sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
- Thread starter
- #21
Dotto bado kuna stage ajaifikiaList bila doto magari haijatimia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dotto bado kuna stage ajaifikiaList bila doto magari haijatimia
Kura mbona zishafungwa usiwe na wasiwasi wala usiumie roho kwa kitu hakipo.Naona unatoa promo kijanja ili watu wampigie kura chawa wenu wasafi.
Idris ni mzuri sana kwenye biashara za corporate.Idris sultan anamaunyama hatari..!
labda ungesema chawa bora wa mama wa ccm sawaView attachment 3156756
Nilikuwa natazama nominations ya tuzo fulani hapa Tanzania.
Nikaona majina ya brand ambassadors wanaochuana kama mnavyoona kwenye picha.
Kwa mtazamo wako unadhani ni nani bingwa hapa kwa kuitambulisha bidhaa kwa mteja na ikamvutia na kuitumia?
Mimi kwa sasa nasimama na Babalevo.
haha hahahaha nimecheka mpaka nimejamba😅😅Roho mbaya si dawa ya changamoto zako za kimaisha unazopitia
Unajambaje mkuu sio tabia nzurihaha hahahaha nimecheka mpaka nimejamba😅😅
Kujamba ni kupumua mkuuUnajambaje mkuu sio tabia nzuri
Mwijaku na baba levo ni machawa tu mikundu yao watoe hapoView attachment 3156756
Nilikuwa natazama nominations ya tuzo fulani hapa Tanzania.
Nikaona majina ya brand ambassadors wanaochuana kama mnavyoona kwenye picha.
Kwa mtazamo wako unadhani ni nani bingwa hapa kwa kuitambulisha bidhaa kwa mteja na ikamvutia na kuitumia?
Mimi kwa sasa nasimama na Babalevo.