Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Hamna kawaida tuuuuna majidai
teh teh
nakusalimu tu
Asante kwa salamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna kawaida tuuuuna majidai
teh teh
nakusalimu tu
Ashasahaulika Huyu Mutu Daaaah Ile Issue Ya Lugumi Ilimpa Umaarufu Kweli,Dk shika kwa uwongo maana na huku kitaa niko hivo..
Huyu kama nilisikia alikufa masikini na aliugua kuhara
Watu wa design hiyo walikuwa hawapi pesa kipaumbele kama siku hizi.Huyu kama nilisikia alikufa masikini na aliugua kuhara
Means alispend muda wake mwingi kufanya u great thinker akasahau kutafuta pesa
Inawezekana mkuu.Hivi mtu anaweza kuwa na role model wa jinsia tofauti!?
kabisa aisee,Watu wa design hiyo walikuwa hawapi pesa kipaumbele kama siku hizi.
Walikuwa watu wa vitabuni tu.
Sent from my HTC_D816x using JamiiForums mobile app
Naona saivi wanajikita kwenye biashara kama hawa kina Jeff Bezos, Ellon Musk etc.kabisa aisee,
yeah, na dunia ya sasa pia imebadilika mno, uhitaji wa pesa umeongezeka, tofauti na zamaniNaona saivi wanajikita kwenye biashara kama hawa kina Jeff Bezos, Ellon Musk etc.
Sent from my HTC_D816x using JamiiForums mobile app