Reptilia
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 867
- 847
Nikiwa mitaa ya hapa mjini kati karibu na stendi kubwa halimashauri ya mji kahama mara namuona mtu aliyebeba mabango akipita mbele yangu huku akiwa mengine ameyakilia nilivomtazama zaidi niligundua ni nabii tito ,hivi huyu mtu ajapona tu au kuna watu wapo nyuma yake.
Pia amewezaje kufika huku wilayani
Uzi umeambatana na picha
Pia amewezaje kufika huku wilayani
Uzi umeambatana na picha