Kwanza poleni na majukumu wakuu.
Huwa nina tabia ya kusikiliza na kutizama show mbalimbali za kiburudani kwenye radio na tv stations mbalimbali za nchini na nje kwa majirani lakini kwa mwaka huu dj aliyenikosha tukianzia ngoma kali, blending nyoofu, scratching techniques kali, jingles pamoja na maujanja mengine ni huyu jamaa Dj willy b (kiss fm tanzania)
Ni mtazamo tu, hebu na ww mtaje dj wako aliyefanya vizur 2017.
Huwa nina tabia ya kusikiliza na kutizama show mbalimbali za kiburudani kwenye radio na tv stations mbalimbali za nchini na nje kwa majirani lakini kwa mwaka huu dj aliyenikosha tukianzia ngoma kali, blending nyoofu, scratching techniques kali, jingles pamoja na maujanja mengine ni huyu jamaa Dj willy b (kiss fm tanzania)
Ni mtazamo tu, hebu na ww mtaje dj wako aliyefanya vizur 2017.