Nani yuko nyuma ya Lissu kwenye hizi chuki wanaoneza kuhusu Uzanzibari na Utanganyika?

Uliowaita wapuuzi ni wengi Sana. Hoja ya haki za Tanganyika ilikuwa imelala tu na haikauanza Leo. Wewe unayenuka maziwa ndo unadhani Lissu ndo WA Kwanza. Tumechoka Muda mrefu tulikuwa thnasubiri wa kutuamsha. Kapatikana sasa.
Kukuamsha wewe na mumeo?
 
Mtoa mada soma replies na like zake alafu tafuta utetezi sehemu nyingine au nje ya JF asee!.
Kwahiyo kama mataahira wengi wameamua kujaa kwenye huu uzi kupinga ndo hoja zao zikubalike? Comments nyingi hapa ukisoma ni za wavuta bangi wanaonishambulia badala ya kujenga hoja
 
FACT.
 
Kama unatoa hoja za kijinga, then you will always be a stupid idiot..

Hutaki kuwa a stupid idiot, badilisha mtazamo wako. Acha kuwa mdudu na chawa wa mama
Jomba naona baada ya kutukanwa Stupid idiot na mume wa dada yako hapo kwake ndo unakuja kupunguza hasira huku JF? Hama hapo kwa dada yako.
 
Jomba naona baada ya kutukanwa Stupid idiot na mume wa dada yako hapo kwake ndo unakuja kupunguza hasira huku JF? Hama hapo kwa dada yako.
Jombaaa, umeibua hoja mwenyewe ktk thread yako. Unapaswa kutetea za hoja yako. Acha ukuda na kupayuka hovyo kama mbwa koko..

Kuanza kurusha ujinga wako hapa badala ya ku - focus ktk kutetea mawazo yako hakuna jina jingine unaloweza kuitwa zaidi ya kuwa wewe ni mjinga and stupid idiot at the same time..

Hutaki kuwa "a stupid idiot", nakushauri futa hoja yako kwenye jukwaa hili kisha kimbia kabisa utoke humu...!

Kwa heri🚶🏻🚶🏻🚶🏻🚶🏻🚶🏻
 
Watanganyika walidhani kwamba wameimeza Zanzibar,mwisho wamejikuta wao ndo wamemezwa na Wazanzibar.kwa mahesabu ya akili kubwa.

Huu muungano ni Sawa na Hadithi ya Ngamia na Mzee mwenye hema.
 
Akili yako Haina akili Bora ukae kimya
 
Mleta uzi naamini umeshapata muongozo kwamba watanganyika hawataki tena kulea KUPE wa kizanzibari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…