Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo siku huyu mtu ccm wanaweza kumzawadia ubunge
Siku hizi hiyo system imejaa majanga.Siwanasemaga huyo jamaa ni mtu wa system ...na kweli swali la kujiuliza anawezaje kufika mpaka
Alishachakatwa?Bure beleshi kumbe huyo.Kumbe ni burudisho la Wasomali?😂😂😂😂😂La kuchakatwa alishawahi lisema
Alishasema kwamba keshachakatwaAlishachakatwa?Bure beleshi kumbe huyo.Kumbe ni burudisho la Wasomali?😂😂😂😂😂
Hawashindwi..[emoji23] ama kuwekwa kwenye timu ya kampeniIpo siku huyu mtu ccm wanaweza kumzawadia ubunge
Nimejikuta nabust kwa kucheka .dah..😆Yawezekana wameshamchakata.Ndiyo anarudisha ujumbe alivyoteseka.
Naanza kupata mashaka mkuu.Unaweza kukuta na yeye yupo humu JF na tujadiliana hoja.Naanza kuwa mtulivu.Sijibu mtu hovyo.Khaaaa!😂😂😂😂🙏🙏🙏🙏Hawashindwi..[emoji23] ama kuwekwa kwenye timu ya kampeni
Alafu chapombeHuyu jamaa sijuwi wapi anapata pesa za kuendesha maisha yake.Halafu ni mpenzi wa Yanga African kinoma.
Hata hayo mabango ametumia fedha kuandika kwa mtaalamu.Wasiwasi ni mwingi.Dah!😂😂😂Alafu chapombe
System mnaipakaziaga mengi jamaa atakuwa na tatizo la akiliNimewahi kuwaza huenda ni Mtu wa System!
Kama wadau walivyosema ni kwamba anachakatwa.Yawezekana huwa anapewa za sabuni.Kuna siku kam miaka miwili nyuma nlimuona mwenge na hayo mabango yaKe sjuj pesa huwa anapataGa wap za kusafiri mkoa kwa mkoa🤣🤣
Ila UJUMBE wake in SAHIHI kabisa.Nikiwa mitaa ya hapa mjini kati karibu na stendi kubwa halimashauri ya mji kahama mara namuona mtu aliyebeba mabango akipita mbele yangu huku akiwa mengine ameyakilia nilivomtazama zaidi niligundua ni nabii tito ,hivi huyu mtu ajapona tu au kuna watu wapo nyuma yake.
Pia amewezaje kufika huku wilayani
Uzi umeambatana na pichaView attachment 2374223
Huyu jamaa ana mke na watoto na anasomesha na anaishi bunju Mimi pia huwa nawasiwasi huyu ni mtu wao haiwezekani kichaa akawa na maisha mazuriIla UJUMBE wake in SAHIHI kabisa.
Na mm namuonaga bunju bar moja ya mchaga ana kilimanjaro yake anaomba bia kila meza ..Huyu jamaa ana mke na watoto na anasomesha na anaishi bunju Mimi pia huwa nawasiwasi huyu ni mtu wao haiwezekani kichaa akawa na maisha mazuri