Nani Role model Wako?

Nani Role model Wako?

Sio Kweli Mkuu,
Ni Labda Hujaelewa Maana Ya Role Model
Kila Kitu Kinachokubadilisha Au Kukufumbua Macho Kimtazamo Ni Moja Ya Huyo Role Model,
Yaweza Kuwa Mzazi Wako, Dada, Kaka, Mjomba, Kiongozi Wa Dini, Siasa, etc

Wengi Ukisema Role Model, Akili Zinaamia Kwa Kina Hamisa Mobeto, Sijui Mondi. This Is Common Misconception.

Sent using Jamii Forums mobile app
I am master of my own destiny

Sent using Jamii Forums mobile app
 
My hero is the father of all Bible expositers Mr. Derek Prince. He taught me what Christianity really means....
 
Ubunifu,msimamo wa kweli wa kiume,misemo ya kumfanya MTU asikate tamaa katika maisha.
Kusimamia ukweli,kutokubali kuyumbishwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo Nimekupata Mkuu!
Kiukweli Hata Mimi Nimetokea Kuvutiwa Na Kazi Zake Za Kiubunifu Kama "Mona Lisa " Kwa Kutumia Painting Style Ya Sfumato.

Pia, Uwezo Mkubwa Wa Kiakili Aliokuwa Nao Huyu Bwana Ni Wa Kipekee Yaani Kwenye Sanaa Na Sayansi (Afya, Uhandisi, Miamba, Hesabu, Baiolojia, Bustani nk) Alifit Vizuri Mno.

Chakushangaza Alikuwa Ana Uwezo Wa Kutumia Mikono Yote Miwili Kwa Ulingani Sawa Kitaalamu Wanaitwa "Ambidexter "



Sent using Jamii Forums mobile app
 
My hero is the father of all Bible expositers Mr. Derek Prince. He taught me what Christianity really means....
Ah, Yes!
I've Once Heard About Him But For The Benefits Of People Here Could You Be So Kind As To Enlighten Us Who Really The Guy Was?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo Nimekupata Mkuu!
Kiukweli Hata Mimi Nimetokea Kuvutiwa Na Kazi Zake Za Kiubunifu Kama "Mona Lisa " Kwa Kutumia Painting Style Ya Sfumato.

Pia, Uwezo Mkubwa Wa Kiakili Aliokuwa Nao Huyu Bwana Ni Wa Kipekee Yaani Kwenye Sanaa Na Sayansi (Afya, Uhandisi, Miamba, Hesabu, Baiolojia, Bustani nk) Alifit Vizuri Mno.

Chakushangaza Alikuwa Ana Uwezo Wa Kutumia Mikono Yote Miwili Kwa Ulingani Sawa Kitaalamu Wanaitwa "Ambidexter "



Sent using Jamii Forums mobile app
Yah,kuna mengi ya huyu jamaa,nimetokea kumkubali toka kitambo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Harbindher Singh Seth mtu wa mipango ndo role model wangu, yan kichwa kimoja kiliweza kuingia mikataba ya uongo na serikali mbili tofauti, Kenya na Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vizuri Mkuu!
Kama Ni Mpenzi Wa Vitabu
Kuna HiKi Kinaitwa "Leonardo Da Vinci" By Author Walter Isaacson, Kina Full Coverage Of His Life
Screenshot_20180816-192703.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikuwa mwingereza aliyezaliwa India mwaka 1945. Alisoma Philosophy chuoni Cambridge na kuwa mwanafunzi mzuri sana wa Plato. Baadaye alipata draft kwenda jeshini ambapo ndipo alipopata kumjua MUNGU akiwa huko kwenye jangwa za north Africa. Alitokea kuwa Mwalimu wa Biblia mzuri kupindukia. Alifundisha Biblia katika namna rahisi na ya kueleweka kwa mtu wa aina yoyote. Alifariki na kuzikwa huko Yerusalem Israel mwaka 2003.
Ah, Yes!
I've Once Heard About Him But For The Benefits Of People Here Could You Be So Kind As To Enlighten Us Who Really The Guy Was?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duniani Yesu alikuwa full mwanadamu na full Mungu, kama mkuu anataka kuwa kama Yesu kwa maana ya mwanadamu. It's okay......
Lakini huyu bwana amezungumzia "mtu" kwa maana ya binadamu. Kumhusisha Kristo hapa ni dharau kwa utukufu wa Mungu.

Mi role model wangu ni "watu wasiojulikana"

Natamani siku moja nikutane nao wanipe mbinumbinu...

Kuna watu ningekuwa nshawahamishia ahera, sema nashindwa kwakuwa najulikana...

Sipendi kuona watu wenye mioyo ya kikatili na wenye roho mbaya zilizopitiliza wakiendelea kuwatesa watu wasio na hatia hapa duniani... kwa sababu tu ya chuki za kisiasa.

Hapa najua Otorong'ong'o ataniunga mkono kwa mara ya kwanza.

Cc: wakatoliki wabobezi Sky Eclat Kaizer (choir master) snowhite mwalimu wa ukweli.
 
Role Models wangu ni
1.John Paul II (Mungu Amrehemu)
Huyu Bwana Alikuwa ni Papa wa 264 Alikuwa anaitwa Karol Józef Wojtyła, Miaka ya 1980 aliwahi kupigwa risasi na Kijana Mmoja Muislamu John Paul akamfuata Kijana yule Gerezani akamwambia Nimekusamehe..kwa kawaida ni ngumu kumsamehe mtu aliyekusudia kukua.. alinifundisha kusamehe
2.Ignatius of Loyola (Mungu Amrehemu)
Kuna shirika ndani ya kanisa katoliki linaitwa JESUIT ni huyu bwana igantius wa loyola (Hispania) nafikiri karne ya 15 baada ya uprotestanti Kujitokeza alibuni mbinu ya kuipandikiza imani katoliki kwa misingi ya kuanzisha seminary nyingi nje na ndani ya ulaya na elimu ya juu kupitisa shirika la Jesuit
3.Ignatius of Antioch (Mungu Amrehemu)
Neno KATOLIKI lilianzishwa na Huyu bwana Miaka ya 100 baada ya Kristu, my inspiration as a Catholic
4.Augustino of Hippo (Mungu Amrehemu)
Wakatoliki wengi wanamjua huyu bwana, anaitwa Mtakatifu Augustino wa Hippo nafasi yake katika kanisa ni Pana sana Haitoshi kuelezea.. kiufupi sala ya baba yetu tunayosali wakatoliki ni huyu bwana ameiasisi wakati inayosaliwa na walutheri imeasisiwa na nwana mmoja anaitwa ORigen

5.Paul the Apostle (Mungu Amrehemu)
Mtume Paulo, wakristu tunajua Role yake katika agano Jipya aliupigania sana ukristu pamoja na Changamoto alizozipata, katika biblia huyu bwana ananivutia sana!
 
Back
Top Bottom