Nani wapo nyuma ya Polepole? CCM wanamlinda?

Nani wapo nyuma ya Polepole? CCM wanamlinda?

Mission is to devide the political party into segments!! Ukanda utahusika hapa, propaganda itakua why Ukanda wa Mwendazake wengi wametupwa nje, na zaidi mbele ya safari wataunda chama kitakachopgia ama kitakachokuja kudevide votes tha kijani kama mbinu ya kuuadhibu haya yote yaliyotokea baada ya march 2021..ukimstad Pole pole ni kama analalamikia mamlaka juu ya falsafa za mwendazake kutupwa nje baada ya mwezi tajwa. Kundi ni kubwa na Niseme kuwa kundi litatikisa chama mana fikilia voters base yao inatoka wapi. Mda ni mwalimu mzuri tusubili!!
Mkuu me mwenyewe siyo wa kanda hiyo ila nasubiri siku ifike!.
 
Mission is to devide the political party into segments!! Ukanda utahusika hapa, propaganda itakua why Ukanda wa Mwendazake wengi wametupwa nje, na zaidi mbele ya safari wataunda chama kitakachopgia ama kitakachokuja kudevide votes tha kijani kama mbinu ya kuuadhibu haya yote yaliyotokea baada ya march 2021..ukimstad Pole pole ni kama analalamikia mamlaka juu ya falsafa za mwendazake kutupwa nje baada ya mwezi tajwa. Kundi ni kubwa na Niseme kuwa kundi litatikisa chama mana fikilia voters base yao inatoka wapi. Mda ni mwalimu mzuri tusubili!!
HAHAHA HIV NYIE MNAIJUA IDARA YA USALAMA WA TAIFA AU MNAWACHUKULIA POA ETI UHATARSHE CCM KUBAKI MADARAKANI
 
Punguza ukabila. Jina lako na fikra zako tu zinaonyesha wewe ni kundi lile la kanda ya ziwa. Hizi fikra zimeletwa na Magufuli, za kutaka kutugawa Watanzania. Mshindwe na nguvu zenu za kiza na mawazo finyu.
Mwenye akili ndogo hawezi kunielewa ila Great thinker atafikili nje ya box. Ova!
 
Mission is to devide the political party into segments!! Ukanda utahusika hapa, propaganda itakua why Ukanda wa Mwendazake wengi wametupwa nje, na zaidi mbele ya safari wataunda chama kitakachopgia ama kitakachokuja kudevide votes tha kijani kama mbinu ya kuuadhibu haya yote yaliyotokea baada ya march 2021..ukimstad Pole pole ni kama analalamikia mamlaka juu ya falsafa za mwendazake kutupwa nje baada ya mwezi tajwa. Kundi ni kubwa na Niseme kuwa kundi litatikisa chama mana fikilia voters base yao inatoka wapi. Mda ni mwalimu mzuri tusubili!!
Polepole hana tatizo na Samia! Ila polepole anashida na watu wanaozunguka Samia! Ukifatilia futungo sijui nn mengi tu na mpaka leo anasema viongozi wajuu kuweni macho ao watu mtawajua nendeni ata TRA taarifa zao zipo jinsi wahun wanavyokwepa kodi.

Tafakri na Massoud Kipanya then mrudie Polepole
20211211_233652.jpg
20211013_124528.jpg
 
Wandugu,kwa kauli na maneno ya hovyo anayotamka huyu Polepole inaonesha hayupo pamoja na CCM wala viongozi wa serikali.

Anaongea kwa kujiamini sana bila kujali chochote.

NI UTASHI WAKE AU KUNA KUNDI KUBWA LA WATU WENYE NGUVU NYUMA YAKE?

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Polepole hana shida na Rais Samia! Ila Polepole ana shida na wale watu ambao wanamzunguka Samia! Hawa wengi wao ni wapiga madili.

Nimekumbuka katuni za Massoud Kipanya embu zitafakari
20211211_233652.jpg
20211013_124528.jpg
 
Kwani Polepole naye ni kama mr #dishlimetilt kwamba kuna midume imesimama nyuma yake ikimpumulia?
 
Hari ya kawaida, inabidi tukue kisiasa kama kaka mkubwa Kenya, Raisi na Makamu Hawaivi lakini Raisi hawezi kutumia vyombo vya dola kumgandamiza.

Mifumo ya Serikali inafanya kazi, hiyo ndio demokrasiwa wabongo hii kitu haituingii akilintu tumezoea mafimbo na kutwangwa kutokea juu. Yaani Kauli ya Raisi ndio sheria na hakuna wakupingana nae!!!
Huwaga ninapenda kusikiliza speech za kaka mkubwa, lazima achomekee vichekesho kidogo lakini havihusiani na ngono.
 
Wandugu,kwa kauli na maneno ya hovyo anayotamka huyu Polepole inaonesha hayupo pamoja na CCM wala viongozi wa serikali.

Anaongea kwa kujiamini sana bila kujali chochote.

NI UTASHI WAKE AU KUNA KUNDI KUBWA LA WATU WENYE NGUVU NYUMA YAKE?

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Kila kitu kina 2sides, ie: a&b.

Unaposema anaongea maneno ya hovyo, je ya hovyo kwa nani?

Na je kuongea hovyo si ni kuvunja sheria za nchi ambayo ni makosa ya jinai?

Hilo la kwanza, la pili u hovyo wake kwa sababu wewe ni msisiem usiyetaka kusikia lolote against nk nk?

Mada yako hii imenifikirisha mambo mengi sana ambayo nimekosa majibu.
 
Punguza ukabila. Jina lako na fikra zako tu zinaonyesha wewe ni kundi lile la kanda ya ziwa. Hizi fikra zimeletwa na Magufuli, za kutaka kutugawa Watanzania. Mshindwe na nguvu zenu za kiza na mawazo finyu.
Unaelewa maana ya Gwakikolo au Unafikir kila anayempenda Magufuli ni msukuma.
 
Chakubanga kapigwa ni kitu kizito 17 March 2021 kwasasa ana WENGE tu ndiyo linampelekesha.
 
Vyama vya Kisiasa vimewajenga na Kuwaaminisha kuwa yote yasemwayo au kufanywa na Viongozi wa Vyama vyao hawapaswi kuhoji wala kukosoa, Wanachopaswa ni kuitikia tu ndio hata Kama hayako Sawa, ndio ukaja ule Usemi wa Mjumbe Ndio na Zidumu fikra za Mwenyekiti.

Bahati Mbaya sana, akitokea Mmoja kati yao na Kukosoa au kuwa na mawazo tofauti, ataanza kupigwa vita na Hata kutishiwa kufutwa Uwanachama, Tabia hii imewajenga Wanachama kuishi kwa Unafiki kwa kujifanya wanakubaliana na kila Jambo huku Mioyoni Mwao hawakubaliana, Sio Sawa Kila Mtu awe huru pasipo kuvunja Sheria.
 
Mission is to devide the political party into segments!! Ukanda utahusika hapa, propaganda itakua why Ukanda wa Mwendazake wengi wametupwa nje, na zaidi mbele ya safari wataunda chama kitakachopgia ama kitakachokuja kudevide votes tha kijani kama mbinu ya kuuadhibu haya yote yaliyotokea baada ya march 2021..ukimstad Pole pole ni kama analalamikia mamlaka juu ya falsafa za mwendazake kutupwa nje baada ya mwezi tajwa. Kundi ni kubwa na Niseme kuwa kundi litatikisa chama mana fikilia voters base yao inatoka wapi. Mda ni mwalimu mzuri tusubili!!
Hivyo hivyo sii mbaya Cha mwizi kikaliwa na mwizi🤔.
 
Wandugu,kwa kauli na maneno ya hovyo anayotamka huyu Polepole inaonesha hayupo pamoja na CCM wala viongozi wa serikali.

Anaongea kwa kujiamini sana bila kujali chochote.

NI UTASHI WAKE AU KUNA KUNDI KUBWA LA WATU WENYE NGUVU NYUMA YAKE?

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Mh.Samia ni muungwana anamuacha tu aongee, ikifika muda Rais akakereka, hutamsikia tena Polepole anaongea, usicheze na nguvu ya Rais.
 
Hu
Wandugu,kwa kauli na maneno ya hovyo anayotamka huyu Polepole inaonesha hayupo pamoja na CCM wala viongozi wa serikali.

Anaongea kwa kujiamini sana bila kujali chochote.

NI UTASHI WAKE AU KUNA KUNDI KUBWA LA WATU WENYE NGUVU NYUMA YAKE?

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
jatuandikia hayo maneno ya hovyohovyo kaka.
Ni yepi hayo - Babdari ya Bagamoyo au kutojaza maji Bwawa la Nyerere kwa sababu ya winch?
 
Labda tukuulize wewe mleta hii mada ya hovyo kwamba ni nani yuko nyuma yako?

Kama uliona ameongea ovyo basi akili yako wewe pia ni ya kijinga na hujui kupambanua hoja zaidi ya kuwahi kuleta umbea humu JF.

Ebu wewe itisha hiyo press conference halafu uongee ya kwako pia ili tukupime?

Acheni siasa za majungu wana upinzani wa nchi hii pamoja na kundi la watumbuliwa wa JPM
 
Wandugu,kwa kauli na maneno ya hovyo anayotamka huyu Polepole inaonesha hayupo pamoja na CCM wala viongozi wa serikali.

Anaongea kwa kujiamini sana bila kujali chochote.

NI UTASHI WAKE AU KUNA KUNDI KUBWA LA WATU WENYE NGUVU NYUMA YAKE?

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Tunapo kusea ni pale ambapo tunawanyima watu uhuru wa kutoa maoni yao. Inabidi tufike mahali tuwe makini sana.

Tulianza kuminya haki za watu mdogomdogo tukidhani tunakijenga chama chetu kumbe tunakiua na kumjenga mtu binafsi. Sasa hayupo ameondoka msingi wa nyumba umeanza kuota nyufa. Tulipingana na wapinzani wetu hasa CHADEMA leo tumeanza kupingana wenyewe kwa wenyewe tunagombania mali ya uridhi aliocha baba.

Ndugu wakianza kufarakana wakigombea uridhi mwisho watauza mali ya uridhi walioachiwa na kubaki mafukara.

Malumbano tuliyokuwa nayo ndani ya chama ni matokeo ya ubaguzi uliokuzwa kuwa hawa walipendwa na baba, sisi baba alitubeza wacha tuwavuruge wapenzi wa baba. Kumekuwa na lugha inayoashiria kuwa kuna mpasuko kama vile: Sukuma Gang, Kundi la Msoga nk. Sijui ni vita kati ya Sukuma Gang na kundi la msoga?. Basi gombanani lakini katiba iheshimiwe na kila mtu hii itatuacha salama.

Makundi haya ya kusadikika hayana afya kwa taifa letu kama kweli yapo. Na kama yapo ya vunjwe kwa kupatanishwa ili tusonge mbele. Njia moja wapo ya kuleta mshikamano ni kuruhusu siasa huru CCM na vyama vya siasa viende kwa wananchi wakauze sera kwa wenye nchi wao waamue.

Viongozi wana kuja na kipita; Nyerere amepita, Mwinyi amepita, Mkapa amepita, Kikwete amepita, Magufuli amepita tena haraka, wengine watapita, Tanzania itaendelea kuwepo. Hivyo Tanzania ni kubwa kuliko mtu binafsi.

Tuheshimu katiba watakao baki karne hii ni wale watakao iheshimu katiba ya Tanzania na kuipenda Tanzania.
 
Back
Top Bottom