Blank page
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 5,487
- 4,817
aseeee na saiv kuna shida kule tazara wanakojenga flyover dah kule litakuwa ni balaa jingne jipya aseee.ishaanza kusumbua jam nowPole mkuu dah nakumbuka mwaka 2008 hiyo Mandela Road ilikua kwenye rehabilitation jam ilikua hatari wacha kabisa. Nina muda kidogo sijatia maguu motherland nahisi Kama jam imepungua.
hapo banana napo pana balaa kwa kwer mhhh watu n weng sijapata kuona asubuh wakiwah kwa azam na wengine maofisin na mashulenhahaha kweli kabisa mkuu,hasa ukichanganya na jotoooo
tumo ndaniiii,karbuHodi
Niambie dada farkhina
ahaaa dar folen hazikomii ng'oaseeee na saiv kuna shida kule tazara wanakojenga flyover dah kule litakuwa ni balaa jingne jipya aseee.ishaanza kusumbua jam now
Team popotumo ndaniiii,karbu
Hahahaha!! Umelala peke yako nini mkuu 24hrs?kwema naona maluwe luwe nataman ningepata wireless keyboard ili usingz ukinivaa nitupe kule pc
ahaa kwa kwel ukapela utanishindaHahahaha!! Umelala peke yako nini mkuu 24hrs?
Wacha ufe na utamu wako kama muwa
kama una usingiz jishkilie kweny kiti,usije ukaanguka...[emoji113]
TupooTeam popooooo mpo?
Akhsante sana mkuu Blank pagetumo ndaniiii,karbu
tumo ndani ya nyumba,jana leo,na kesho Mola akitupa uzimaa....hali vp?Team popooooo mpo?
Hahaha!! Piga Nyeto mkuuahaa kwa kwel ukapela utanishinda
farkhinaTeam popooooo mpo?
kama ni ndani kwangu,nipo mwenyew mkuu.ila jukwaani tupo na kina 24hrs...na wengne wengiiiAkhsante sana mkuu Blank page
Ndani upo na nani vile?
Nauliza tu
tumo ndani ya nyumba,jana leo,na kesho Mola akitupa uzimaa....hali vp?
farkhina
Tupoo