Elvis Legacy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 3,984
- 5,820
Kamripoti polisi upate milioni 2Mmoja ninamfahamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamripoti polisi upate milioni 2Mmoja ninamfahamu.
Wizi wa Mafuta ni mtandao mkubwa sana wanene wanaujua vizuri na wapo kwenye payroll.
Nomaa...Wizi wa Mafuta ni mtandao mkubwa sana wanene wanaujua vizuri na wapo kwenye payroll.
Nani huyo mtaje. JF hatutaki majunguMmoja ninamfahamu.
Wanawinda uteuzi hawa waandishi njaa. Hawana weledi hata kidogoMedia zetu habari zao kutwa umbea mambo ya wasanii tu
Ova
Inaonekana Mzee Ulimwengu anahusika.Mbona kigazeti chake cha maandazi ,RAIA mwema akiongelei kabisa hiyo habariTulia, utapotezwa wewe, Sara Msafiri aliyekuwa mkuu wa wilaya ya kigamboni ndiye aliyevujisha hiyo project ya wakubwa, yupo Kibaha huko hutamuona tena akiongelea.Kaa kimya kabisa, ushaona hata gazeti la Uhuru au Habari Leo au magazeti yana ripoti hiyo saga!issue ya malori kupanga foleni, bunge Lili simama hadi Pm akaenda kutatua, hii ngoma ngumu. Utasikia polisi wakisema tunawashikiria watu wahusika, haiwataj wala hatuwaoni.
Unalazimisha kumuhusisha Marehemu kwenye hii mada.Nani amekulazimisha kumjadili dhalimu boss?
Hiyo tani moja ya unga labda mwana wa mfalme kaanza tena kwa kutumia mbinu tofauti. You neva know!Tunachoona mitandaoni ni kuripoti taarifa za Sabaya tu hujuma ya bomba la mafuta pamoja na tani moja ya madawa ya kulevya yaliyolipotiwa mwezi uliyopita mambo hayo huwezi sikia yakiongelewa zaidi ya kusikia kesi ya sabaya siku ya kuripoti mahakamani.
Baadhi ya watanzania ni watu waajabu sana. Badala kulalamikia vitu muhimu kama vyakula na bidhaa mbali mbali kupanda bei, mafuta/petrol/diesel, ushuru wa magari, vifaa vya ujenzi, tiketi za ndege, kodi n.k. nyie mnakimbilia bandari na vifurushi vya data/kupiga simu. Yoye chuki na wivu kwa wawekezaji.. huu ujinga sijui utaisha lini!
Baadhi ya watanzania ni watu waajabu sana. Badala kulalamikia vitu muhimu kama vyakula na bidhaa mbali mbali kupanda bei, mafuta/petrol/diesel, ushuru wa magari, vifaa vya ujenzi, tiketi za ndege, kodi n.k. nyie mnakimbilia bandari na vifurushi vya data/kupiga simu. Yoye chuki na wivu kwa wawekezaji.. huu ujinga sijui utaisha lini!wewe ndie mtu WA ajabu sijui nikuite mwenda wazimu.we hayo mafuta yatoke bila kulipiwa ushuru hivo vitu ulivovitaja vitashukaje na wakati hata bajeti yenyewe hivo vitu ndo vimepandishiwa Kodi ili walipa Kodi wavilipie.wasiongelee madawa ya kulevya we unajua ni idadi ya watu wanaoangamia na hayo madawa ya kulevya huko mtaani? Ni Bora kama wewe huna la kusema Acha wengine waseme ni haki ya mtu kusema ilimradi hajavunja katiba.tulia dawa ikuingie.
Ndio penye hela sasa wafanyaje?Media zetu habari zao kutwa umbea mambo ya wasanii tu
Ova
Unalazimisha kumuhusisha Marehemu kwenye hii mada.
Hata kuzungumzia machungwa haijakatazwa.Kuja katazo lolote la kumjadili mtu muovu kwenye huu uzi?
Waandishi wetu ndo wako humu kutwa kucha wakipiga mapambio na makofi ya kumsifia mama watapata wapi muda wa kuhoji issues nyeti kama hizo?Wanawinda uteuzi hawa waandishi njaa. Hawana weledi hata kidogo