Nani yupo nyuma ya Oscar Oscar kwenye hili?

Nani yupo nyuma ya Oscar Oscar kwenye hili?

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Oscar Oscar amekuwa ni mtu wa kupost vichekesho kwenye page yake lakini kwa hapa amedhamiria. Hakuna vichekesho, kuna ujumbe anaufikisha sehemu. Na hii sio kawaida yake, je nani amemtuma Oscar Oscar? Je, ni kweli kuna figisu Yanga anafanyiwa? Kama kweli leteni ushahidi
9DAB5D66-E5EA-4789-863D-D87A574B28B9.jpeg
24BF331C-D32E-4E7C-848A-0561E9DFA016.jpeg
 
Ukimchukulia serious Oscar Oscar unaweza ukahisi anayoandikaga anamaanisha kumbe walaa, ye ameshajua namna ya kudeal na Mashabiki wa hizi team mbili

Huyo jamaa waga anaenda na upepo unapovumia, Kwa sasa Yanga wameleta hoja ya kutohudhuria mkutano wa CAF Kwa sababu hawakualikwa

Kwahiyo ukifatilia post za Oscar Oscar ni kwamba kapita na huo upepo kuonesha kwamba Yanga wanaonewa na Karia na hapo mashabiki wa Yanga Meno yote Nje

Likija swala lingine pia atapita nalo, ni sawa issue ya Simba last week kuhusu jezi, kwahiyo Oscar Oscar umaarufu wake hapo ndio unapoutoa

Leo anaweza kuamka siku nzima kawakalia kooni Simba na kesho akaamka anawapamba, hupaswi kumchukulia serious Oscar Oscar haijarishi ataongea/kusema nini
 
Yamempeleka wapi hayo makombe?
Amechukua ubingwa baada ya muda gani?
Unataka ukubwa wakati wenye mpira wao wanakuona ni kubwa jingwa?
Yaani kabisaaa hujui mwenye makombe hayo, akishayabeba yanampeleka wapi??
Iwe miaka yoyote ile, ishu ni kwamba makombe anayo yote
Ukubwa huamuliwa na uchezaji wako, na si maamuzi ya mtu..!! Akiamua mtu matokeo yake ndo hayo, anaonekana muonevu tu..
 
Huyo Oscar huwa anatafuta followers kwa nguvu kutoka timu zote mbili ikibidi hata kwa kusapoti ujinga, baada ya hapo utamsoma anajisifu asanteni familia ya twita nimefikisha wafuasi laki mbili ndani ya muda mfupi!

Ni utoto tu ndio unawasumbua hao makanjanja.
 
Ukimchukulia serious Oscar Oscar unaweza ukahisi anayoandikaga anamaanisha kumbe walaa, ye ameshajua namna ya kudeal na Mashabiki wa hizi team mbili

Huyo jamaa waga anaenda na upepo unapovumia, Kwa sasa Yanga wameleta hoja ya kutohudhuria mkutano wa CAF Kwa sababu hawakualikwa

Kwahiyo ukifatilia post za Oscar Oscar ni kwamba kapita na huo upepo kuonesha kwamba Yanga wanaonewa na Karia na hapo mashabiki wa Yanga Meno yote Nje

Likija swala lingine pia atapita nalo, ni sawa issue ya Simba last week kuhusu jezi, kwahiyo Oscar Oscar umaarufu wake hapo ndio unapoutoa

Leo anaweza kuamka siku nzima kawakalia kooni Simba na kesho akaamka anawapamba, hupaswi kumchukulia serious Oscar Oscar haijarishi ataongea/kusema nini
Ila mchezo wake una hatari kubwa kwa sababu washabiki wa Yanga hawana akili wakisikia hivyo wanaamini asilimia mia kuwa wanaonewa hivyo huu ni uchochezi
 
Oscar huyo ni shabiki wa yanga.tangu kipindi kile anaandika tu Facebook kabla hajaingia redioni.
Yanga kinachowaponza ni kutaka kushindana na MAMLAKA.
Nimeshawaambia hii Vita mliyoianzisha katu hamuwezi kushinda.TFF ndo baba wa mpira hapa Tanzania ujeuri wowote mtakaoufanya dhidi yao mtaumia wenyewe.
Ile mechi yenu dhidi ya Simba mliyogoma kuingiza timu haya ndo malipo yake.acheni kulia lia.mnatakiwa mjifunze kwa wenzenu na muangalie mmekosea wapi.kuna timu 16 ligi kuu kwanini nyie tu ndo mnaonewa?.
Haya juzi hapo manara karikoroga badala ya kumkana mnamtetea mnasema mlimkodi ni MC hivi mnadhani TFF watakubali kuvimbiwa kifua na yanga ambayo IPO chini yake?
 
Back
Top Bottom