The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Nchi yetu imejaliwa kuwa na mikoa takribani 30 kwa sasa, na mfumo wa michezo inayosimamiwa na TFF unahusisha mikoa yote ya Tanzania bara, hata hivyo kuna mikoa ambayo huwezi kusikia ina timu inayoshiriki ligi kuu miaka yote.
Ukiacha Dar es Salaam, na timu za taasisi mikoa mingine imekua ikibadilishana, lakini kwa mkoa wa Mbeya ni ngumu sana kuona wamekosa timu inayoshiriki Ligi Kuu.
Kuna wakati wanakuwa nazo mbili hata tatu.
Nini kinawabeba mbeya kisoka?
Ukiacha Dar es Salaam, na timu za taasisi mikoa mingine imekua ikibadilishana, lakini kwa mkoa wa Mbeya ni ngumu sana kuona wamekosa timu inayoshiriki Ligi Kuu.
Kuna wakati wanakuwa nazo mbili hata tatu.
Nini kinawabeba mbeya kisoka?