Toedsloth_
JF-Expert Member
- Mar 18, 2022
- 369
- 1,085
Oscar ni Manyara part2 kasoro rangi yule mwingine manjano uyu mweusi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe nani yupo nyuma yako?Oscar Oscar amekuwa ni mtu wa kupost vichekesho kwenye page yake lakini kwa hapa amedhamiria. Hakuna vichekesho, kuna ujumbe anaufikisha sehemu. Na hii sio kawaida yake, je nani amemtuma Oscar Oscar? Je, ni kweli kuna figisu Yanga anafanyiwa? Kama kweli leteni ushahidiView attachment 2321899View attachment 2321900
Kushabikia Yanga ni dhambi?Oscar huyo ni shabiki wa yanga.tangu kipindi kile anaandika tu Facebook kabla hajaingia redioni.
Yanga kinachowaponza ni kutaka kushindana na MAMLAKA.
Nimeshawaambia hii Vita mliyoianzisha katu hamuwezi kushinda.TFF ndo baba wa mpira hapa Tanzania ujeuri wowote mtakaoufanya dhidi yao mtaumia wenyewe.
Ile mechi yenu dhidi ya Simba mliyogoma kuingiza timu haya ndo malipo yake.acheni kulia lia.mnatakiwa mjifunze kwa wenzenu na muangalie mmekosea wapi.kuna timu 16 ligi kuu kwanini nyie tu ndo mnaonewa?.
Haya juzi hapo manara karikoroga badala ya kumkana mnamtetea mnasema mlimkodi ni MC hivi mnadhani TFF watakubali kuvimbiwa kifua na yanga ambayo IPO chini yake?
Yanga inajipiga vita yenyewe hakuna anyipiga vita,wajikite kwenye mpira hiyo heshima wanayoioomba kea lazima itakuja yenyewe tu bila kulazimishaYaani kabisaaa hujui mwenye makombe hayo, akishayabeba yanampeleka wapi??
Iwe miaka yoyote ile, ishu ni kwamba makombe anayo yote
Ukubwa huamuliwa na uchezaji wako, na si maamuzi ya mtu..!! Akiamua mtu matokeo yake ndo hayo, anaonekana muonevu tu..
Hivi makombe yanaleta dharau?Yanga inajipiga vita yenyewe hakuna anyipiga vita,wajikite kwenye mpira hiyo heshima wanayoioomba kea lazima itakuja yenyewe tu bila kulazimisha
Sasa kwa nn wanajishuku wakati wana makombe mengi na wanajiona ni wakubwa kwa kuwa na makombe mengi?Hivi makombe yanaleta dharau?
Kunajambo jingine zaidi ya usemayoSasa kwa nn wanajishuku wakati wana makombe mengi na wanajiona ni wakubwa kwa kuwa na makombe mengi?
Wewe wasemaKunajambo jingine zaidi ya usemayo
Yaani inashangaza sana aiseeeMsimu ulioisha simba amekosa league kuu hakuna mchezaji wala kiongozi wa simba aliyesema wamedhulumiwa au kuonewa ila sasa bingwa ndo kila siku analalamika na baada ya kuona licha ya kusajili team yao ni mbovu wanaanza kabisa kuwaaminisha mashabiki kwamba tff inawaonea ili wakikosa league msimu ujao wapate kisingizio na nguruwe pori ndo kashikilia bango.
Kama anafaa au ana uwezo huo, WHY NOT?Osca anataka nafasi ya Bumbuli.
Walalamikieni CAF na FIFA, hao ndio wanaoiona Yanga kuwa si loloteAmechukua makombe yote, bado hana lolote..!! Amemaliza ligi bila kufungwa, bado hana lolote..!! Kweli upenzi upofu
Kipindi Mangungu anasema mmaonwewa bingwa kasha pwangwa mhamie Burundi ulikua jela?Msimu ulioisha simba amekosa league kuu hakuna mchezaji wala kiongozi wa simba aliyesema wamedhulumiwa au kuonewa ila sasa bingwa ndo kila siku analalamika na baada ya kuona licha ya kusajili team yao ni mbovu wanaanza kabisa kuwaaminisha mashabiki kwamba tff inawaonea ili wakikosa league msimu ujao wapate kisingizio na nguruwe pori ndo kashikilia bango.
Simba mkiambiwa muache ujinga ni kama mnaona hamtaweza kuishi, timu imeanzishwa 1935, jiulize tu, kwa Tanganyika yote wakati huo ilikuwa na wasomi wangapi. Wakati huo wazee wako walikuwa wanatembea masuburi yakiwa nje na kulala kwenye vihenge.