mpiga vichwa
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 2,376
- 3,811
Sasa mnataka iweje?? Kuweni wazi, au mnataka mpewe mamlaka ya kuongoza TFF?? KhaaaaaahAmechukua makombe yote, bado hana lolote..!! Amemaliza ligi bila kufungwa, bado hana lolote..!! Kweli upenzi upofu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na kwa vile ana vimelea vya jinsia ya tatu ataipata
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti Njano, ila watu daaah.Oscar ni Manyara part2 kasoro rangi yule mwingine manjano uyu mweusi
Usisahau na kitenge alimfanyia dili la basha wa kizungu, wakaenda Ulayaa aliliwq buree, kaishia kupewaa nauli tyuuh.1.Oscar ana chuki ya waziwazi na raid wa TFF,sababu ni kutembea ktk mchakato wanuchaguzi wa raid wa shirikisho hilo
2.Oscar hana weredi,fikra yakinifu na ni mropokaji tu...hapa wanaofikiri kuwa anafanya joking ktk post zake wanapotea ,jamaa ndioo akili zake zilipoishia
3.Oscar ni chawa wa Haji,maana ndioo aliyemfanyia mpango mpaka kuwa meneja wa Farid Mussa,
4.OSCAR ANA AKILI NDOGO SANA,NA ,MIHEMKO...
Ni mpuuzi flani hivi.
Kijola mbaya sana anamuuza mwezake hela anachukua yeye Oscar anaambulia ticket tuUsisahau na kitenge alimfanyia dili la basha wa kizungu, wakaenda Ulayaa aliliwq buree, kaishia kupewaa nauli tyuuh.
Wazungu mchezo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeee sanaaa.Kijola mbaya sana anamuuza mwezake hela anachukua yeye Oscar anaambulia ticket tu
Ligi kuu Tanzania Vara ina timu mbili tu Simba na Yanga,, na kila kinachofanyika ni Kwa maslahi ya hizo timu mbili. Ikitokea ghafla Simba na Yanga zimegoma kushiriki ligi kuu msimu huu je ligi itakuwepo>Oscar huyo ni shabiki wa yanga.tangu kipindi kile anaandika tu Facebook kabla hajaingia redioni.
Yanga kinachowaponza ni kutaka kushindana na MAMLAKA.
Nimeshawaambia hii Vita mliyoianzisha katu hamuwezi kushinda.TFF ndo baba wa mpira hapa Tanzania ujeuri wowote mtakaoufanya dhidi yao mtaumia wenyewe.
Ile mechi yenu dhidi ya Simba mliyogoma kuingiza timu haya ndo malipo yake.acheni kulia lia.mnatakiwa mjifunze kwa wenzenu na muangalie mmekosea wapi.kuna timu 16 ligi kuu kwanini nyie tu ndo mnaonewa?.
Haya juzi hapo manara karikoroga badala ya kumkana mnamtetea mnasema mlimkodi ni MC hivi mnadhani TFF watakubali kuvimbiwa kifua na yanga ambayo IPO chini yake?