donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
- Thread starter
- #61
Mkuu we nabii nini? Umejuajewewe jamaa kwa uandishi huu basi nimeshakujua na tulishakuwa kiwanja jina kapuni huko sinzaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu we nabii nini? Umejuajewewe jamaa kwa uandishi huu basi nimeshakujua na tulishakuwa kiwanja jina kapuni huko sinzaaa
What,Where,Who,Which?Bila shaka ni meneja at promo, jpm kawashika
njoo apo sasa upate majiHakyanan nawaona ma mmoja juu kavaa blue
Huwa unawafanya nini hao wahudumu? Vipi Bar nyingine yenye wahudumu wazuri ni ipiHapo tatizo hamna wahudumu wazuri. Bora hata ROMBO GREEN VIEW
Haaaaaaaaaaa[emoji121] [emoji121] [emoji121] [emoji121] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Angalau Rombo Green View, zamani pale Rose Garden Mikocheni sijui kama wakati huu bado wapo maana na haya mambo-mambo wengi wameenda.Huwa unawafanya nini hao wahudumu? Vipi Bar nyingine yenye wahudumu wazuri ni ipi
HahahahaSasa Mkuu nimekuona lkn afadhali tu ungevaa Suruali, miguu midogo mno. Haikupendezi ukivaa Pensi. Alafu pensi yenyewe inakubana mapaja na ukikaa inapanda juu kama taiti.
Ungedambua zakutosha mkuuNimechelewa kuona huu uzi mkuu. Aisee ningekuona ningekunywa savanna za kutosha eeeh
Hivi kwanini wanawake mnapenda Savannah...?Nimechelewa kuona huu uzi mkuu. Aisee ningekuona ningekunywa savanna za kutosha eeeh
Hao ndio watoto wa mchele mchele, kwenye shoo viuno mbele, mbele 😀😀😀Sasa Mkuu nimekuona lkn afadhali tu ungevaa Suruali, miguu midogo mno. Haikupendezi ukivaa Pensi. Alafu pensi yenyewe inakubana mapaja na ukikaa inapanda juu kama taiti.
.
Hapo Calabash kuna dada mmoja mrembo, mweusi tii, anaitwa Husna... Yule dada kakamilika kila idara...Hapo tatizo hamna wahudumu wazuri. Bora hata ROMBO GREEN VIEW
Teh teh tehMabaa medi wenye wezere wanazidi kuadimika