NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Nikipewa mtonyo na bandika na Mimi!!Mbona kawaida sana bwashee.
Wewe bandika ya Halima Mdee ukipenda
Wanaupiga mwingi Sana Hadi wanafinyia ndani!!Nchi ya hovyo Sana hii, usikute ni waziri wa fweza
Nikiingia nitawanyoosha Sana!!nchi imeshaanza kupinda hii!!Hawajui kwamba mleta mada ndio RAISI AJAYE ?
Shaka ZuluWakuu
Kutokana na uchunguzi wa kuaminika kuna Bajaji zilizobandikwa picha za mheshimiwa Mama yetu hapa Dar es salaam maeneo ya ilala, kinondoni,temeke na maeneo mengine na wahusika wamekuwa wakilipwa KWA mwezi 70000/= KWA kinondoni,30000/= ilala na maeneo kama temeke na kwingineko!je malipo haya nani anayalipa!!?!!?
Lengo ni nini!!?
Asante
View attachment 2226915
Hakubaliki ,wanalazimisha projects za kwamba akubalike ,hivyo analiwa sanaWakuu
Kutokana na uchunguzi wa kuaminika kuna Bajaji zilizobandikwa picha za mheshimiwa Mama yetu hapa Dar es salaam maeneo ya ilala, kinondoni,temeke na maeneo mengine na wahusika wamekuwa wakilipwa KWA mwezi 70000/= KWA kinondoni,30000/= ilala na maeneo kama temeke na kwingineko!je malipo haya nani anayalipa!!?!!?
Lengo ni nini!!?
Asante
View attachment 2226915
Watu wana creat vitu wanajua watapiga hela kwenye uchapishajiwa hayo mabango na kuwalipa hao watu wenye bajaji ili mambo yao yaende ila haitawasaidia kila mtu sasa hivi akili mkichwa ukifika kwenye box la kura unajua cha kufanya kumbuka yoteee uliyopitia hasa kipindi hiki kigumu kisha fanya maamuziWakuu
Kutokana na uchunguzi wa kuaminika kuna Bajaji zilizobandikwa picha za mheshimiwa Mama yetu hapa Dar es salaam maeneo ya ilala, kinondoni,temeke na maeneo mengine na wahusika wamekuwa wakilipwa KWA mwezi 70000/= KWA kinondoni,30000/= ilala na maeneo kama temeke na kwingineko!je malipo haya nani anayalipa!!?!!?
Lengo ni nini!!?
Asante
View attachment 2226915
Rekebisha Avatar yako!Wakuu
Kutokana na uchunguzi wa kuaminika kuna Bajaji zilizobandikwa picha za mheshimiwa Mama yetu hapa Dar es salaam maeneo ya ilala, kinondoni,temeke na maeneo mengine na wahusika wamekuwa wakilipwa KWA mwezi 70000/= KWA kinondoni,30000/= ilala na maeneo kama temeke na kwingineko!je malipo haya nani anayalipa!!?!!?
Lengo ni nini!!?
Asante
View attachment 2226915
MkuuRekebisha Avatar yako!
Siyo RAISI× ni RAIS✓
Ikumbukwe CCM inadaiwa billions na walio print kofia,nguo nk uchaguzi uliopita, pesa hii CCM wataitoa kwenye Kodi zetu
Hata hayo ma bajaji Kama kweli wanalipwa Basi tunaibiwa