Nani yuko macho tupige stori?

Nani yuko macho tupige stori?

Pole mkuu dah nakumbuka mwaka 2008 hiyo Mandela Road ilikua kwenye rehabilitation jam ilikua hatari wacha kabisa. Nina muda kidogo sijatia maguu motherland nahisi Kama jam imepungua.
aseeee na saiv kuna shida kule tazara wanakojenga flyover dah kule litakuwa ni balaa jingne jipya aseee.ishaanza kusumbua jam now
 
Back
Top Bottom