Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,384
bily hao waliosoma sindio wametuletea maisha haya? Wanasifika kwa majina,Prof,Dr,engineer,utendaji zero kabisa.
Mkuu katika pitapita zangu huko duniani nimegundua tz hatuna nidhamu na kazi pia serikali ni km haiko makini. Imagine bungeni kuna madokta na pfofessors but delivery zao ni kama la 7! Hawazitendei nidhamu taaluma zao, so la7=dokta!
Kuna nchi ukiwepo hadi raha, nidhamu juu yani polisi ni polisi kweli, mwalim etc wote wana nidham na kazi zao!
Last edited by a moderator: