sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Roho mbaya si dawa ya changamoto zako za kimaisha unazopitiaInatusaidia nini? ...........toka huko
Yes Joti yupo sawa ila haswa product za watotobraza Joti anafaa sana kuwa, brand ambassador wa kudumu.
JotiView attachment 3156756
Nilikuwa natazama nominations ya tuzo fulani hapa Tanzania.
Nikaona majina ya brand ambassadors wanaochuana kama mnavyoona kwenye picha.
Kwa mtazamo wako unadhani ni nani bingwa hapa kwa kuitambulisha bidhaa kwa mteja na ikamvutia na kuitumia?
Mimi kwa sasa nasimama na Babalevo.
Kwa nini mkuu.Hiki ndio kipindi tunammiss Le Mutuz