Nanunua Mitungi Empty ya Gas za Majumbani Kampuni zote

Nanunua Mitungi Empty ya Gas za Majumbani Kampuni zote

Sema sasa unanunua bei gani..biashara za hivi za kutegeana za zamani kweli..tangazo la wazi halafu inapokuja kwenye bei ni Siri?!
Tangu lini mnunuzi akataja bei? mali yako wewe ndio useme unauzaje,kama naweza nanunua kama siwezi sinunui.

ila siwezi kukwambia bei ya kununulia,mimi ni mnunuzi na hamna mahali popote mnunuzi anapanga BEI,nyie wenye vitu halafu hamjui bei za vitu mnavyouza Mnanitia mashaka sana.
 
Habari wakuu,naomba kama kuna anae uza mtungi wake wa gas anicheki au kama kuna wale wafanyabiashara wa gas wanaoacha biashara zao na kuuza mitungi yao naomba pia niambiwe.

Nanunua mitungi yote size zote,idadi yoyote iwe tu ya HALALI na sio ya WIZI hii ni kwa wakazi wa Dar,mwenye mitungi kuanzia 10 KWENDA MBELE NITAIFATA.

Mwenye mtungi mmoja mmoja ataniletea Makutano ni UBUNGO.
oryx kg15 ninao m1 hauna kazi kitambo 40 unatoa
 
oryx kg15 ninao m1 hauna kazi kitambo 40 unatoa
Mkiwa mnauza vitu vyenu muwe mnajua na bei ya vinavyouzwa

Mteja akija kununua mpya Oryx namuuzia 80,000 ukiwa na gas yake

wewe unauza mtungi tupu 40,000 kujaza Oryx ni 54,000 chukua 40+54=94

Huoni kama ni jambo lisilowezekana? pitia comment za wengine kabla hujatamka

bei unayouza kitu chako,na mwisho pendelea kufanya research ya bei ya kitu unachotaka kukiuza.
 
Mkiwa mnauza vitu vyenu muwe mnajua na bei ya vinavyouzwa

Mteja akija kununua mpya Oryx namuuzia 80,000 ukiwa na gas yake

wewe unauza mtungi tupu 40,000 kujaza Oryx ni 54,000 chukua 40+54=94

Huoni kama ni jambo lisilowezekana? pitia comment za wengine kabla hujatamka

bei unayouza kitu chako,na mwisho pendelea kufanya research ya bei ya kitu unachotaka kukiuza.
we jamaa ni mpumbavu kweli kweli

juu hapo umesema "muuzaji ataje bei"

mdau kataja bei umeanza blah blah kibao na kumkashifu,

kanunue kiwandani acha utapeli
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Huyu jamaa sijui kama hiyo biashara yenyewe ataweza?, Sasa kama unajua bei za mitungi tupu si uende ukanunue kiwandani kwani imeisha? Una ng'ang'ana 80k-54k, hakuna mtu mjinga aliye jiunga JF.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Huyu jamaa sijui kama hiyo biashara yenyewe ataweza?, Sasa kama unajua bei za mitungi tupu si uende ukanunue kiwandani kwani imeisha? Una ng'ang'ana 80k-54k, hakuna mtu mjinga aliye jiunga JF.

very stupid[emoji23] mimi hata siwezi bishana na watu wa hivi
 
Mkiwa mnauza vitu vyenu muwe mnajua na bei ya vinavyouzwa

Mteja akija kununua mpya Oryx namuuzia 80,000 ukiwa na gas yake

wewe unauza mtungi tupu 40,000 kujaza Oryx ni 54,000 chukua 40+54=94

Huoni kama ni jambo lisilowezekana? pitia comment za wengine kabla hujatamka

bei unayouza kitu chako,na mwisho pendelea kufanya research ya bei ya kitu unachotaka kukiuza.

Haapo kwanza ncheke[emoji23][emoji23]
 
Kwa mwenye Mitungi Empty au anaejua mtu mwenye nayo naomba kuunganishwa nae.
 
Back
Top Bottom