luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Na yule mswati akaenda kumtambulisha demu wake as PS wake then next week akaoa.huyo PS πππ yaan hapo mm ndio nilicheka ...nafikiri kuna haja ya kuangalia upyaa ili swala la kuingia mjengoniNimeota nabii tito amealikwa bungeni....msisahau kuwa hata yule mlevi wa taifa bwana liquid alialikwa bungeni
Dah,, utopollo fc kila watu wa hovyo wapo kwao,,Nikiwa mitaa ya hapa mjini kati karibu na stendi kubwa halimashauri ya mji kahama mara namuona mtu aliyebeba mabango akipita mbele yangu huku akiwa mengine ameyakilia nilivomtazama zaidi niligundua ni nabii tito ,hivi huyu mtu ajapona tu au kuna watu wapo nyuma yake.
Pia amewezaje kufika huku wilayani
Uzi umeambatana na pichaView attachment 2374223
Hapo ndio huwa nawazaHuyu jamaa sijuwi wapi anapata pesa za kuendesha maisha yake.Halafu ni mpenzi wa Yanga African kinoma.
Hayo mabango yake unayoyaona yana wafadhiri wenye uwezo mkubwa.Huyu jamaa sijuwi wapi anapata pesa za kuendesha maisha yake.Halafu ni mpenzi wa Yanga African kinoma.