Thubutuuuu uromantic bila hela naonaga kama unakua ni kero flani hivi...
Hapana haianzi "hi" tu....Sasa kwa mara ya kwanza interaction si lazima ianze na hi lakini!
Hee sasa hapo tu...manaake ni kile kitenzi au?Hapana haianzi "hi" tu....
No more question π
Thubutuuuu uromantic bila hela naonaga kama unakua ni kero flani hivi...
Hapana yani isiwe hi kavuHee sasa hapo tu...manaake ni kile kitenzi au?
Priorities zinatofautiana, usinilazimishe BAKπππKuwa romantic haina maana hela ya good times haipo ila badala ya kutanguliza pesa mbele kama ananunua malaya wa kona bar anatanguliza hiyo kitu.
Priorities zinatofautiana, usinilazimishe BAKπππ
Hi nimekuwekea nauli kindly drop by Mlimani City! How does that sound?Hapana yani isiwe hi kavu
Ntakuita majina haujawahi kuitwa chini ya hili juaHi nimekuwekea nauli kindly drop by Mlimani City! How does that sound?
Mamaee kweli hela sabuni ya roho π»π»π»Ntakuita majina haujawahi kuitwa chini ya hili jua
Mkuu wanawake huwa hawajui ni nini wanapenda... zaidi ya kuwa emotionally driven basi, na juwa watapinga lakini huo ndiyo ukweliHv unaweza uwe romantic halafu usiwe caring guy?
Big diick tuna comment wap
Nimecheka mpaka njaa imeamka, you guys are so funnyKwa sabaya
anaweza care vip bila ela5. Caring guy
Kwangu mie ni namba 1 na hiyo 5 niliyoongezea,napenda sana funny guys...kuna muda unakuta mtu unamiss hadi uwepo wake