Nanunua Mitungi Empty ya Gas za Majumbani Kampuni zote

Nanunua Mitungi Empty ya Gas za Majumbani Kampuni zote

Mimi nauza mtungi wa oryx kilo 15, Tsh 50K, cash sipunguzi hata kumi, ongea nije nao ubungo
 
Weka bei yako kila mtungi uzito na kampuni, anaetaka atakuuzia kama anayo asiye taka ataacha, gas yenyewe tunajaza 57K, mtungi tupu oryx ni zaid ya 50k, niko hapa mabibo mwisho nimekaa ukipata chini ya 50k niite mbwa labda wa uizi sio mtu aliyetoa pesa yake akanunua gasi na mtungi
 
MBWA WEWE

Kwa kua umeruhusu nikuite Mbwa, basi wewe Mbwa acha kuropoka

Mbwa mkubwa usiejua bei za mitungi,Mbwa wewe,Mbwa x 30 Mbwaaaaaaaa
Hata ukiniita mbwa, [emoji16][emoji16][emoji16]. Najua unajua ukweli. Sema hapa mtungi wa 15kg ukiwa na gas unauzwa bei gani sasa hivi gas inajazwa bei gani. Si unatakq ujuaji. Nakuharibia uzi
 
Hata ukiniita mbwa, [emoji16][emoji16][emoji16]. Najua unajua ukweli. Sema hapa mtungi wa 15kg ukiwa na gas unauzwa bei gani sasa hivi gas inajazwa bei gani. Si unatakq ujuaji. Nakuharibia uzi
Screenshot_2.png


Bei ya Complete na Gas yake ORYX 15KG nauza kwa wateja 85,000

Huo ni mtungi mpya wa KG 15, Oryx KG 15 re fill najazia Wateja kwa 52,000

Wewe unasema eti unauziwa 57,000 sishangai kwasababu bei za binadamu na MBWA

ni tofauti wewe ni JIBWA koko hivyo lazima ukaribishwe mjini Mshamba mmoja usiejua unachoandika,unabishana na wanaofanya biashara.
 
View attachment 2365757

Bei ya Complete na Gas yake ORYX 15KG nauza kwa wateja 85,000

Huo ni mtungi mpya wa KG 15, Oryx KG 15 re fill najazia Wateja kwa 52,000

Wewe unasema eti unauziwa 57,000 sishangai kwasababu bei za binadamu na MBWA

ni tofauti wewe ni JIBWA koko hivyo lazima ukaribishwe mjini Mshamba mmoja usiejua unachoandika,unabishana na wanaofanya biashara.
Nimesema gas 15kg inajazwa 57,000. Uache kudanganya watu sio 52k. Gas complete sio 85k acha uongo, labda mitingi ya uizi ndo utapewa bei hiyo
 
niite mbwa
we umbwa,uwe unapiga simu Ofisini kwangu nikuletee hadi nyumbani,very soon nakuja fungua ofisi huko mabibo ili niwapate mijibwa kama wewe

ila mimi sitowauzia kwa 57,000 kama mnavyoumizwa sasa hivi,Nikija nitawauzia,kwa 54,000 tu ili kuwaokoa ma mbwa kama wewe niwasaidie kuwalainishia vyuma

Mnalalamika maisha magumu kumbe mnapigwa bei kila mahali halafu badala uwe,mpole kama unatawazwa unaleta ujuaji kama umepigwa dokooo,Siki we mbwa

bei mnayouziwa ORYX huko nikubwa sana sana sana na ndio maana unazidi kulalamika maisha magumu.

Jifunze kwa waliokutangulia upate maarifa mbwa wewe.
 
Nimesema gas 15kg inajazwa 57,000. Uache kudanganya watu sio 52k. Gas complete sio 85k acha uongo, labda mitingi ya uizi ndo utapewa bei hiyo
Unabishana na mimi au? Sogea hapa SIGA ONE ujue mimi ni NANI

kama upo mabibo na Humjui SIGA ONE ni nani kaa utulize hilo bakuli.

Bei ya Gas ni hiyo kama hutaki sikulazimishi endelea kununua unapoenda kununulia.
 
Nimekucheki inbox
Aseeee jamaaa ndo anaendeleza wizi aseeee.kununua vitu mkononi ni umaskini na kujikuta unanunua kitu kwa bei ndogo kumbe jamaa kaiba mtaa wa pili.wewe jamaa itafilisiwa na wajanja we endelea kupenda slop.....
 
Aseeee jamaaa ndo anaendeleza wizi aseeee.kununua vitu mkononi ni umaskini na kujikuta unanunua kitu kwa bei ndogo kumbe jamaa kaiba mtaa wa pili.wewe jamaa itafilisiwa na wajanja we endelea kupenda slop.....
sawa mkuu
 
Back
Top Bottom