Outcrop Rock
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 275
- 398
Hawezi kudhamini, hana ubavu huo.Hivi kwa mfano MO angedhamini Mngesema hivyo???
Mwamedi alikuwa na timu kabisa ligi kuu African Lyon.Hivi kwa mfano MO angedhamini Mngesema hivyo???
Azam haidhamini Timu zote inadhamini Ligi na mkataba wa Udhamini wake ni Kwenye Kuonyesha Ligi..Azam inadhamini timu zote na Yanga inatumia uwanja wa Azam na kipigo Kiko palepale Tu wanakandwa.
Wewe ni daktari wa nini?
Hiyo Timu Ilikuwepo.Zaman kabla hajaanza kuidhamini Simba na kwa sasa haipo Ligi KuuMwamedi alikuwa na timu kabisa ligi kuu African Lyon.
Vipingele vya Udhamini Vilikuwa wazi..Hujakatazwa kuhoji, ila kawaulize TFF au GSM hao ndiyo wanaweza kutoa ufafanuzi.
Mmeambiwa hivyo tangu 2021. Sportpesa kadhamini Simba, Yanga na Namungo kwa wakati mmoja, mliuliza kwanini?
Tatizo siyo mkataba, Bali tatizo ni 5G.1, Azam sports federation cup inadhaminiwa na Azam, na huyohuyo Azam anamiliki timu inayoshiriki hiyo michuano
2. Ligi kuu NBC moja ya mdhamini wake ni Azam.. na Azam haohao wanamiliki timu, mbona hatuskii malalamiko yoyote..??
Sidhani kama kudhamini teams kuna shida, shida ni kumiliki team zaidi ya moja
[emoji23][emoji23][emoji23] namzee mpili anakamilisha hesabu yake yamisukule 6 hivo kufunga idadi ya wachezaji17 uwanjani yanga nyie[emoji53][emoji53][emoji53]Azam inadhamini timu zote na Yanga inatumia uwanja wa Azam na kipigo Kiko palepale Tu wanakandwa.
Wewe ni daktari wa nini?
Ndyo..1, Azam sports federation cup inadhaminiwa na Azam, na huyohuyo Azam anamiliki timu inayoshiriki hiyo michuano
2. Ligi kuu NBC moja ya mdhamini wake ni Azam.. na Azam haohao wanamiliki timu, mbona hatuskii malalamiko yoyote..??
Sidhani kama kudhamini teams kuna shida, shida ni kumiliki team zaidi ya moja
Kidogo kidogo Mzee mpira Anaanza kuzibwaga siri Hadharani[emoji23][emoji23][emoji23] namzee mpili anakamilisha hesabu yake yamisukule 6 hivo kufunga idadi ya wachezaji17 uwanjani yanga nyie[emoji53][emoji53][emoji53]
Kwanini viwe wazi?Vipingele vya Udhamini Vilikuwa wazi..
Ila vipengele vya Udhamini Kwa GSM haviko wazi..
Soma Tena barua ilivyoandikwa
Umekosea Swali..Kwanini viwe wazi?
Mpira NI mchezo wa hadharani.Kidogo kidogo Mzee mpira Anaanza kuzibwaga siri Hadharani
View attachment 2932537
Tunamzungumziaje Mzee Mpili kusema uchawi wa Yanga ni mkubwa sanaMpira NI mchezo wa hadharani.
huu mkataba ulishakufa zamani, simba tuliukataa. mabango yote ya gsm kila mechi yalikuwa yanaondolewa wanapoteza simba. iwe ugenini au nyumbaniBaada ya Malalamiko mengi ya Wadau kuhusu GSM kuwa na Udhamini wa Timu zaidi ya Sita kwenye Ligi ya NBC,na kufanya Mpira wetu kuwa na sintofahamu kwa sababu GSM pia ndiyo mdhamini wa timu ya Yanga..
baada ya Viongozi sa Simba kuhoji hilo Kwa TFF, TFF imekuja na Jibu kwamba hakuna anayeruhusiwa kuhoji kuhusu Mkataba huo.
Je, hii ni sahihi kwa mustakabali wa Ufanisi wa Soka letu.
Inawezekanaje Mdhamini wa Ligi awe ndo Mdhamini wa Timu Ndani ya Ligi na adhamini timu zaidi ya Mbili na ukihoji unatisihiwa kuchukuliwa hatua.
wananchi tushtuke.
PIa soma.
Mashabiki wa Simba wamehamia kwenye kumshutumu GSM kudhamini timu zaidi ya 6
Kuna upepo hivi sasaa unasambaa kama moto wa petrol kuwa inakuwaje kwenye ligi moja mdhamini aweze kudhamini timu 6 kwenye ligi moja? Kwa maana hiyo hizi timu ndogo zinazodhaminiwa na GSM zinaipa yanga matokeo ya bure kwa sababu tu zinatokana na mdhamini kuwa mmoja. Swali la kujiuliza je SIMBA...www.jamiiforums.com
View attachment 2932503
Unataka tujadili mkataba wa 2021?Baada ya Malalamiko mengi ya Wadau kuhusu GSM kuwa na Udhamini wa Timu zaidi ya Sita kwenye Ligi ya NBC,na kufanya Mpira wetu kuwa na sintofahamu kwa sababu GSM pia ndiyo mdhamini wa timu ya Yanga..
baada ya Viongozi sa Simba kuhoji hilo Kwa TFF, TFF imekuja na Jibu kwamba hakuna anayeruhusiwa kuhoji kuhusu Mkataba huo.
Je, hii ni sahihi kwa mustakabali wa Ufanisi wa Soka letu.
Inawezekanaje Mdhamini wa Ligi awe ndo Mdhamini wa Timu Ndani ya Ligi na adhamini timu zaidi ya Mbili na ukihoji unatisihiwa kuchukuliwa hatua.
wananchi tushtuke.
PIa soma.
Mashabiki wa Simba wamehamia kwenye kumshutumu GSM kudhamini timu zaidi ya 6
Kuna upepo hivi sasaa unasambaa kama moto wa petrol kuwa inakuwaje kwenye ligi moja mdhamini aweze kudhamini timu 6 kwenye ligi moja? Kwa maana hiyo hizi timu ndogo zinazodhaminiwa na GSM zinaipa yanga matokeo ya bure kwa sababu tu zinatokana na mdhamini kuwa mmoja. Swali la kujiuliza je SIMBA...www.jamiiforums.com
View attachment 2932503