Nani ni Brand ambassador bora Tanzania kwa sasa kati ya Babalevo, Idriss Sultan, Mwijaku na Joti?

labda ungesema chawa bora wa mama wa ccm sawa
 
1- Joti
2- Idris sultan

Hao wengine ni uchawa mwingi sana, kama huyo baba levo wako yupo radhi kuolewa na boss kabisa, hamna mtu apo.
 
Mwijaku na baba levo ni machawa tu mikundu yao watoe hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…