GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Naona Hasira za Kumuacha 'aliyekuzaa' akiwa bado ananipenda GENTAMYCINE Mtoto wake Wewe umeamua Kuzimalizia Kwangu labda ukitegemea nitamrudia ila nakutuma Kwake mwambie huwa sina tabia ( desturi ) ya Kumrudia Mwanamke au Mbunye sawa?GENTAMYCINE huu ndio uzi wako sasa KWA maana huko Nansio ndio nyumbani kwenu ulipozaliwa ulipokulia na Unapo ishi.
Funguka mkuu popoma mambo ya Nansio
Wewe ni mgonjwa. Siku utakae mjua alie waloga wagalatia ndio siku utakayo mjua alie kuloga na wewe.Naona Hasira za Kumuacha 'aliyekuzaa' akiwa bado ananipenda GENTAMYCINE Mtoto wake Wewe umeamua Kuzimalizia Kwangu labda ukitegemea nitamrudia ila nakutuma Kwake mwambie huwa sina tabia ( desturi ) ya Kumrudia Mwanamke au Mbunye sawa?
Hongera pia kwa kujipa Jukumu la Kipumbavu la Kupitia Mada zangu zote ninazozianzisha hapa JamiiForums na Kunidhihaki hadi Kunishambulia ukidhani labda nitabadili Maamuzi na Kumrudia 'Aliyekuzaa' wakati hana tena jipya Kwangu.
Naona Hasira za Kumuacha 'aliyekuzaa' akiwa bado ananipenda GENTAMYCINE Mtoto wake Wewe umeamua Kuzimalizia Kwangu labda ukitegemea nitamrudia ila nakutuma Kwake mwambie huwa sina tabia ( desturi ) ya Kumrudia Mwanamke au Mbunye sawa?Wewe ni mgonjwa. Siku utakae mjua alie waloga wagalatia ndio siku utakayo mjua alie kuloga na wewe.
Kukwambia ukweli kwamba kwenu ni murutunguru ukerewe ndio kukukejeli?
Mwehu kweli wewe
Viatu bana.Tukio hilo nimelishuhudia mwenyewe na mhanga nimemuona kwa macho yangu. Sikuweza kumpiga picha
Umesahau. Kila aliyejaribu kupiga picha tukio mikono yake na kiwiliwili kilibaki kimeganda huku ameshika kamera/simu.Kijana huyo ambae hajafahamika majina alimponda mbwa na jiwe jana usiku majira ya saa 2 usiku.
Tukio hilo la kustaajabisha liliyokea/limetokea Ukerewe Nansio maeneo ya Bakwata (Musoma road) mwisho wa lami.
Picha kukujia punde
Ukipiga picha tukio kama hilo na wewe mpiga picha utabaki umeganda.Bila picha ni uzushi
Ha haaa acha uongo banaUkipiga picha tukio kama hilo na wewe mpiga picha utabaki umeganda.
Hatari sana.Kuna dada mmoja nae ilimtokea,katoka zake kunywa huko kajilewea....arudi home...sasa njia aliyopita mbele kuna uwanja wa Mpira wa miguu,,naona akaona isiwe shida sana kuzunguka usiku huu wakati hakuna mechi uwanjani...akaamua kupita katikati ya uwanja....si ndo akaona kundi la mbwa....yeye anasema hawakumbwekea wala kumkimbiza ila kitendo cha kuona kundi kubwa la mbwa akaingiwa uoga akaokota jiwe kuwabonda....anasema alisikia kilio cha mbwa mmoja tu nadhani ndo jiwe Iilimpata....then mbwa wale wakasambaratika...na yeye akapita salama salmini....kafika home kalala,Mara kaanza kusikia maumivu ya mkono,akavumilia mpaka asubuhi ....kuamka akakuta mkono umeumuka na umeota magamba ya nyoka.Wakati anasimulia alikuwa tayari kazunguka kote bila kupona....nasikia alikufa baadae yule dada
SanaHatari sana.
wazi.!Mhanga alipatwa na zahama hilo sana 2 jana, amelala hivo na leo asubuhi ndo kubweka wazi. Watu ndo wakaanza kujaa.
Kama kuna mtu yeyote humu ana ndugu, RAFIKI au jamaa anaeishi Nansio Ukerewe basi awasiliane nae amuulize