Nani ndio super power wa ukweli ukanda wa maziwa makuu kudhibiti mikwara ya Rwanda na Congo

Nani ndio super power wa ukweli ukanda wa maziwa makuu kudhibiti mikwara ya Rwanda na Congo

Wakuu wake wanateuliwa kushika nyadhifa ambazo ili uteuliwe lazima uwe mwanachama wa chama cha Mapinduzi, badala ya wao kufanya kazi za jeshi tu walizosomea na kuapa kuilinda nchi.
Tangu nyerere mtumishi wa umma alikua na kadi ya ccm,na je huyo mwanajeshi mwenye kadi ya ccm uanajeshi wake hutetereka kisa kadi!?
 
Wenzetu huwa wanatumia platform kama hizi za jamii forums kuchukua mambo na kuyajadili kwa maslahi mapana ya Taifa... Lakini Tanzania nina uhakika Usalama akiona hii mada na comments zake... Atasoma huku anabinya mdomo na kusonya... Kwamba tunaandika upuuzi na mashudu... Kuna muda unakaa chini na kusema nchi yetu kuna uwezekano mkubwa viongozi wengi wa ngazi za juu kwenye taasisi mbalimbali si watanzania bali ni mapandikizi wa nchi zingine
 
super power my chocolate a$$, anashindwa na 'wanamgambo' wa Al-Shabab wanaopigana 'jangwani' hakuna pa kujificha

ataweza 'jeshi la kimapinduzi' linalopigana 'msituni' kweli ?
Umeandika ushabiki tu.... hao Al shabaab kwa sasa wamegeuka 'insurgence force' japo wanashikilia baadhi ya maeneo .....hao M23 ni 'conventional army' tena wanapokea msaada kutoka taifa jirani ndio maana imekuwa rahisi kwao kuteka maeneo muhimu ya Drc hao ni rahisi kupambana nao maana wanaonekana na kufahamika....hivyo KDF inawamudu
 
Urban ipi ? KDF iko na troops kibao kwenye jangwa za Somalia, unapaita Urban ?

KDF-Jeshi, linalotrainiwa na jeshi la kimarekani kila kukicha, na wenye vifaa vya kivita vya kisasa, kupambana na 'wanamgambo' wenye 'AK47' miaka nenda rudi ?

ujinga kiwango cha Bitumen kuiita Kenya super-power
Mbona hushangai Marekani kupambana na Taliban miaka 20?... insurgency forces sio rahisi kuwashinda tena kibaya zaidi wanaendeshwa na itikadi za kiimani.
 
Amini amini nawaambia huenda Rwanda na udogo wake wa eneo ndio super power.
Tanzania na ukubwa wake wa eneo imekosa critical thinkers, inaendeshwa na ulaghai na uchawi.

Rais anazunguka dunia nzima kuomba misada, misada inaliwa kizembe tu, hamna anayechukuliwa hatua.

Mnafuja hela, nchi itaendelea lini?
Wewe unaijua Tanzania ya JF tu. Jichanganye.
 
Tuna raisi mzembe Sana, wizi unafanyika wazizi na anakaa kimya Tu,
CAG ametoa report yake Bunge limesema Hana ushahidi wa kutosha
Sasa ivi serikali kuiba pesa za walipa Kodi nijambo la kujivunia kila MTU anakula Kwa urefu wa kamba yake.
Amini amini nawaambia huenda Rwanda na udogo wake wa eneo ndio super power.
Tanzania na ukubwa wake wa eneo imekosa critical thinkers, inaendeshwa na ulaghai na uchawi.

Rais anazunguka dunia nzima kuomba misada, misada inaliwa kizembe tu, hamna anayechukuliwa hatua.

Mnafuja hela, nchi itaendelea lini?
 
Siku zote panapofuka moshi ujue kuna moto hivyo kila jambo linalotokea huwa halikosi sababu. Kenya ameonekana kujiandaa kupekeka mamia ya wanajeshi Congo baada ya waasi kupata nguvu mashariki ya Congo na kukua kwa uhasama kati ya congo na Rwanda.

Ikumbukwe mwaka 2013 Tanzania alipeleka battalion kuunda brigade ambayo ilijumuisha askari kutoka Malawi na south Africa. Kikosi kile cha kwanza kilikuwa cha moto kilisheheni makomandoo, maafisa wataalamu wa siliaha walikinukisha sio mchezo. Habari ya M23 hatakuisikia tena leo wamepata wapi nguvu?

Taarifa za ujasusi zinabainisha kuwa Kigali inahusika kulipa msaada kundi la M23 kama ilivyofanya mwaka 2002 na kudhibitiwa na majeshi ya Angola na Zimbabwe. Je Tanzania ushawishi wetu umeshuka? au ushwahiba wa kagame na aliekuwa jamaa flani umechangia Rwanda kutunisha misuli?, Je Kenya ndio super power kwa sasa naomba kuwasilisha hoja

Umemu Underestimate Rwanda sana. Uwanjani lolote huwa linaweza kutokea na siku zote yule anayoonekana hana uwezo ndio mwenye probability kubwa yakuibuka na ushindi
 
Wenzetu huwa wanatumia platform kama hizi za jamii forums kuchukua mambo na kuyajadili kwa maslahi mapana ya Taifa... Lakini Tanzania nina uhakika Usalama akiona hii mada na comments zake... Atasoma huku anabinya mdomo na kusonya... Kwamba tunaandika upuuzi na mashudu... Kuna muda unakaa chini na kusema nchi yetu kuna uwezekano mkubwa viongozi wengi wa ngazi za juu kwenye taasisi mbalimbali si watanzania bali ni mapandikizi wa nchi zingine
Kwa Tanzania asilimia kubwa ya watu wa TISS wana akili ndogo sana.

Speaking from experience.
 
Kwa Tanzania asilimia kubwa ya watu wa TISS wana akili ndogo sana.

Speaking from experience.
Upo sasa kuna RPC mmoja mstaafu (ana miezi 2 toka astafu)

Ametapeliwa hela zake na jamaa fulani anafanya kazi ikulu RPC alitoa hela ili binti yake ambae kamaliza chuo aingizwe idara nyeti

Sasa kama RPC anatapeliwa [emoji23][emoji23][emoji23]

Mtu kamaliza tu chuo baba yake ambae ni RPC anahonga ili mwanae aingie idara nyeti unadhani hata huyo mtoto akiingia atakuwa mtu wa namna gan [emoji23][emoji23][emoji23]

ALL IN jamaa wa ikulu usiponirudishia hela yangu au kunipeleka MSATA nitakuloga kwa kweli
 
Upo sasa kuna RPC mmoja mstaafu (ana miezi 2 toka astafu)

Ametapeliwa hela zake na jamaa fulani anafanya kazi ikulu RPC alitoa hela ili binti yake ambae kamaliza chuo aingizwe idara nyeti

Sasa kama RPC anatapeliwa [emoji23][emoji23][emoji23]

Mtu kamaliza tu chuo baba yake ambae ni RPC anahonga ili mwanae aingie idara nyeti unadhani hata huyo mtoto akiingia atakuwa mtu wa namna gan [emoji23][emoji23][emoji23]

ALL IN jamaa wa ikulu usiponirudishia hela yangu au kunipeleka MSATA nitakuloga kwa kweli
Ha ha mbanga kakutapeli.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom