagame na aliekuwa jamaa flani umechangia Rwanda kutunisha misuli?, Je Kenya ndio super power kwa sasa naomba kuwasilisha hoja
Ikumbukwe mwaka 2013 Tanzania alipeleka battalion kuunda brigade ambayo ilijumuisha askari kutoka Malawi na south Africa. Kikosi kile cha kwanza kilikuwa cha moto kilisheheni makomandoo, maafisa wataalamu wa siliaha walikinukisha sio mchezo. Habari ya M23 hatakuisikia tena leo wamepata wapi nguvu?
Taarifa za ujasusi zinabainisha kuwa Kigali inahusika kulipa msaada kundi la M23 kama ilivyofanya mwaka 2002 na kudhibitiwa na majeshi ya Angola na Zimbabwe. Je Tanzania ushawishi wetu umeshuka? au ushwahiba wa kagame na aliekuwa jamaa flani umechangia Rwanda kutunisha misuli?, Je Kenya ndio super power kwa sasa naomba kuwasilisha hoja