Movies Store
JF-Expert Member
- Mar 17, 2022
- 288
- 938
Mmoja unanunua bei gani ili wadau waelewe wa kg 30Habari wakuu,naomba kama kuna anae uza mtungi wake wa gas anicheki au kama kuna wale wafanyabiashara wa gas wanaoacha biashara zao na kuuza mitungi yao naomba pia niambiwe.
Nanunua mitungi yote size zote,idadi yoyote iwe tu ya HALALI na sio ya WIZI hii ni kwa wakazi wa Dar,mwenye mitungi kuanzia 10 KWENDA MBELE NITAIFATA.
Mwenye mtungi mmoja mmoja ataniletea Makutano ni UBUNGO.
hii ni kwa wakazi wa Dar
Nipo simiyu
Siwezi taja bei ya mtungi maana bei zinatofautiana kulingana na kampuniMmoja unanunua bei gani ili wadau waelewe wa kg 30
Nimeuona Boss nmechukua namba za simu napiga hapatikani, ikabidi ni comment tuMkuu jaribu kutafuta kuna uzii nimeona hours, mkuu anauza mitungi 20, mcheki
Mfano oryx unanunua how much?Siwezi taja bei ya mtungi maana bei zinatofautiana kulingana na kampuni
na siku zote hamnaga bei costant kwa kitu cha mkononi/used.
Ooh labda yupo ibadani, subiria kidogoNimeuona Boss nmechukua namba za simu napiga hapatikani,ikabidi ni comment tu
Mkuu ushawahi ona wapi mnunuaji anataja bei ya kununua kitu?Mfano oryx unanunua how much?
Sawa Boss, acha nivute subira.Ooh labda yupo ibadani , subiria kidogo
Jibu lake lipo wazi, ni sawa mtu yupo mgahawani ananunua chakula halafu unamuuliza anapeleka wapi.Unaipeleka wapi
..jibu halipo wazi...mitungi ina size tofauti...kuna kampuni Kama manji Wana kilo 3..wengine kilo kuanzia nne...ndo maana naulizaJibu lake lipo wazi,ni sawa mtu yupo mgahawani ana nunua chakula halafu unamuuliza anapeleka wapi.
Sio manjis tu hata Oryx na Mihan wana hiyo size uliyosema na yote nanunua, kama unao Karibu niuzie...jibu halipo wazi...mitungi ina size tofauti...kuna kampuni Kama manji Wana kilo 3..wengine kilo kuanzia nne...ndo maana nauliza
Ninayo mitatu midogo ya manjisHabari wakuu,naomba kama kuna anae uza mtungi wake wa gas anicheki au kama kuna wale wafanyabiashara wa gas wanaoacha biashara zao na kuuza mitungi yao naomba pia niambiwe.
Nanunua mitungi yote size zote,idadi yoyote iwe tu ya HALALI na sio ya WIZI hii ni kwa wakazi wa Dar,mwenye mitungi kuanzia 10 KWENDA MBELE NITAIFATA.
Mwenye mtungi mmoja mmoja ataniletea Makutano ni UBUNGO.