Nani yuko nyuma ya Lissu kwenye hizi chuki wanaoneza kuhusu Uzanzibari na Utanganyika?

Nani yuko nyuma ya Lissu kwenye hizi chuki wanaoneza kuhusu Uzanzibari na Utanganyika?

Wakuu nadhani ni muda wa vyombo vya usalama kuamka na kuchunguza walio nyuma ya Lissu na nia ovu kupitia suala la Muungano.

Anachokifanya Lissu kipo kimkakati sana na hadi sasa naona kafanikiwa pakubwa kwenye nia yake ovu. Kutamka hadharani kuwa "huyu Rais mzanzibari anauza ardhi yetu" sio bahati mbaya. Kuna watu nyuma yake ambao huenda wako ndani ya CCM au nje ya CCM. Ninamshauri Rais Dr Samia atumie vyombo vyake kudhibiti mapema hiki kinachoendelea.

Wale watetezi wa Lissu ni wa kuwapuuza kwasababu wengi wao ni maskini watakaoteseka endapo Lissu na genge lake wakifanikiwa wanachokitaka. Ikumbukwe Lissu, Lema, Sugu, Mbowe na viongozi wengine wa juu CHADEMA wana access ya kwenda Ulaya muda wowote wakitaka wao na familia zao hivyo haiwadhuru kabisa wao kueneza chuki.
Bado unatumia hizo hofu za kijinga miaka hii, na unaamini kweli Bado Kuna wakujaa kwenye propaganda hizo? Au ww ndio ulikuwa unaonyesha picha za mauaji ya kimbari ya Rwanda wakati mfumo wa vyama vingi umerejea hapa nchini? Kizazi kimebadilika hiki, kinajua uongo na ukweli.
 
tujiulize je wazanzibari wana upendo kwa watanganyika alafu ndio tuanze kuona kuna chuki inaenezwa...... ogopa sana ww huwezi nunua ardhi ila wao wanaweza huo muungano ni mavi mavi tu na kushindwa kwa sera za ujamaa za jamaa yule mwishoe akaona alete mambo ya hovyo
 
Utapata nini cha ziada ukivunja Muungano?

Wakati East Africa Community inazidi kupata mvuto kwa nchi kujiunga kutoka zile 3 za asili (Kenya, Tanzania na Uganda) hadi kuwa na nyongeza za Rwanda, DRC, Burundi na South Sudan, huku Tanzania wanaharakati uchwara wanataka kuvuruga muungano uliotulia??

Mpaka Somali na Ethiopia wako kwenye mchakato wa kuingia EAC. Eti sisi tunaona ZNZ ni mzigo kisa hawalipi umeme au Shaka ni DC wa Shinyanga.

Dunia nzima itatucheka. Mfumo wa Serikali 3 waonekana uko vulnerable kuvunja muungano ndiyo maana haushabikiwi sana.

Watu wanaogopa kilichotokea kwa Gorbachev alipobaki hana ardhi anayotawala

Senegal na Gambia walikuwa na Muungano wakaita Senegambia ila walidumu kwa muda mfupi
Mgonjwa wewe atachekwa kizimkazi fc kwa chuki zake dhidi ya wamasai na watanganyika kwa ujumla
 
Muundo wa muungano no vema urekebishwe mkuu ili tuwe na muungano imara.Hapa ni bora tuchague serikali 1 au 3
It is more of security importance than anything else. Kunogesha tuu ndio tunaweka siasa, tunapeana zamu ya kuongoza pamoja na cultural intergration, ila the main reason is security.
Zanzibar kama Zanzibar can never sustain itself in so many ways, immediately wakijitenga, they will immediately have another foreign country either as its ally or beneficial from so as to sustain it.
So there is no way ikawa independent, not anytime soon atleast
 
Wakuu nadhani ni muda wa vyombo vya usalama kuamka na kuchunguza walio nyuma ya Lissu na nia ovu kupitia suala la Muungano.

Anachokifanya Lissu kipo kimkakati sana na hadi sasa naona kafanikiwa pakubwa kwenye nia yake ovu. Kutamka hadharani kuwa "huyu Rais mzanzibari anauza ardhi yetu" sio bahati mbaya. Kuna watu nyuma yake ambao huenda wako ndani ya CCM au nje ya CCM. Ninamshauri Rais Dr Samia atumie vyombo vyake kudhibiti mapema hiki kinachoendelea.

Wale watetezi wa Lissu ni wa kuwapuuza kwasababu wengi wao ni maskini watakaoteseka endapo Lissu na genge lake wakifanikiwa wanachokitaka. Ikumbukwe Lissu, Lema, Sugu, Mbowe na viongozi wengine wa juu CHADEMA wana access ya kwenda Ulaya muda wowote wakitaka wao na familia zao hivyo haiwadhuru kabisa wao kueneza chuki.
Kiazi
 
Wakuu nadhani ni muda wa vyombo vya usalama kuamka na kuchunguza walio nyuma ya Lissu na nia ovu kupitia suala la Muungano.

Anachokifanya Lissu kipo kimkakati sana na hadi sasa naona kafanikiwa pakubwa kwenye nia yake ovu. Kutamka hadharani kuwa "huyu Rais mzanzibari anauza ardhi yetu" sio bahati mbaya. Kuna watu nyuma yake ambao huenda wako ndani ya CCM au nje ya CCM. Ninamshauri Rais Dr Samia atumie vyombo vyake kudhibiti mapema hiki kinachoendelea.

Wale watetezi wa Lissu ni wa kuwapuuza kwasababu wengi wao ni maskini watakaoteseka endapo Lissu na genge lake wakifanikiwa wanachokitaka. Ikumbukwe Lissu, Lema, Sugu, Mbowe na viongozi wengine wa juu CHADEMA wana access ya kwenda Ulaya muda wowote wakitaka wao na familia zao hivyo haiwadhuru kabisa wao kueneza chuki.
Tuambie kwanza kunafaida gani ambazo mtanganyika anafaidika moja kwa moja kupitia huu Muungano ?
 
Watu wanacholalamika ni double standard iliyopo kwenye muungano unakua mtanzania ambae huna haki upande mmoja wa muungano alafu wale wa upande wa pili wana haki zote kila sehemu.
Tunahitaji kubadilisha mtazamo tu. Tatizo letu kubwa ni umaskini. Zanzibar ingekuwa tajiri kama Qatar, mengi ya yanayosemwa wala isingekuwa issue. Kama sikosei, Area Commissioners from Zanzibar au positions nyingine zimepewa Watu wa upande mwingine wa Mwungano toka enzi za Mwalimu Nyerere. Tumesoma nao, nk.
 
Nani aliye nyuma YA Mbunge aliyeomba Kuingia Zanzibar kwa passport

Ukija bara kutoka Zanzibar.. haulizwi passport ..Shida ipo ulitoka bara kwenda zenji unaulizwa passport..Huu Ni uzwazwa

Hata siku moja hakuna mwana CCM mnufaika Na mkate aliyekuja JF kuhoji
Lile libunge lipumbavu linakula na kunya likiwa mainland alafu linataka Watanganyika waingie Visiwani kwao kwa passport
 
Wakuu nadhani ni muda wa vyombo vya usalama kuamka na kuchunguza walio nyuma ya Lissu na nia ovu kupitia suala la Muungano.

Anachokifanya Lissu kipo kimkakati sana na hadi sasa naona kafanikiwa pakubwa kwenye nia yake ovu. Kutamka hadharani kuwa "huyu Rais mzanzibari anauza ardhi yetu" sio bahati mbaya. Kuna watu nyuma yake ambao huenda wako ndani ya CCM au nje ya CCM. Ninamshauri Rais Dr Samia atumie vyombo vyake kudhibiti mapema hiki kinachoendelea.

Wale watetezi wa Lissu ni wa kuwapuuza kwasababu wengi wao ni maskini watakaoteseka endapo Lissu na genge lake wakifanikiwa wanachokitaka. Ikumbukwe Lissu, Lema, Sugu, Mbowe na viongozi wengine wa juu CHADEMA wana access ya kwenda Ulaya muda wowote wakitaka wao na familia zao hivyo haiwadhuru kabisa wao kueneza chuki.
Naona mnatamani mkampige tena risasi zingine mlivyo na roho mbaya

Ole wenu
 
Wakuu nadhani ni muda wa vyombo vya usalama kuamka na kuchunguza walio nyuma ya Lissu na nia ovu kupitia suala la Muungano.

Anachokifanya Lissu kipo kimkakati sana na hadi sasa naona kafanikiwa pakubwa kwenye nia yake ovu. Kutamka hadharani kuwa "huyu Rais mzanzibari anauza ardhi yetu" sio bahati mbaya. Kuna watu nyuma yake ambao huenda wako ndani ya CCM au nje ya CCM. Ninamshauri Rais Dr Samia atumie vyombo vyake kudhibiti mapema hiki kinachoendelea.

Wale watetezi wa Lissu ni wa kuwapuuza kwasababu wengi wao ni maskini watakaoteseka endapo Lissu na genge lake wakifanikiwa wanachokitaka. Ikumbukwe Lissu, Lema, Sugu, Mbowe na viongozi wengine wa juu CHADEMA wana access ya kwenda Ulaya muda wowote wakitaka wao na familia zao hivyo haiwadhuru kabisa wao kueneza chuki.
Uliowaita wapuuzi ni wengi Sana. Hoja ya haki za Tanganyika ilikuwa imelala tu na haikauanza Leo. Wewe unayenuka maziwa ndo unadhani Lissu ndo WA Kwanza. Tumechoka Muda mrefu tulikuwa thnasubiri wa kutuamsha. Kapatikana sasa.
 
Wakuu nadhani ni muda wa vyombo vya usalama kuamka na kuchunguza walio nyuma ya Lissu na nia ovu kupitia suala la Muungano.

Anachokifanya Lissu kipo kimkakati sana na hadi sasa naona kafanikiwa pakubwa kwenye nia yake ovu. Kutamka hadharani kuwa "huyu Rais mzanzibari anauza ardhi yetu" sio bahati mbaya. Kuna watu nyuma yake ambao huenda wako ndani ya CCM au nje ya CCM. Ninamshauri Rais Dr Samia atumie vyombo vyake kudhibiti mapema hiki kinachoendelea.

Wale watetezi wa Lissu ni wa kuwapuuza kwasababu wengi wao ni maskini watakaoteseka endapo Lissu na genge lake wakifanikiwa wanachokitaka. Ikumbukwe Lissu, Lema, Sugu, Mbowe na viongozi wengine wa juu CHADEMA wana access ya kwenda Ulaya muda wowote wakitaka wao na familia zao hivyo haiwadhuru kabisa wao kueneza chuki.
Very stupid idiot..

Kwani Samia Suluhu Hassan na Prof. Makame Mbarawa sio Wazanzibari..?

Hata hili huwezi kulielewa?

Wizara ya Ujenzi ni ya Muungano? Kwanini iongozwe na Mzanzibari?

That's why I call you, "stupid idiot..!!"
 
Nafikili mtoa mada atakuwa amepata jibu kuwa ni watanganyika ndio wako nyumba ya lissu kutokana na comment zilizotolewa na wachanfiaji
 
Very stupid idiot..

Kwani Samia Suluhu Hassan na Prof. Makame Mbarawa sio Wazanzibari..?

Hata hili huwezi kulielewa?

Wizara ya Ujenzi ni ya Muungano? Kwanini iongozwe na Mzanzibari?

That's why I call you, "stupid idiot..!!"
Wewe maku kajifunze upya kutukana. Tuliza kinyeo unapoona uzi wangu
 
Back
Top Bottom