Nani yuko macho tupige stori?

Dah so sad news mara nyingi naamini kuwa mkombozi wa mwanamke ni elimu na si kuwezeshwa na mwanaume ila kam wasichana hawataki kusoma wataonewa sana na mabwana zao jamani madogo someni.

Kuna dogo kakimbilia kwa kidume badala ya shule she makes me restless kwa kweli yani life gumu hivi afu mtu anachezea shule!! Ipo siku ulinzi utahitaji kufauru English&Geography
 
bily unanitisha nilishapata mteja wiki nlitaka kuanza kufungua kidogo kidogo

taratibu mkuu ngoja tusome upepo kwanza alafu ntakuambia nataka nikutaftie wateja wa airtel namibia au zimbabwe ukiuza hapa hapa watakunyaka mkuu kwahiyo vumilia tupange mikakati.
 
Last edited by a moderator:
taratibu mkuu ngoja tusome upepo kwanza alafu ntakuambia nataka nikutaftie wateja wa airtel namibia au zimbabwe ukiuza hapa hapa watakunyaka mkuu kwahiyo vumilia tupange mikakati.

Hahahahaha huyo anasikia harufu ya pesa....hanaga kuvumilia....
Mwache awauzie japo wauza maseredani...
 
taratibu mkuu ngoja tusome upepo kwanza alafu ntakuambia nataka nikutaftie wateja wa airtel namibia au zimbabwe ukiuza hapa hapa watakunyaka mkuu kwahiyo vumilia tupange mikakati.

Hapo umenena kamanda wangu,naisubiri pm kwa hamu watafute tuuze jumla jumla bily
 
Last edited by a moderator:
Hapo umenena kamanda wangu,naisubiri pm kwa hamu watafute tuuze jumla jumla bily

sawa kamanda tupo pamoja kwani vipi wakikuongeza mshahara ya lindo bado utakuwa na nia ya kuuza mnara?
 
Last edited by a moderator:
sawa kamanda tupo pamoja kwani vipi wakikuongeza mshahara ya lindo bado utakuwa na nia ya kuuza mnara?

Mmh mshahara gani unatosha bongo? Hapa natafuta short cut ya life
 
Mmh mshahara gani unatosha bongo? Hapa natafuta short cut ya life

poa usijali kamanda ngoja nitakuunganisha na wadau jiandae kubadilika manake mnara yote siyo mchezo hela yake ndefu sana unauza hadi hicho kiwanja usiwape dili madalali watakuaribia mkuu Ngongoseke.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…