Kukuamsha wewe na mumeo?Uliowaita wapuuzi ni wengi Sana. Hoja ya haki za Tanganyika ilikuwa imelala tu na haikauanza Leo. Wewe unayenuka maziwa ndo unadhani Lissu ndo WA Kwanza. Tumechoka Muda mrefu tulikuwa thnasubiri wa kutuamsha. Kapatikana sasa.
Huna akili mama mdogo wa kamboNdugu TAKO MODISE mbona umekuwa mtu wa hovyo sana siku hizi? Huko nyuma hukuwa hivyo...
Kwahiyo kama mataahira wengi wameamua kujaa kwenye huu uzi kupinga ndo hoja zao zikubalike? Comments nyingi hapa ukisoma ni za wavuta bangi wanaonishambulia badala ya kujenga hojaMtoa mada soma replies na like zake alafu tafuta utetezi sehemu nyingine au nje ya JF asee!.
Ndugu TAKO MODISE mimi ni babako... kapime DNAHuna akili mama mdogo wa kambo
Haisadii lolote wewe bi chausiku huna akili na mumeo kala hasaraNdugu TAKO MODISE mimi ni babako... kapime DNA
Tofautisha Watanganyika na CCM. Maana CCM hata nyie mnao huko.Watanganyika gani hawataki muungano? Mbona nyie Watanganyika ndio munao ung,ang,ania huo muungano?
Kama unatoa hoja za kijinga, then you will always be a stupid idiot..Wewe maku kajifunze upya kutukana. Tuliza kinyeo unapoona uzi wangu
FACT.Kwani mkuu 'Huihui2' huu ndio utakuwa muungano wa kwanza kuvunjika?
Hata mimi sitaki uvunjike, lakini Muungano kamwe hauwezi kuendelea kuwepo katika huu muundo tunaouona sasa hivi.
Tanganyika ilipotea, Zanzibar na yenyewe lazima ipotee; hakuna la ajabu hapo.
Jomba naona baada ya kutukanwa Stupid idiot na mume wa dada yako hapo kwake ndo unakuja kupunguza hasira huku JF? Hama hapo kwa dada yako.Kama unatoa hoja za kijinga, then you will always be a stupid idiot..
Hutaki kuwa a stupid idiot, badilisha mtazamo wako. Acha kuwa mdudu na chawa wa mama
Jombaaa, umeibua hoja mwenyewe ktk thread yako. Unapaswa kutetea za hoja yako. Acha ukuda na kupayuka hovyo kama mbwa koko..Jomba naona baada ya kutukanwa Stupid idiot na mume wa dada yako hapo kwake ndo unakuja kupunguza hasira huku JF? Hama hapo kwa dada yako.
Akili yako Haina akili Bora ukae kimyaWakuu nadhani ni muda wa vyombo vya usalama kuamka na kuchunguza walio nyuma ya Lissu na nia ovu kupitia suala la Muungano.
Anachokifanya Lissu kipo kimkakati sana na hadi sasa naona kafanikiwa pakubwa kwenye nia yake ovu. Kutamka hadharani kuwa "huyu Rais mzanzibari anauza ardhi yetu" sio bahati mbaya. Kuna watu nyuma yake ambao huenda wako ndani ya CCM au nje ya CCM. Ninamshauri Rais Dr Samia atumie vyombo vyake kudhibiti mapema hiki kinachoendelea.
Wale watetezi wa Lissu ni wa kuwapuuza kwasababu wengi wao ni maskini watakaoteseka endapo Lissu na genge lake wakifanikiwa wanachokitaka. Ikumbukwe Lissu, Lema, Sugu, Mbowe na viongozi wengine wa juu CHADEMA wana access ya kwenda Ulaya muda wowote wakitaka wao na familia zao hivyo haiwadhuru kabisa wao kueneza chuki.