Nani Producer Mkali, S2Kizzy Vs Mika Mwamba?

Nani Producer Mkali, S2Kizzy Vs Mika Mwamba?


Leo kumekuwa na ubishani mkali, je ni nani Producer Bora wa mziki , kati ya Producer namba moja wa muda wote wa Tanzania ajulikanae kama s2kizzy, na engineer wa mziki aliewahi kuwa producer wa nyimbo za bongo fleva Kwa Jina Milka Mwamba.

Sasa s2kizzy ambaye Kwa Sasa ni namba moja nchini ametengeneza nyimbo kama Tetema, far away diamond, enjoy, na Mila Mwamba ametengeneza nyimbo kama Twenzetu ya chege, na Mabinti wa kitanga Bwana misosi.

Wanajamvini ambao sio watoto wa 2000, Nina matumaini wanawajua maproducer wote Hawa wawili, Sasa nani mkali kati ya mzungu mika Mwamba na mbongo S2kizzy
Huo haukua ubishani bali ni utoto, na wewe umeuchukua huo utoto umeileta kwenye meza ya watu wazima.
 

Leo kumekuwa na ubishani mkali, je ni nani Producer Bora wa mziki , kati ya Producer namba moja wa muda wote wa Tanzania ajulikanae kama s2kizzy, na engineer wa mziki aliewahi kuwa producer wa nyimbo za bongo fleva Kwa Jina Milka Mwamba.

Sasa s2kizzy ambaye Kwa Sasa ni namba moja nchini ametengeneza nyimbo kama Tetema, far away diamond, enjoy, na Mila Mwamba ametengeneza nyimbo kama Twenzetu ya chege, na Mabinti wa kitanga Bwana misosi.

Wanajamvini ambao sio watoto wa 2000, Nina matumaini wanawajua maproducer wote Hawa wawili, Sasa nani mkali kati ya mzungu mika Mwamba na mbongo S2kizzy
Nasisitiza tena, Usimfananishe Mika Mwamba na huo ushubwada

Tobe honest s2kizzy sio producer ni beat maker, na ndio maana karibu hitsong zake karibu zoote mwishoni utasikia kamix laizer


Sasa ukifika hatua unanyonga vitu vyako mwanzo mwisho wewe nifundi, na sio lazima iwe hivyo ila atleast uweze
 
Vijana wa 2000 mnajitekenya eti hivi mnajua mika mwamba nyie ebu kasikilizeni
1. Mtoto wa geti kali by gangwe mob
2. Chambua kama kalanga by saida kaloli
3.kamanda by daznundaz
4. Barua by daznundaz
5. Nakupenda mpenzi by dudu baya
6. Salome by Dully
Asiee ngoja niishie hapa
Ongezea na ile twenzetu ya chege na temba beat yake ile ngoma ilivyo kuwa hatar mpaka leo hii..
 
Mikka Mwamba Pia ndo alitengeneza Album ya Saida Kalori, na moja ya hiti kubwa sana ya muda wote ya Saida , Chambua kama karanga, sijui kama S2kizzy ameshawahi kutengeneza nyimbo iliyohit sana kama Chambua kama karanga
 

Attachments

  • IMG_20240523_115505_056.jpg
    IMG_20240523_115505_056.jpg
    5.5 MB · Views: 7
Vijana wa 2000 mnajitekenya eti hivi mnajua mika mwamba nyie ebu kasikilizeni
1. Mtoto wa geti kali by gangwe mob
2. Chambua kama kalanga by saida kaloli
3.kamanda by daznundaz
4. Barua by daznundaz
5. Nakupenda mpenzi by dudu baya
6. Salome by Dully
Asiee ngoja niishie hapa
Ongeza na Tamala ya Hardmad slimdady
 
Mtoa mada, naona unafananisha Real Music Producer vs Beat Maker (Sampling)

Miikka Mwamba ni bora kumzidi S2Kizzy milele na milele
 
Back
Top Bottom