Nani yupo nyuma ya Nabii tito?

Nani yupo nyuma ya Nabii tito?

Reptilia

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2018
Posts
867
Reaction score
847
Nikiwa mitaa ya hapa mjini kati karibu na stendi kubwa halimashauri ya mji kahama mara namuona mtu aliyebeba mabango akipita mbele yangu huku akiwa mengine ameyakilia nilivomtazama zaidi niligundua ni nabii tito ,hivi huyu mtu ajapona tu au kuna watu wapo nyuma yake.

Pia amewezaje kufika huku wilayani
Uzi umeambatana na picha
FB_IMG_16646551477099776.jpg
 
Nikiwa mitaa ya hapa mjini kati karibu na stendi kubwa halimashauri ya mji kahama mara namuona mtu aliyebeba mabango akipita mbele yangu huku akiwa mengine ameyakilia nilivomtazama zaidi niligundua ni nabii tito ,hivi huyu mtu ajapona tu au kuna watu wapo nyuma yake.
Uzi umeambatana na picha
Picha zipo wapi?
Tuziidi kutafuta pesa
 
Nikiwa mitaa ya hapa mjini kati karibu na stendi kubwa halimashauri ya mji kahama mara namuona mtu aliyebeba mabango akipita mbele yangu huku akiwa mengine ameyakilia nilivomtazama zaidi niligundua ni nabii tito ,hivi huyu mtu ajapona tu au kuna watu wapo nyuma yake.

Pia amewezaje kufika huku wilayani
Uzi umeambatana na pichaView attachment 2374223
Huyu jamaa na kaonekana maeneo mengi Tabora n.k
 
Sasa mtu alishajitangaza kuwa anafilwa wewe unazumbuka nae nini?
 
Nikiwa mitaa ya hapa mjini kati karibu na stendi kubwa halimashauri ya mji kahama mara namuona mtu aliyebeba mabango akipita mbele yangu huku akiwa mengine ameyakilia nilivomtazama zaidi niligundua ni nabii tito ,hivi huyu mtu ajapona tu au kuna watu wapo nyuma yake.

Pia amewezaje kufika huku wilayani
Uzi umeambatana na pichaView attachment 2374223
Siwanasemaga huyo jamaa ni mtu wa system ...na kweli swali la kujiuliza anawezaje kufika mpaka
 
Back
Top Bottom