Nani wa kulaumiwa: BeFoward au kampuni iliyouza gari?

Nani wa kulaumiwa: BeFoward au kampuni iliyouza gari?

Jamaa yangu alinunua gari kwa njia ya mtanda kisha akatumia kampuni ya Befoward ili ku clear na kumfikishia mahala alipo.

Ukweli ni kwamba alifikishiwa mkoani mahala alipo ila gari ilikuwa imenyofolewa vipuri muhimu kiasi kwamba ametumia ghalama kubwa sana kuiweka gari hiyo katika hali nzuri ya kuweza kutumika pasipo shida.

Alijaribu kulalamika kwenye ofisi ya Dar na hata Japan lakini hakupata msaada wowote.Waagizaji magari kwa njia ya mtandao chukueni tahadhali hii kamupuni siyo ya kuamini tena.
Nawaamini sana be foward kuliko makupuni ya watu binafsi yamejaa ujanja wizi na upigaji mwingi be foward waliniagizia mazda cx 5 yangu ,niliikuta kwao iko poa wameshalipia kila kitu ...acha kuwachafulia be foward
 
Ulipata report ya ukaguzi Japan? Gari ilikua ni ya mwaka gani na ilikua iko grade gani?
Maana kuna grade na watanzania wengi wanaagiza grade 4, 3.5 na 3.
Km ilikua ni grade 3 maana yake ni gari chakavu na wanakuambia kabisa.

Pia km uliagiza kutoka nchi nyingine tofauti na Japan napo ni shida
Niliagiza kutoka Japan kupitia be-forward
 
mshukuru sana max kuweka privacy kwenye user name zetu hao jamaa wame build trust miaka 10+ sasa,na ni kampuni ambyo nimeshaagiza gari 20 mpka sasa.

kama wakisema wakufngulie mashtaka kwa kuharibu reputation yao dah mzee watakufirisi wewe na ukoo wenu mzma
 
mshukuru sana max kuweka privacy kwenye user name zetu hao jamaa wame build trust miaka 10+ sasa,na ni kampuni ambyo nimeshaagiza gari 20 mpka sasa.

kama wakisema wakufngulie mashtaka kwa kuharibu reputation yao dah mzee watakufirisi wewe na ukoo wenu mzma

Msitishe watu kwa kuelezea experience zao. Unless mna uhakika kwamba wanadanganya. Kama wewe una experience nzuri nao elezea na watu watapima.
 
mshukuru sana max kuweka privacy kwenye user name zetu hao jamaa wame build trust miaka 10+ sasa,na ni kampuni ambyo nimeshaagiza gari 20 mpka sasa.

kama wakisema wakufngulie mashtaka kwa kuharibu reputation yao dah mzee watakufirisi wewe na ukoo wenu mzma
Hii Maada nimeshare link na Beforward kanda ya kaskazini.

Amesema wale watu zamani walikua wana nunua kwa mtandao walikua wanatumia ma agent wasio waaminifu.

Wizi ulikua unafanywa na staff wa Bandarini ila kwa sasa kuna ulinzi na kamera na hakuna wizi unaotokea.

Amesema kulikuwa na wizi sana kabla ya "Jiwe"
 
Auction Grade : This is the general evaluation grade of the car condition. (0~5)

Grade 0 : Heavy damaged car that can’t be evaluated

Grade 2 : Not so good

Grade 3 : Better but some little damages

Grade 3.5 : Normal

Grade 4 : Fine

Grade 4.5 : Very fine

Grade 5 : Almost brand new car
mbona hueleweki si umesema tununue grade 1?
 
What you see is what you get from BF. Hawa nilikuwa siwaelewi mwanzo ila baada ya kuwatumia mara kadhaa wamekuwa chaguo langu la kwanza! Ku deal na BF naona kama naagiza gari kwa mshkaji tu. Nawakubali sana.
 
What you see is what you get from BF. Hawa nilikuwa siwaelewi mwanzo ila baada ya kuwatumia mara kadhaa wamekuwa chaguo langu la kwanza! Ku deal na BF naona kama naagiza gari kwa mshkaji tu. Nawakubali sana.
Kabisa
 
Kuna rafiki yangu aliagiza noah kupitia hii kampuni, kulipokea gari bandarini dar , Tairi zote hazikufaa kutoka gari hapo ubungo ni mbovu na ball joint zote miguu ya mbele zilikuwa zimekufa.
Ulichokisema mkuu Uko sawa sawa kabisa.
Wana ofisi kule Moshi Kilimanjaro, ina Japan mfanyakazi mmoja , Kila siku anatafutwa na wafanyakazi wa uhamiaji .

Uyu jamaa ni muongo yani kila uzi wa magari ana copy na ku paste comment hii[emoji23]
 
jama ya aliletewa gari bovu sana engine inagonga kwenda ilala akaambiwa engine used ni 2ml alipata wakati mgumu msana hawa Be forward sio kabisa wakisha kupiga hata ufanyeje awaangaiki na wewe wanakuambia garili lako hilo tusizoeane.
Wewe ni muongo tena sana na hapa umekuja kwa lengo la kuwachafua kuwaharibia biashara be forward na huenda huna hata rafiki yako aliye wahi kuagiza gari huko,

na ninadhani kama lengo ni kuwachafua umesha shindwa maana beforwad inaheshimika sana naninajitetea yenyewe hata ukiichafua itasafishwa na walio hudumiwa pale kama mimi.
 
Back
Top Bottom