Nani wa kulaumiwa hapa kwenye ujenzi wa hii nyumba?

Nani wa kulaumiwa hapa kwenye ujenzi wa hii nyumba?

Tatizo ni engo ya mpiga picha. Ndo maana madirisha yanamezwa na paa. Picha imepigwa kutoka mlimani ndo maana nyumba inaonekana fupi. Kujua hilo jaribu kuhesabu kozi za tofari
 
Back
Top Bottom