Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,384
bily hao waliosoma sindio wametuletea maisha haya? Wanasifika kwa majina,Prof,Dr,engineer,utendaji zero kabisa.
Ila usiombe unadiwe mwizi life hapo margeaa....
Umeona eeeh....mjini kufa na njaa kutaka tu..
aha aha aha my dia unanivunja mbavu farkhina ya nazi itawasha jenereta?
tena sana mkuu Jerrymsigwa yaani haingi akilini kabisa eti
Nina mpango wakuuza mpaka mnara huu kwa wauza scraper,halafu pesa naficha uswisi tu
Nina mpango wakuuza mpaka mnara huu kwa wauza scraper,halafu pesa naficha uswisi tu
Ha ha haaaa unaota weweNina mpango wakuuza mpaka mnara huu kwa wauza scraper,halafu pesa naficha uswisi tu
Jerrymsigwa hata mimi nimestuka nikaanza kusoma English corseKuna dogo kakimbilia kwa kidume badala ya shule she makes me restless kwa kweli yani life gumu hivi afu mtu anachezea shule!! Ipo siku ulinzi utahitaji kufauru English&Geography
mkuu taratibu ohoo oh kama nilivyokwambia iba kijanja.
Hizo fedha tugawane na sie tunaokupa maujanja mjini au vipi Jerrymsigwa na bily
yeah my dia ila inabidi aibe taratibu asiuze mnara moja kwa moja watamshtukia mapema .
Ha ha haaaa unaota wewe
Hahahahahaha kapewa lifti anataka kupiga na honi....lol
huyu Ngongoseke noma kweli anataka auze mnara yote screpa duh hatari
Ntakuwa nafungua kidogo kidogo mkuu
Hizo fedha tugawane na sie tunaokupa maujanja mjini au vipi Jerrymsigwa na bily
mkuu taratibu ohoo oh kama nilivyokwambia iba kijanja.
Ahhahahaahaha shauri zake....
Haahahaahaa hebu nlale mie.....
Na mie nsije kufukuzwa kazi...