Nani yuko macho tupige stori?

ehee...! wale wa stori, jerrymsigwa,watu8, charminglady, na yule mlinzi wetu hasinzii wala halali, na wewe uliyekoswakoswa na madem wa manyala, leteni stori za leo.
 
kila kitu kina faida yake na hasara yake, wenye computer umeme ukiisha baas, sisi na visimu vyetu tunapeta tu
 

Dunia inayoyoma hii
 
i think nataka kuwasiliana tu sio mbaya hata mm napata wakati mgum sana kulala usiku i dnt knw
 
ehee...! wale wa stori, jerrymsigwa,watu8, charminglady, na yule mlinzi wetu hasinzii wala halali, na wewe uliyekoswakoswa na madem wa manyala, leteni stori za leo.

Duuuuh leo nlilala balaaa at leadt ndio naamka sasa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…