NANI ZAIDI: Nilikuwa na Mashaka na Simba kumbe ni kweli wanatumia fumbate

NANI ZAIDI: Nilikuwa na Mashaka na Simba kumbe ni kweli wanatumia fumbate

Japokuwa Simba Kwa miaka kadhaa hapati matokeo mazuri kwenye game za derby ila mashabiki wa Simba huiamini team Yao na kwenda kujaza uwanja kwenye derby zote haijarishi Simba ndio mwenyeji au Yanga

Mwaka Jana Hadi mwaka huu, IPO hivo na ata Hilo gape unaloongelea wewe kwenye gate collection ni Simba ndio waliinufaisha Yanga, rejea msimu huu derby ya mwisho, Manara na Bumbuli wamezunguka media zote kufanya promotion Ila Simba wapo kimyaaaa

Bumbuli akaanza kulalamika kuwa Simba haifanyi promotion Kwa sababu wanahofia Yanga ataingiza hela nyingi, ila mwisho wa siku wewe mwenyewe shahidi kuwa Simba walikuwa robo Tatu ya uwanja wa mkapa pamoja na kutokupigwa promotion ya derby

Kwahiyo muitikio wa mashabiki wa Simba ni mkubwa sana kushinda mashabiki wa Yanga na hilo mnalijua ila waga mnaluluka tu, kwahiyo sjabu ata msimu huu mkiongoza gate collection Kwa sababu ya mashabiki wa Simba, na tofauti ya attendence ilikuwa ni mashabiki 3000, hiyo idadi imeongezwa na Simba

Nguvu ya mashabiki wa Simba haijaanza Leo, tangu enzi za mtani jembe, pamoja na kipindi kile Yanga ndio ilikuwa inafanya vizuri ila uwanja wa mkapa ulikuwa unajaa Wana Simba, kwahiyo hatushangai nyie kuongoza mapato ila ata nyie ukweli mnaujua ila mnajificha kwenye kimvuli cha mapato

Hamtokaa mjaze uwanja game zenu wenyewe tofauti na week ya wanachi maana nyie ubahili ndio jadi yenu, ili mjaze uwanja inabidi Eng Hersi awaingize bure kama alivofanyaga Manji game ya mazembe, ila tofauti na hapo mtakuwa mnaonekana kama mpo ugenini kama msimu uliopita

Kwa kushirikiana Afisa muhamasishaji na Afisa habari kufanya promotion Kwa week nzima lakini hiki ndio kilichoenda kutokea Kwa mkapa, endeleeni kujitekenya na kucheka wenyewe, ila kwenye issue ya mashabiki kujitoa nyie bado sana na ubaya wengi wenu ni wazee na hamna hela
View attachment 2260189
Kuna mtu anaitwa demigod, Mtoa mada, inafaa alione hii picha ambayo Yanga ndio walikuwa wenyeji.
Na aseme pesa ya kiingilio nani alitoa nyingi kwenye hiyo mechi yao.
Washabiki wa Yanga wengi ni akina mama na Wazee kama Mzee Mpili.

Simba ndio haoo hapo kweny mechi ya Yanga.
Nao watuoneshe kwenye Mechi ya Simba wanajitokeza namna gani.

Hizo pesa za Get collection nyingi zimechangiwa na mashabiki wa Simba.
Ila tunawajua hawanaga shukrani hawa watu.
Wakiambiwa Simba anaongoza vilabu vingi Afrika kwa Attendance ya mashabiki ni kama wameziba maskio yao.
Na kwenye mchango Simba wanaongoza zaidi ya maradufu kama hapo uwanjani kwenye mechi yao.
 
Kuna mtu anaitwa demigod, inafaa alone hii picha ambayo Yanga ndio walikuwa wenyeji.
Na aseme pesa ya kiingilio nani alitoa nyingi.
Washabiki wa Yanga wengi ni akina mama na Wazee kama Mzee Mpili.

Simba ndio haoo hapo kweny mechi ya Yanga.
Nao watuoneshe kwenye Mechi ya Simba wanajitokeza namna gani.

Hizo pesa za Get collection nyingi zimechangiwa na mashabiki wa Simba.
Ila tunawajua hawanaga shukrani hawa watu.
Yaah ni kwa vile wanakuja kuingalia burudani ya mpira kutoka kwa Yanga baada ya kukosa burudani toka kwa timu yao ambayo inabutua butua na timu imejaa wavunja kuni watupu

Rudini sokoni mkasajili quality players watakao leta burudani kwenye timu ili msiende kutafuta burudani halisi ya mpira kutoka kwa jirani

Ngenga zikiendelea timu yenu mtaikimbia kwa pira gimbi linalopigwa
 
Kushiriki group stages ndio umeona ni mafanikio?

Yaani kuwa msimdikizaji nayo ni sifa?
Ww mbona tokea Yanga utopolo ianzishwe hujawahi shiriki zaidi ya 2 kama unaona rahisi kwanini hatukuoni caf champs league
 
Una uhakika gani Mashabiki wote walioingia kwenye mechi za Yanga, ni Mashabiki wa Yanga?

Unaweza kufunga safari kuhudhuria msiba USIO KUHUSU..?

Anayefanya hivyo ni yule mwenye nia ya kula wali wa msibani tu..

Na hua hawazidi asilimia 10.
 
Japokuwa Simba Kwa miaka kadhaa hapati matokeo mazuri kwenye game za derby ila mashabiki wa Simba huiamini team Yao na kwenda kujaza uwanja kwenye derby zote haijarishi Simba ndio mwenyeji au Yanga

Mbona mnachagua baadhi ya mechi ili kupima nani mwenye kufuatiliwa zaidi?

Kwanini utumie kipimo cha mechi za Derby pekee?

Msimu uliopita YANGA SC iliongoza kwa gate collection, je unafahamu maana yake?

Au unadhani msimu huo waliamua tu kwamba wahudhurie na kutazama zaidi mechi za Watani zao na Waachane na kujaza Mechi za Timu yao?

Fikiria.
 
Hilo gape unaloongelea wewe kwenye gate collection ni Simba ndio waliinufaisha Yanga, rejea msimu huu derby ya mwisho

Kwa hiyo unamaanisha kuwa msimu uliopita mashabiki wote wa simba sc tanzania nzima walikaa chini wakaamu sasa wawe wanaenda kutazama mechi za YANGA SC na pia wapumzike kutazama mechi za SIMBA SC...?

[emoji23][emoji23]
 
Si mlisema mo hana hela kumbe sasa hivi aliweka fumbate?kama hizo ni figa halisi basi simba imebahatika kuwa na tajiri anaejitoa kama mo,anatoa hela muda ambao hata transformation haijakamilika
 
Bumbuli akaanza kulalamika kuwa Simba haifanyi promotion Kwa sababu wanahofia Yanga ataingiza hela nyingi, ila mwisho wa siku wewe mwenyewe shahidi kuwa Simba walikuwa robo Tatu ya uwanja wa mkapa pamoja na kutokupigwa promotion ya derby

Bado narudia tena.

Mechi moja sio kipimo cha nani anafiatiliwa na mashabiki wengi uwanjani.


IMG_0401.jpg


[emoji23]
 
Kwahiyo muitikio wa mashabiki wa Simba ni mkubwa sana kushinda mashabiki wa Yanga na hilo mnalijua ila waga mnaluluka tu,

QUOTE]

Yaani mashabiki wa simba wana hamasa zaidi ya kwenda uwanjani kutazama mechi ZA LIGI ZA YANGA SC ....


Kuliko Kutazama MECHI ZA TIMU YAO?

IMG_0402.jpg
 
Kuna mtu anaitwa demigod, Mtoa mada, inafaa alione hii picha ambayo Yanga ndio walikuwa wenyeji.
Na aseme pesa ya kiingilio nani alitoa nyingi kwenye hiyo mechi yao.
Washabiki wa Yanga wengi ni akina mama na Wazee kama Mzee Mpili.

Simba ndio haoo hapo kweny mechi ya Yanga.
Nao watuoneshe kwenye Mechi ya Simba wanajitokeza namna gani.

Hizo pesa za Get collection nyingi zimechangiwa na mashabiki wa Simba.
Ila tunawajua hawanaga shukrani hawa watu.
Wakiambiwa Simba anaongoza vilabu vingi Afrika kwa Attendance ya mashabiki ni kama wameziba maskio yao.
Na kwenye mchango Simba wanaongoza zaidi ya maradufu kama hapo uwanjani kwenye mechi yao.

Mechi ambazo tuna uhakika wa Ushindi huwa atuendi kutazama.

Moja ya hizo mechi ni pale tunapocjeza na Simba SC.

Unaendaje kutazama game ikiwa matokeo unayatambua mapema..

Ni rahisi zaidi kutabiri matokeo dhidi ya SIMBA SC kuliko dhidi ya Coast Union.
 
Ww mbona tokea Yanga utopolo ianzishwe hujawahi shiriki zaidi ya 2 kama unaona rahisi kwanini hatukuoni caf champs league

Inaonekana wewe bado ni mchanga sana kwenye soka.

Yanga SC ndio klabu iliyoshiriki mara nyingi zaidi kwenye continental tournaments kuliko timu yeyote hapa Tanzania.

Najua ubongo wako umejaa maji ya Madafu nenda Google ikakusaidie.
 
Una uhakika gani Mashabiki wote walioingia kwenye mechi za Yanga, ni Mashabiki wa Yanga?

Rangi za jezi uwanjani ni kiashiria tosha kuwa wakina nani wanashangilia nani.

Hakuna shabiki wa SIMBA SC anaweza tinga uzi wa NJANO na kuenda kutazama mechi ya YANGA SC.

[emoji23][emoji23]
 
Ukitumia akili utagundua kuwa hakuna ALGORITHM inayoshindwa ku-generate 1,000/= at a particular interval.

Ukizingatia hakuna ukomo wa kuchangia buku buku.
Kwanin Yanga nao wasifanye ivo! Unafanya maisha kuwa magumu, kwa vitu ambavyo vikowazi kabisa.!
 
Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu sana suala la hii kampeni ya Nani Zaidi?

Kwa uwiano uliopo kati ya mashabiki wa Simba na Yanga, inawezekana vipi wapiga kura wa Simba wawe wengi mara mbili zaidi kuliko wale wa watani zao Yanga?

Hata ukizingatia tu uwezo na msukumo wa uchangiaji kutoka kwenye kampeni yao ya Ujenzi wa uwanja...Huwezi kuona uhalisia baina ya kapeni hizi mbili.

(kumbuka kuwa Simba walitumia miezi 6 kufikisha milioni 60)

Tena kwa kutumia michango ya mashabiki. Tena pasi na kuwekewa kuwango zuizi cha uchangiaji!

Sasa wamewezaje kufika milioni 100 ndani ya mwezi mmoja...? [emoji23][emoji23]

Ukitumia ubongo wako mpenzi msomajinutagundua kuwa kampeni ya uchangiaji ilivamia na FUMBATE ya kuhamisha pesa ya klabu yao kwa lengo la kuwaaminisha wanachama na mashabiki wao kuwa wako vizuri, wakijua wazi kuwa mashabiki wao wataamini na hawatoweza hata kujiuliza maswali magumu.

Leo katika mkutano wa waandishi wa Habari wa klabu ndipo nikapata kuthibitisha shaka yangu kuwa niko sahihi 100%

Idara ya Klabu ya Yanga iliweka wazi mbinu iliyoyumika na simba ili kuuaminisha watu wao kuwa hawawezi kushindwa na Yanga kwenye kila kitu msimu huu.

Walichokifanya ni kutoe pesa mfuko wa kushoto na kupeleka kulia ili kuonyesha kuwa wako safi.

Hongereni Simba SC lakini msisahau kusajili kwa kuwa dirisha la CAF limesalia siku chache kutoka hii leo.

View attachment 2259739
Acha kushangaa na kushutumu tuma pesa, Hamasisha shabiki mwenzako nae atume pesa na ahamasishe wengine!
Sote tunajua kwasasa Simba ina mashabiki hadi nje ya Tanzania, sasa wewe baki kushutumu Simba tunaenda next level! Ni Simba haohao mwaka juzi waliwabamiza Yanga 4 - 1, Ni Simba haohao waliwahik kuwafunga Yanga 5 - 0, 6 -0, Huku Abdalah king Kibaden akipiga hatitrick, Hivyo hakuna cha kushangaza wamestahili! Kama bado hujaamini kawaulize wafanyabiashara wa vibanda umiza watakwambia ukweli kuhusu tofauti ya mapato wanayopata siku Simba ikicheza huwezilinganisha na hao wanaochezea mpira mdomoni1
 
Tuseme OM aondoke wanachama mnaweza kuendesha hii clab? si mnaona Yanga walivyozorota baada ya Manji kusepa hadi GSM alipoingia kuokoa jahazi, acheni unazi wa kijinga, hao viongozi wa Simba wanaulizia hizo hela mirija yao ya kupiga hela imekatwa. Hizo B20 hata kama asipoziweka, ameshindwa kuendesha club na kulipa mishahara na huduma zingine za timu?
Mimi ni Simba damu (rejea post zangu za nyuma) lakini Mo anataka atudanganye ili tusahau kinacho endelea pale Msimbazi, nasikitika kuwa Kigwangala akiomgea anaonekana lofa, ni kweli Kigwangala simpendi lakini kwenye hili la Simba yuko Sahihi, Moo usitudanganye hizo hela umeziweka wewe kwa ushawishi wa CEO
 
Tuseme OM aondoke wanachama mnaweza kuendesha hii clab? si mnaona Yanga walivyozorota baada ya Manji kusepa hadi GSM alipoingia kuokoa jahazi, acheni unazi wa kijinga, hao viongozi wa Simba wanaulizia hizo hela mirija yao ya kupiga hela imekatwa. Hizo B20 hata kama asipoziweka, ameshindwa kuendesha club na kulipa mishahara na huduma zingine za timu?
Utakuwa mwana Yanga wewe, hivi huoni performance ya timu yetu? Huoni kuwa mwakani kuna anguko kubwa zaidi? Usajili wenyewe unasuasua, au wewe ni wale mashabiki wa kuangalia mpira vibandani?
 
Yaah ni kwa vile wanakuja kuingalia burudani ya mpira kutoka kwa Yanga baada ya kukosa burudani toka kwa timu yao ambayo inabutua butua na timu imejaa wavunja kuni watupu

Rudini sokoni mkasajili quality players watakao leta burudani kwenye timu ili msiende kutafuta burudani halisi ya mpira kutoka kwa jirani

Ngenga zikiendelea timu yenu mtaikimbia kwa pira gimbi linalopigwa
Maskini akipata.....
Washabiki wenu wamewabatiza majina mengi tu. Mala Utopolo fc mala Mataputapu fc hadi kocha wenu akawaita Nyani, shauri ya kucheza mpira mbovu kwa kipindi kirefu hadi washabiki wenu wamesusa kuja kwa uwingi uwanjani hadi hii leo.

Simba wanapenda soka na ni wenye uwezo wa kuingia uwanjani ndio maana unaona hiyo halaiki ya watu uwanjani.
Kwali making alikipata...
 
Mechi ambazo tuna uhakika wa Ushindi huwa atuendi kutazama.

Moja ya hizo mechi ni pale tunapocjeza na Simba SC.

Unaendaje kutazama game ikiwa matokeo unayatambua mapema..

Ni rahisi zaidi kutabiri matokeo dhidi ya SIMBA SC kuliko dhidi ya Coast Union.
Ndio umeamua kuweka siku ya Yanga day. Kuonesha mnavyohudhuria uwanjani.
 
Back
Top Bottom