Nani yupo nyuma ya Oscar Oscar kwenye hili?

Nani yupo nyuma ya Oscar Oscar kwenye hili?

Oscar ni Manyara part2 kasoro rangi yule mwingine manjano uyu mweusi
 
Oscar huyo ni shabiki wa yanga.tangu kipindi kile anaandika tu Facebook kabla hajaingia redioni.
Yanga kinachowaponza ni kutaka kushindana na MAMLAKA.
Nimeshawaambia hii Vita mliyoianzisha katu hamuwezi kushinda.TFF ndo baba wa mpira hapa Tanzania ujeuri wowote mtakaoufanya dhidi yao mtaumia wenyewe.
Ile mechi yenu dhidi ya Simba mliyogoma kuingiza timu haya ndo malipo yake.acheni kulia lia.mnatakiwa mjifunze kwa wenzenu na muangalie mmekosea wapi.kuna timu 16 ligi kuu kwanini nyie tu ndo mnaonewa?.
Haya juzi hapo manara karikoroga badala ya kumkana mnamtetea mnasema mlimkodi ni MC hivi mnadhani TFF watakubali kuvimbiwa kifua na yanga ambayo IPO chini yake?
Kushabikia Yanga ni dhambi?
 
Yaani kabisaaa hujui mwenye makombe hayo, akishayabeba yanampeleka wapi??
Iwe miaka yoyote ile, ishu ni kwamba makombe anayo yote
Ukubwa huamuliwa na uchezaji wako, na si maamuzi ya mtu..!! Akiamua mtu matokeo yake ndo hayo, anaonekana muonevu tu..
Yanga inajipiga vita yenyewe hakuna anyipiga vita,wajikite kwenye mpira hiyo heshima wanayoioomba kea lazima itakuja yenyewe tu bila kulazimisha
 
Msimu ulioisha simba amekosa league kuu hakuna mchezaji wala kiongozi wa simba aliyesema wamedhulumiwa au kuonewa ila sasa bingwa ndo kila siku analalamika na baada ya kuona licha ya kusajili team yao ni mbovu wanaanza kabisa kuwaaminisha mashabiki kwamba tff inawaonea ili wakikosa league msimu ujao wapate kisingizio na nguruwe pori ndo kashikilia bango.
 
Msimu ulioisha simba amekosa league kuu hakuna mchezaji wala kiongozi wa simba aliyesema wamedhulumiwa au kuonewa ila sasa bingwa ndo kila siku analalamika na baada ya kuona licha ya kusajili team yao ni mbovu wanaanza kabisa kuwaaminisha mashabiki kwamba tff inawaonea ili wakikosa league msimu ujao wapate kisingizio na nguruwe pori ndo kashikilia bango.
Yaani inashangaza sana aiseee
 
Kwan kipind malinzi anafanya unyama Kwa Simba hakuona na kingine viongozi wa yanga wapunguze dharau aisee Ile ishu ya kumwita haji Manara kwenye mwananchi ilikuwa ni kosa Sana hawana nidhamu

Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
 
Msimu ulioisha simba amekosa league kuu hakuna mchezaji wala kiongozi wa simba aliyesema wamedhulumiwa au kuonewa ila sasa bingwa ndo kila siku analalamika na baada ya kuona licha ya kusajili team yao ni mbovu wanaanza kabisa kuwaaminisha mashabiki kwamba tff inawaonea ili wakikosa league msimu ujao wapate kisingizio na nguruwe pori ndo kashikilia bango.
Kipindi Mangungu anasema mmaonwewa bingwa kasha pwangwa mhamie Burundi ulikua jela?
 
1.Oscar ana chuki ya waziwazi na raid wa TFF,sababu ni kutembea ktk mchakato wanuchaguzi wa raid wa shirikisho hilo



2.Oscar hana weredi,fikra yakinifu na ni mropokaji tu...hapa wanaofikiri kuwa anafanya joking ktk post zake wanapotea ,jamaa ndioo akili zake zilipoishia



3.Oscar ni chawa wa Haji,maana ndioo aliyemfanyia mpango mpaka kuwa meneja wa Farid Mussa,



4.OSCAR ANA AKILI NDOGO SANA,NA ,MIHEMKO...
Ni mpuuzi flani hivi.
 
Ina bidi tumpe Uafisa Habar Yanga. Ili ampige nyundo huyo Msomali.
 
Back
Top Bottom