Nani ni Brand ambassador bora Tanzania kwa sasa kati ya Babalevo, Idriss Sultan, Mwijaku na Joti?

Nani ni Brand ambassador bora Tanzania kwa sasa kati ya Babalevo, Idriss Sultan, Mwijaku na Joti?

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
IMG_20241120_113035.jpg

Nilikuwa natazama nominations ya tuzo fulani hapa Tanzania.

Nikaona majina ya brand ambassadors wanaochuana kama mnavyoona kwenye picha.

Kwa mtazamo wako unadhani ni nani bingwa hapa kwa kuitambulisha bidhaa kwa mteja na ikamvutia na kuitumia?

Mimi kwa sasa nasimama na Babalevo.
 
Back
Top Bottom