Nani ndio super power wa ukweli ukanda wa maziwa makuu kudhibiti mikwara ya Rwanda na Congo

Nani ndio super power wa ukweli ukanda wa maziwa makuu kudhibiti mikwara ya Rwanda na Congo

Ha ha ha sema Nini siku hizi hata vile vitolewavyo bure kwa wahitaji huuzwa man.
Huwezi amini hiyo nafasi ulitakiwa kuipata bure kabisa ukatumikie.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Nilifata utaratibu wa bure lkn nikakatwa kisa sina leaving certificate baada ya hapo ndio nikaangukia mikononi mwa jamaa wa ikulu AKANIPUNA vijisenti vyangu
 
Nilifata utaratibu wa bure lkn nikakatwa kisa sina leaving certificate baada ya hapo ndio nikaangukia mikononi mwa jamaa wa ikulu AKANIPUNA vijisenti vyangu
Ha ha nacheka kama mazuri.
Kuna msemo mmoja wa huko kwetu kahama usemao hata kibaya Ni kizuri.
Usikubali hiyo kitu asee. Utapururwa kila kitu babake

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Ningependa kuona bajeti ya ulinzi kwa nchi zote hizo ili nilinganishe
Pia silaha zote ziwekwe data hapa

Ingawa najua ni ngumu kuweka ukweli hapa ila inaonekana wote tunahitaji mahindi kuliko risasi
 
Upo sasa kuna RPC mmoja mstaafu (ana miezi 2 toka astafu)

Ametapeliwa hela zake na jamaa fulani anafanya kazi ikulu RPC alitoa hela ili binti yake ambae kamaliza chuo aingizwe idara nyeti

Sasa kama RPC anatapeliwa [emoji23][emoji23][emoji23]

Mtu kamaliza tu chuo baba yake ambae ni RPC anahonga ili mwanae aingie idara nyeti unadhani hata huyo mtoto akiingia atakuwa mtu wa namna gan [emoji23][emoji23][emoji23]

ALL IN jamaa wa ikulu usiponirudishia hela yangu au kunipeleka MSATA nitakuloga kwa kweli
Mimi kuna kipindi nilikuwa nafanya kazi sehemu fulani nikakutana na watu wengi sana wa TISS walikuwa na mission ene, walikuwa deployed na Magu. Baadaye nikakutana na mmoja ambaye anatokea mkoani kwetu, tukazoeana tukawa tunazungumza fresh tu.

Hivi karibuni nilipata changamoto kubwa sana ya kutapeliwa 17M nikajaribu kumshawishi kama angenisaidia, maana wale watu walionitapeli nilikuja kugundua siyo watu wadogo sana mtandao mkubwa sana wa utapeli serikalini na hawali peke yao. Nilipomwambia yaani akawa anatoa reasoning zero kabisa. Nikaona hakuna chochote hapa.

Nina demu pia kaka yake ni TISS lakini uwezo hakuna kitu.

Nilipokuja kufanya kazi Halmashauri nikawa na mazoea Tarafa mmoja anayekaimu nafasi huko kwa DC. Unajua chini ya DC kuna maakari was aina zote kama DSO (TISS), Magereza, JWTZ, RCO, nk nikawa nakutana nao hao TISS nikakonfirm akili zao ndogo sana.

Na kawilaya nilikopo ni kadogo nakutana nao kila wakati.

Yaani ukisikia imagination za watu zilivyo kuhusu hao TISS na ukiwaona unabaki kusikitika tu.
 
Mimi kuna kipindi nilikuwa nafanya kazi sehemu fulani nikakutana na watu wengi sana wa TISS walikuwa na mission ene, walikuwa deployed na Magu. Baadaye nikakutana na mmoja ambaye anatokea mkoani kwetu, tukazoeana tukawa tunazungumza fresh tu.

Hivi karibuni nilipata changamoto kubwa sana ya kutapeliwa 17M nikajaribu kumshawishi kama angenisaidia, maana wale watu walionitapeli nilikuja kugundua siyo watu wadogo sana mtandao mkubwa sana wa utapeli serikalini na hawali peke yao. Nilipomwambia yaani akawa anatoa reasoning zero kabisa. Nikaona hakuna chochote hapa.

Nina demu pia kaka yake ni TISS lakini uwezo hakuna kitu.

Nilipokuja kufanya kazi Halmashauri nikawa na mazoea Tarafa mmoja anayekaimu nafasi huko kwa DC. Unajua chini ya DC kuna maakari was aina zote kama DSO (TISS), Magereza, JWTZ, RCO, nk nikawa nakutana nao hao TISS nikakonfirm akili zao ndogo sana.

Na kawilaya nilikopo ni kadogo nakutana nao kila wakati.

Yaani ukisikia imagination za watu zilivyo kuhusu hao TISS na ukiwaona unabaki kusikitika tu.
Tiss ni ya hovyo toka zamani ila imekuwa ya hovyo zaidi kuanzia 2008 na zaidi ikawa ya hovyo mwaka 2016

Tiss mwenye akili ni shemeji yangu yeye alijipatia zake gape Fran hivi mafisadi huwa wanamlipa milion 9 kwa mwezi (alipelekwa sehemu kuchunguza akajiunga na wachunguzwa wakawa kitu kimoja) now anakula shubwela tu
 
Back
Top Bottom