Nansio Ukerewe: Kijana aponda mbwa na jiwe kwa mkono wake na kubaki umenyooka

GENTAMYCINE huu ndio uzi wako sasa KWA maana huko Nansio ndio nyumbani kwenu ulipozaliwa ulipokulia na Unapo ishi.

Funguka mkuu popoma mambo ya Nansio
Naona Hasira za Kumuacha 'aliyekuzaa' akiwa bado ananipenda GENTAMYCINE Mtoto wake Wewe umeamua Kuzimalizia Kwangu labda ukitegemea nitamrudia ila nakutuma Kwake mwambie huwa sina tabia ( desturi ) ya Kumrudia Mwanamke au Mbunye sawa?

Hongera pia kwa kujipa Jukumu la Kipumbavu la Kupitia Mada zangu zote ninazozianzisha hapa JamiiForums na Kunidhihaki hadi Kunishambulia ukidhani labda nitabadili Maamuzi na Kumrudia 'Aliyekuzaa' wakati hana tena jipya Kwangu.
 
Ila na watu wa hako kakisiwa wanapenda uchawi kuliko kula,nakumbuka nilikua na mwanamke huko basi kitu kidogo tu utasikia " we ntakuroga nakwambia yani hafichi anakupa live
 
Wewe ni mgonjwa. Siku utakae mjua alie waloga wagalatia ndio siku utakayo mjua alie kuloga na wewe.


Kukwambia ukweli kwamba kwenu ni murutunguru ukerewe ndio kukukejeli?

Mwehu kweli wewe
 
Hili tukio liliwah kutokea zaman sana miaka ya 90 huko huko ukerewe
 
Wewe ni mgonjwa. Siku utakae mjua alie waloga wagalatia ndio siku utakayo mjua alie kuloga na wewe.


Kukwambia ukweli kwamba kwenu ni murutunguru ukerewe ndio kukukejeli?

Mwehu kweli wewe
Naona Hasira za Kumuacha 'aliyekuzaa' akiwa bado ananipenda GENTAMYCINE Mtoto wake Wewe umeamua Kuzimalizia Kwangu labda ukitegemea nitamrudia ila nakutuma Kwake mwambie huwa sina tabia ( desturi ) ya Kumrudia Mwanamke au Mbunye sawa?

Hongera pia kwa kujipa Jukumu la Kipumbavu la Kupitia Mada au Posts zangu zote ninazozianzisha / ninazojibu hapa JamiiForums na Kunidhihaki hadi Kunishambulia ukidhani labda nitabadili Maamuzi na Kumrudia 'Aliyekuzaa' wakati hana tena jipya Kwangu.
 
Kijana huyo ambae hajafahamika majina alimponda mbwa na jiwe jana usiku majira ya saa 2 usiku.

Tukio hilo la kustaajabisha liliyokea/limetokea Ukerewe Nansio maeneo ya Bakwata (Musoma road) mwisho wa lami.

Picha kukujia punde
Umesahau. Kila aliyejaribu kupiga picha tukio mikono yake na kiwiliwili kilibaki kimeganda huku ameshika kamera/simu.
 
Hatari sana.
 
Mhanga alipatwa na zahama hilo sana 2 jana, amelala hivo na leo asubuhi ndo kubweka wazi. Watu ndo wakaanza kujaa.

Kama kuna mtu yeyote humu ana ndugu, RAFIKI au jamaa anaeishi Nansio Ukerewe basi awasiliane nae amuulize
wazi.!
 
Watu washaripot huko twitani
 

Attachments

  • Screenshot_20221119-135913.png
    112.5 KB · Views: 6
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…