Nani yuko macho tupige stori?

Huu muandiko wa kiume, watu hawana hata basics za forensic education ha ha haa

ahahahaha, ehe, nambie umetumia vigezo gani kugundua km mi ni mwanaume? nilitaka kulogout, coment hii imenifanya niendelee.
 
He? Kumbe tunaendeana PM? Aku! Ngoja nijibanie macho utakuja tu.
 
ahahahaha, ehe, nambie umetumia vigezo gani kugundua km mi ni mwanaume? nilitaka kulogout, coment hii imenifanya niendelee.

Afu we unajua nakufahamu te te tee basi yaishe les assume ni mwanaume we lala sasa!
 
Wengine mmekoseshwa usingizi ili mtulinde lol....

Dah hii kazi ya ulinzi mtihani sana,hawa voda wasiponiongeza salary mwezi huu wakulinda minara yao,itabidi nishushe hata hilo Ngoma moja nikawauzie hata wapiga tarumbeta,maana mbu wanakaba sana hapa
 

Hii ni hatari virusi njenje
 
Mlinzi hahaha acha kutuibia bana, we mlinzi ulinde na uko Jf? Na sa kumi kasoro hii ndio wezi wanapita pita dah kama kwel pole snaa mkuu lkn sio haba salary ya voda si $20ph?
 
Dah hii kazi ya ulinzi mtihani sana,hawa voda wasiponiongeza salary mwezi huu wakulinda minara yao,itabidi nishushe hata hilo Ngoma moja nikawauzie hata wapiga tarumbeta,maana mbu wanakaba sana hapa

Hahhahhha kwani huna neti?...hiyo ngoma njoo uniuzie mie nataka kuanzisha bendi...lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…