Nani yuko The Calabash mwenge hapa saivi??..!!!

Nani yuko The Calabash mwenge hapa saivi??..!!!

wewe jitokeze ununuliwe bia
Aaagh! Mkuu kuna pa kujitokeza. Ila jamaa anaonekana ni wale wa majamaa wa Nyumba nyeupe. Kuanzia suti aliyovaa,viatu vyake mpaka body language.

Naweza jitokeza kumbe napelekwa kwingine. Hapa simu yangu yenyewe nachatia chini ya Meza.
 
Sasa Mkuu nimekuona lkn afadhali tu ungevaa Suruali, miguu midogo mno. Haikupendezi ukivaa Pensi. Alafu pensi yenyewe inakubana mapaja na ukikaa inapanda juu kama taiti.
Na ww mjinga kweli
 
Mkuu nipo k, nyama nyuma ya double view nakula kitimoto kwanza
 
uyu jamaa nimemuona wapo watatu .wanakata valuer na seven up.namuona kanyanyuka na gazet lake anaondoka .sijui kaogopa
 
Aaagh! Mkuu kuna pa kujitokeza. Ila jamaa anaonekana ni wale wa majamaa wa Nyumba nyeupe. Kuanzia suti aliyovaa,viatu vyake mpaka body language.

Naweza jitokeza kumbe napelekwa kwingine. Hapa simu yangu yenyewe nachatia chini ya Meza.
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Aaah wahudumu wanazingua mkuu, nimeagiza Cote Du Marisule Champagne, the most expensive wine in the world eti ye kaenda kuniagizia mtori. Si mapuuza haya?
wewe jamaa kwa uandishi huu basi nimeshakujua na tulishakuwa kiwanja jina kapuni huko sinzaaa
 
Aaah wahudumu wanazingua mkuu, nimeagiza Cote Du Marisule Champagne, the most expensive wine in the world eti ye kaenda kuniagizia mtori. Si mapuuza haya?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]
 
Back
Top Bottom