Nani wa kulaumiwa: BeFoward au kampuni iliyouza gari?

Nani wa kulaumiwa: BeFoward au kampuni iliyouza gari?

Hata mimi nawatetea be forward hawana huo uhuni nimesha watumia zaid ya mara 3 kuagiza gari nanzilifika salama kabisa kama nilivyo ziona kwenye picha.

Wewe kufikishiwa magari uliyoagiza yakiwa salama haimaanishi kila atakayeagiza atafikishiwa gari lake likiwa salama.

Pengine katika magari elfu moja kuna magari mawili au matatu yanayofika yakiwa na mapungufu.

Aliyetoa pesa yake kamili na kupokea gari lenye mapungufu, akafuatilia kwa wahusika bila kupata msaada wowote ana kila sababu ya kusema ni uhuni.
 
Kwa kweli hata mimi nitawatetea be forward, nilinunua kwao gari na niliwasaidia rafiki zangu watatu kununua magari, hakukuwa na janjajanja. Nakumbuka wakati nanunua yangu, kuna kitu kilikosekana, nilipowajulisha walinipatia tena bila usumbufu. Haya mambo kila mtu na uzoefu wake, hatuwezi jua
 
Wewe kufikishiwa magari uliyoagiza yakiwa salama haimaanishi kila atakayeagiza atafikishiwa gari lake likiwa salama.

Pengine katika magari elfu moja kuna magari mawili au matatu yanayofika yakiwa na mapungufu.

Aliyetoa pesa yake kamili na kupokea gari lenye mapungufu, akafuatilia kwa wahusika bila kupata msaada wowote ana kila sababu ya kusema ni uhuni.
Narudia tena SI KWELI nimesha fanya biashara na be forward mara nyingi sana na niwaunganisha marafiki zangu na ndugu wengi hawajawahi pata shida na be forward kama gari umeagiza kwao huwa wako hamble sana endapo utapata tatizo.

Labda kama uliwatumia be forward kama clearing agent lakin gari uliagiza sehemu nyingine ntakuelewa
 
kwanini unasema ni muongo hata mimi nikisema wewe mungo hata baikeli ujawai miliki unaishi kwakutetea vitu usovijua jiulize ni watu wangapi wanauziwa magari mabovu na kukaa kimya bila kulala mika hii kampuni ichunguzwe
Kwani hapa tunashindana nani ana nini na nani hana? Hoja hapa ni kuichafua kampuni kwa makusudi na kwa tuhuma za uongo

Uandishi wake tu ishara tosha kwamba yupo kwenye kampeni, mtu anaye agiza magari kwa kutumia mitandao ya kijapan iwe beforwad, SBT, cartrade nk akikutana na tatizo anajua wapi pa kuanzia kutoa malalamiko yake na yakatatuliwa na sio kuja mbio mbio jamii forum kuchafua kampuni kwa sababu anazo zijui yeye, yaan ningekuwa sijawahi fanya kazi na kampuni hiyo labda,

na uzuri nisha fanya kazi na kampuni nying tu za kijapani ninaongea ninacho kijua najua wapi kuna mbivu na wapi kuna mbichi
 
kwani wewe nani hadi ujue ubora wa kila gari linalouzwa na Be forward kuchafua kampuni maanayake nini kwanini uzuie watu kutoa maoni na kuwapangia cha kufanya au na wewe ni mnufaika? mbona makampuni mengine sijaona malalamiko watu wakilalamikia
Hebu pita kushoto kwanza maana naona unanipotezea mda.
 
kwani wewe nani hadi ujue ubora wa kila gari linalouzwa na Be forward kuchafua kampuni maanayake nini kwanini uzuie watu kutoa maoni na kuwapangia cha kufanya au na wewe ni mnufaika? mbona makampuni mengine sijaona malalamiko watu wakilalamikia
Pole mdau,

Pengine ingesaidia kama ungeweka na uthibitisho wa malalamiko yako hapa

Ikiwa na maana kwamba, majibu uliyojibiwa na ofisi ya japan baada ya kuwasilisha malalamiko yako.

Aina ya gari gari husika uliloagiza, condition uliyoiona kwenye nyaraka kabla ya manunuzi ( description )

Na ulichokuja kukutana nacho kiuhalisia baada ya kufanya manunuzi

Vyote ungeviweka hapa, ingesaidia sana kuipa nguvu hoja na malalamiko yako.
 
Narudia tena SI KWELI nimesha fanya biashara na be forward mara nyingi sana na niwaunganisha marafiki zangu na ndugu wengi hawajawahi pata shida na be forward kama gari umeagiza kwao huwa wako hamble sana endapo utapata tatizo.

Labda kama uliwatumia be forward kama clearing agent lakin gari uliagiza sehemu nyingine ntakuelewa

Umefanya nao biashara mara nyingi na hiyo haina maana una taarifa ya magari yote yaliyoagizwa huko.

Ila magari yanaagizwa kwao na yanafika yakiwa na mapungufu na hakuna msaada wowote.

Wewe shukuru tu haujakutana na hizo changamoto na omba isikukute.
 
BE FOWARD WANAONGOZA KUIBA SPARE TYRES
Pole, unaweza kuthibitisha?
Wakati unaagiza uliangalia picha zote na kujiridhisha kila kitu kipo?
Ulipokwenda ofisini kwao una uthibitisho majibu yalikuaje?

Je, wakati unaagiza uliweka insuarance?
 
Sasa jukumu la kufanya clearance na kulinda usalama wa mali ni la nani? Kama sio clearing and forwarding agent ambae kwa muktadha huu ni Beforward.
Mzee,

Hapo kuna mambo mawili kama sio matatu , inabidi uyatenganishe kabla ya kufanya hitimisho.

1. Huwa kunakua na warranty ambayo ipo ili ikitokea kitu fulani hakipo kwenye gari yako husika, na wakati unanunua kilikuwepo. Basi kupitia ile warranty kile kitu unalipwa.

2. Jukumu la nani afanye clearance ya gari yako, ni wewe mzee ndiye mwenye maamuzi na sio BE FORWARD maana Gari ni lako na sio lao. Sasa hapo inategemeana nani ambaye ulimpa jukumu lakufanya clearance ya gari yako hapo bandarini.

3. Kama alivyosema mdau hapo juu, clearing & forwarding agents wengine huwa wanakua sio waaminifu, ndio maana hufanya hivyo, lakini kama unakua na warranty basi inakua haina shida maana kitakacho potea, kwa wakati huo lazma utalipwa.

Muhimu tu ni kuwa na uthibitisho wa malalamiko yako, haswa picha.
 
Mzee,

Hapo kuna mambo mawili kama sio matatu , inabidi uyatenganishe kabla ya kufanya hitimisho.

1. Huwa kunakua na warranty ambayo ipo ili ikitokea kitu fulani hakipo kwenye gari yako husika, na wakati unanunua kilikuwepo. Basi kupitia ile warranty kile kitu unalipwa.

2. Jukumu la nani afanye clearance ya gari yako, ni wewe mzee ndiye mwenye maamuzi na sio BE FORWARD maana Gari ni lako na sio lao. Sasa hapo inategemeana nani ambaye ulimpa jukumu lakufanya clearance ya gari yako hapo bandarini.

3. Kama alivyosema mdau hapo juu, clearing & forwarding agents wengine huwa wanakua sio waaminifu, ndio maana hufanya hivyo, lakini kama unakua na warranty basi inakua haina shida maana kitakacho potea, kwa wakati huo lazma utalipwa.

Muhimu tu ni kuwa na uthibitisho wa malalamiko yako, haswa picha.
Hueleweki.
 
Mzee,

Hapo kuna mambo mawili kama sio matatu , inabidi uyatenganishe kabla ya kufanya hitimisho.

1. Huwa kunakua na warranty ambayo ipo ili ikitokea kitu fulani hakipo kwenye gari yako husika, na wakati unanunua kilikuwepo. Basi kupitia ile warranty kile kitu unalipwa.

2. Jukumu la nani afanye clearance ya gari yako, ni wewe mzee ndiye mwenye maamuzi na sio BE FORWARD maana Gari ni lako na sio lao. Sasa hapo inategemeana nani ambaye ulimpa jukumu lakufanya clearance ya gari yako hapo bandarini.

3. Kama alivyosema mdau hapo juu, clearing & forwarding agents wengine huwa wanakua sio waaminifu, ndio maana hufanya hivyo, lakini kama unakua na warranty basi inakua haina shida maana kitakacho potea, kwa wakati huo lazma utalipwa.

Muhimu tu ni kuwa na uthibitisho wa malalamiko yako, haswa picha.
Umeongea kwa lugha rahisi nimekuelewa vilivyo.
 
Hata mimi nawatetea be forward hawana huo uhuni nimesha watumia zaid ya mara 3 kuagiza gari nanzilifika salama kabisa kama nilivyo ziona kwenye picha.
Be forward wanajielewa. Nimeagiza gari 2018 mpaka leo nilibadili tairi lakini si kwamba zilikua zimechoka Bali ni ule uoga ukitaka kusafir tu. Lakini Ni kampuni makini Sana. Na ofa Kama zote
 
Be forward wanajielewa. Nimeagiza gari 2018 mpaka leo nilibadili tairi lakini si kwamba zilikua zimechoka Bali ni ule uoga ukitaka kusafir tu. Lakini Ni kampuni makini Sana. Na ofa Kama zote
Namshangaa huyo jamaa usikute hajawahi hata kuagiza peremende kabeba tu ushabiki
 
Be forward wanajielewa. Nimeagiza gari 2018 mpaka leo nilibadili tairi lakini si kwamba zilikua zimechoka Bali ni ule uoga ukitaka kusafir tu. Lakini Ni kampuni makini Sana. Na ofa Kama zote
Maana unawezakuwa uliagiza ila gari ilipofika akaclear na kampuni nyingine kumbe mlalamikaji analalamikia system nzima mfano hapo unawezakuta madereva wanaotumiwa na beforwad ndio sio waaminifu anapokuwa anampelekea mteja ndio ananyofoa vifaa
 
Beforward hawana janja janja za kibongo...hizi hapa ni 'hear say' stories...ndio maana hakuna uthibitisho, au labda madalali na wenye yard za magari wamekuja na style hii
 
Wewe kufikishiwa magari uliyoagiza yakiwa salama haimaanishi kila atakayeagiza atafikishiwa gari lake likiwa salama.

Pengine katika magari elfu moja kuna magari mawili au matatu yanayofika yakiwa na mapungufu.

Aliyetoa pesa yake kamili na kupokea gari lenye mapungufu, akafuatilia kwa wahusika bila kupata msaada wowote ana kila sababu ya kusema ni uhuni.
Mwambie aweke picha za mtandaon na picha za Gari baada ya kufika

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom