Movies Store
JF-Expert Member
- Mar 17, 2022
- 288
- 938
- Thread starter
- #21
ulikua ukini beep au ulishauza,maana tangu nikucheki sijawahi pata mrejesho yaniNinayo mitatu midogo ya manjis
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ulikua ukini beep au ulishauza,maana tangu nikucheki sijawahi pata mrejesho yaniNinayo mitatu midogo ya manjis
Asante sinunui Oryx kg 15 kwa 50kMimi nauza mtungi wa oryx kilo 15, Tsh 50K, cash sipunguzi hata kumi, ongea nije nao ubungo
Ndo mana ukaambiwa na wadau sema bei yako, unajizungusha, kanunue mpya kiwandani wanauza ya kuanzia kazi, uone bei yakeAsante sinunui Oryx kg 15 kwa 50k
sawaNdo mana ukaambiwa na wadau sema bei yako, unajizungusha, kanunue mpya kiwandani wanauza ya kuanzia kazi, uone bei yake
MBWA WEWEukipata chini ya 50k niite mbwa
Hata ukiniita mbwa, [emoji16][emoji16][emoji16]. Najua unajua ukweli. Sema hapa mtungi wa 15kg ukiwa na gas unauzwa bei gani sasa hivi gas inajazwa bei gani. Si unatakq ujuaji. Nakuharibia uziMBWA WEWE
Kwa kua umeruhusu nikuite Mbwa, basi wewe Mbwa acha kuropoka
Mbwa mkubwa usiejua bei za mitungi,Mbwa wewe,Mbwa x 30 Mbwaaaaaaaa
Hata ukiniita mbwa, [emoji16][emoji16][emoji16]. Najua unajua ukweli. Sema hapa mtungi wa 15kg ukiwa na gas unauzwa bei gani sasa hivi gas inajazwa bei gani. Si unatakq ujuaji. Nakuharibia uzi
Nimesema gas 15kg inajazwa 57,000. Uache kudanganya watu sio 52k. Gas complete sio 85k acha uongo, labda mitingi ya uizi ndo utapewa bei hiyoView attachment 2365757
Bei ya Complete na Gas yake ORYX 15KG nauza kwa wateja 85,000
Huo ni mtungi mpya wa KG 15, Oryx KG 15 re fill najazia Wateja kwa 52,000
Wewe unasema eti unauziwa 57,000 sishangai kwasababu bei za binadamu na MBWA
ni tofauti wewe ni JIBWA koko hivyo lazima ukaribishwe mjini Mshamba mmoja usiejua unachoandika,unabishana na wanaofanya biashara.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Ikifika ya maji mnataka kununua nishtueni
we umbwa,uwe unapiga simu Ofisini kwangu nikuletee hadi nyumbani,very soon nakuja fungua ofisi huko mabibo ili niwapate mijibwa kama weweniite mbwa
Unabishana na mimi au? Sogea hapa SIGA ONE ujue mimi ni NANINimesema gas 15kg inajazwa 57,000. Uache kudanganya watu sio 52k. Gas complete sio 85k acha uongo, labda mitingi ya uizi ndo utapewa bei hiyo
mitungi ya maji!?Ikifika ya maji mnataka kununua nishtueni
Haujui mkuu mafriji ya zamanmitungi ya maji!?
Aseeee jamaaa ndo anaendeleza wizi aseeee.kununua vitu mkononi ni umaskini na kujikuta unanunua kitu kwa bei ndogo kumbe jamaa kaiba mtaa wa pili.wewe jamaa itafilisiwa na wajanja we endelea kupenda slop.....Nimekucheki inbox
Nimeona Boss nimeshajibu...Nimekucheki inbox
sawa mkuuAseeee jamaaa ndo anaendeleza wizi aseeee.kununua vitu mkononi ni umaskini na kujikuta unanunua kitu kwa bei ndogo kumbe jamaa kaiba mtaa wa pili.wewe jamaa itafilisiwa na wajanja we endelea kupenda slop.....