Picha zipo wapi?Nikiwa mitaa ya hapa mjini kati karibu na stendi kubwa halimashauri ya mji kahama mara namuona mtu aliyebeba mabango akipita mbele yangu huku akiwa mengine ameyakilia nilivomtazama zaidi niligundua ni nabii tito ,hivi huyu mtu ajapona tu au kuna watu wapo nyuma yake.
Uzi umeambatana na picha
Tayari nimeiona mkuu.Najitahidi ku upload mkuu
Huyu jamaa na kaonekana maeneo mengi Tabora n.kNikiwa mitaa ya hapa mjini kati karibu na stendi kubwa halimashauri ya mji kahama mara namuona mtu aliyebeba mabango akipita mbele yangu huku akiwa mengine ameyakilia nilivomtazama zaidi niligundua ni nabii tito ,hivi huyu mtu ajapona tu au kuna watu wapo nyuma yake.
Pia amewezaje kufika huku wilayani
Uzi umeambatana na pichaView attachment 2374223
Siwanasemaga huyo jamaa ni mtu wa system ...na kweli swali la kujiuliza anawezaje kufika mpakaNikiwa mitaa ya hapa mjini kati karibu na stendi kubwa halimashauri ya mji kahama mara namuona mtu aliyebeba mabango akipita mbele yangu huku akiwa mengine ameyakilia nilivomtazama zaidi niligundua ni nabii tito ,hivi huyu mtu ajapona tu au kuna watu wapo nyuma yake.
Pia amewezaje kufika huku wilayani
Uzi umeambatana na pichaView attachment 2374223
La kuchakatwa alishawahi lisemaYawezekana wameshamchakata.Ndiyo anarudisha ujumbe alivyoteseka.
CCM ndo wapo backside yao